JF Udaku.. Special Edition!! 2014.

Mkuu nipo nipo, huku huwa naja kwa kuibia si kama zamani...

Haswa huko ndipo atokapo mwandani wangu...

mi niko fully hapa..na mimi sasa nina mke hapa, anaitwa 'Valentina' ndiye ananifanya niwe hapa muda wote
 
Last edited by a moderator:
duh mme wang naemjua mie!! Haya ngoja aje akukumbushe kama ndo alekupa maana..

Hivi amesema perfume?
Wewe Lady doctor ina maana ulikimbia na ile perfume tangu tuko chuo ilipotea semista ya 9 katika mazingira ya utata?
Au ni 'Valentina' alikupa maana nakumbuka chumbani kwangu ulikuja mara 2 kuchukua desa
 
Last edited by a moderator:
kajileta shost lakn kavunga ajdai hajaona.
Hee mimi nijifiche wakati ukweli uko wazi.......!

kuvunga na nini? janeth1 si useme mtoto ni wa nan?
Hili nalo lazima lipatiwe majibu ya kutosha with the aid of diagram ana vivid examples

Duuh kupendwa raha,kupendwa ndo huku,kupendwa kuheshimiwa. U make me happy darling!
kwan uran kaoa? kumbe huyu ndo mzungu ulikuwa unamsema sikuzoteee........!?????!!!!!
Mpaka siku zile ukasema mnaenda UK?

Si ajabu anatunga utetezi,ngoja utamsikia
Hapa ukweli upo wazi kabisaaaa kuwa nilipotelewa na pafyumu chuoni...... Lady doctor alikuja mara 2 hostel akachukua desa la theology akaenda kusoma na Arushaone

Afu ulisema utamalizia mahari kwa tiGOpesa hadi leo kimya.. Hebu fanyafanya nina kiu ya ndovu.
Ulimkafu gwamwitu......! Indi kwibhabha kwula ifitungulu vfya kwulisha ku tunduma

af shem wew na mme wang wote si mna kes?? Mkome kuhonga wake za watu.
Mbona hatujaletewa samansi..... na mgambo wa ccm?

mme wangu navomjua mwoga sana kes anaweza asje tena huku.
Mimi ni mkweli daima, hivo siwezi kuukimbia ukweli..... Mimi ni muoga wa uongo tu.

Hahaaa kumbe kunguru mwoga
Ha ha ha ha mimi ni zaidi ya tai au mwewe

uwezo wa kunifumania huna...... Nguvu za kunifumania huna....... Na nia ya kunifumania huna!!!!!!!
Hivi siku ile wakati unachukua madesa kuna mtu alitufungia mlango ili watusingizie?
Sikumbiki vizuri kilichoendelea pale.
 
Last edited by a moderator:
Hivi amesema perfume?
Wewe Lady doctor ina maana ulikimbia na ile perfume tangu tuko chuo ilipotea semista ya 9 katika mazingira ya utata?
Au ni 'Valentina' alikupa maana nakumbuka chumbani kwangu ulikuja mara 2 kuchukua desa

sijckii kuongea leo ngoja 2 niwe mpole dear.
 
Last edited by a moderator:

duh!!!
 
Last edited by a moderator:
Hivi amesema perfume?
Wewe Lady doctor ina maana ulikimbia na ile perfume tangu tuko chuo ilipotea semista ya 9 katika mazingira ya utata?
Au ni 'Valentina' alikupa maana nakumbuka chumbani kwangu ulikuja mara 2 kuchukua desa

Mwe usinigeuzie kesi mie,mweleze mkeo ukweli
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…