JF Udaku.. Special Edition!! 2014.

JF Udaku.. Special Edition!! 2014.

Filipo yupi shem? Mbona sio huyo alienipa? Halafu nasingiziwa ujueee.....!

Cc: Mentor
 
Last edited by a moderator:
Kaizer anahusika kwenye ujauzito wa Lady doctor

Najua unajipendekeza uran, naona skendo yako ya ku pm wake za watu haijaisha unatafuta ingine.

Waume za watu wanajiletaga wenyewe. Arushaone siachani nae hata kwa lipi.... na hao wengine pia. Wote wangu.

Mtunze mumeo azawais I have room for him.

Haya maneno unamwambia nani HNY?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom