Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,693
- 1,702
Hii kitu ni fake! Nikiamua kumpigia kura WOS kwa sababu zangu kutumia multiple IDs zote ninazomiliki atashinda kwa Kishindo, Kikwete huita ushindi wa Sunami
Kazi kweli kweli.
Mkuu angalia mods wasijegundua una multiple IDS. Hata hivyo JEC inaangalia ID tu na si personalies. Tumia haki yako ku-vote.