Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uran hajambo 'Valentina'?
Marhaba my cupcake... mzima wewe..??
Bora nimekuona unajua una kes kwann umnunulie mke wa mtu pafyum???
unasemaje eti?
Hehee kajileta sasa
Nabishaaaaaaa.
Sijawahi kuwa na mbeba boksi ila sasa nataka kujimuvuzisha kwa Desert Storm.
Anataka tufunge ndoa so mwenye pingamizi tunampa 21 days na atoe sababu not to mention evidence.
Kaizer, uran, kiwatengu, sosoliso, miss neddy
ni mzima kabisa, nampenda sana mke wangu.
mke wangu ni very charming..
i love her, kuanzia kucha hadi nywele.
nampenda na kila nikiwaza juu ya my 'Valentina' moyo wangu unapiga makofi
na shangwe na vigelegele..
kajileta shost lakn kavunga ajdai hajaona.
heshima yako ba mkwe wangu..
kuvunga na nini? janeth1 si useme mtoto ni wa nan?
Si ajabu anatunga utetezi,ngoja utamsikia
mme wangu navomjua mwoga sana kes anaweza asje tena huku.
unasemaje eti?
We mwanamke unabalaa,nisikufumanie tu na mume wangu
Mie nimesharudi mujini na kuanzia next week gazeti litakuwa hewani.
shost umeltbua njoo uone tmbwil huku pafyum imezua kzazaa watu wamepangwa 4ren wahuskao na hyo ndude.
duh mme wang naemjua mie!! Haya ngoja aje akukumbushe kama ndo alekupa maana..