Ni kweli kabisa, hata wakiwa kwenye payroll yako, hizi kazi zinawapa fursa kufanya kazi za ziada na kujiongezea kipato mbali na mshahara. Mnaweza kumaliza mwezi hakuna choo kilichoziba.Ni kweli mara nyingi mnunuzi wa bidhaa anataka huduma kwa bei ya chini, anaweza kutumia pendekezo lako; ila kwa wale wenye mtazamo wa kumiliki kampuni anaweza kutumia mapendekezo pale juu, kwa sababu mwisho wa siku atapata wateja mbalimbali mpaka baadhi ya taasisi.
Boresha ukurasa wako, na usialike marafiki ' watoto-kula kulala'. Alika watu wanaojitegemea wenye maamuzi,Pia onyesha picha za kazi zako zenye uboraNapiga kazi ya skiming na upakaji rangi pia ninaujuzi wa ufungaji umeme na ufungaji mifumo ya maji kwenye nyumba, lakini sioni matokeo yoyote labda sijaweza kujitambua ninakwama wapi
Kwa issue ya mitandao kwa bongo bado sana mwingine atakuuliza unanifahamu huwa naishia hapoUkweli kabisa sijaelewa, maana fb nina marafika 4900 na kwenye page kuna watu walio active kama 157 hivi nina miaka kama 5 natangaza kitu ninachokifanya au fani ninayoifanya tena kwa kutupia ujuzi mpya lakini sijawahi pigiwa hata simu ya kazi .sijui shida ipo wapi hapo
Kwa ushuhuda mkuu, mimi huwa natumia mafundi wanaojitangaza mtandaoni,naona kazi zao, pia wananitumia zingine, tunaingia makubaliano, wanaanza safari, na kufanya kazi; nawe pia usikate tamaa, ongeza kasi ya kujitangazaNimekuelewa lakinibulimwengu tuliopo ningumu sana kuweka ushawishi kwa wateja ili hali anajuwa mtaani kwake yupo fundi furani kuliko akutafte wewe asiye kufahamu
AsanteKwa ushuhuda mkuu, mimi huwa natumia mafundi wanaojitangaza mtandaoni,naona kazi zao, pia wananitumia zingine, tunaingia makubaliano, wanaanza safari, na kufanya kazi; nawe pia usikate tamaa, ongeza kasi ya kujitangaza
Wewe unatumia akaunti yako ya zamani ya kirafiki. Marafiki zako wa Facebook wako Namtumbo, Nanyumbu na Gwanseri alafu wewe uko labda Gongo la Mboto. Marafiki zako wengine ni watoto wa sekondari na pisi kali za 20s, hapo wateja unawapata vipi. Ukiwa na account Instagram au Facebook unafungua business one na unaweka ads za kuendana na sehemu unayotaka na umri wa unaowataka. Bila hivyo hutaona matokeoNapiga kazi ya skiming na upakaji rangi pia ninaujuzi wa ufungaji umeme na ufungaji mifumo ya maji kwenye nyumba, lakini sioni matokeo yoyote labda sijaweza kujitambua ninakwama wapi
Ushauri mzuriWewe unatumia akaunti yako ya zamani ya kirafiki. Marafiki zako wa Facebook wako Namtumbo, Nanyumbu na Gwanseri alafu wewe uko labda Gongo la Mboto. Marafiki zako wengine ni watoto wa sekondari na pisi kali za 20s, hapo wateja unawapata vipi. Ukiwa na account Instagram au Facebook unafungua business one na unaweka ads za kuendana na sehemu unayotaka na umri wa unaowataka. Bila hivyo hutaona matokeo
Ngoja nikupe darasa kidogo upande wa social media marketing na online business kiujumla....Ukweli kabisa sijaelewa, maana fb nina marafika 4900 na kwenye page kuna watu walio active kama 157 hivi nina miaka kama 5 natangaza kitu ninachokifanya au fani ninayoifanya tena kwa kutupia ujuzi mpya lakini sijawahi pigiwa hata simu ya kazi .sijui shida ipo wapi hapo
Dalwin nightmare.😄😄Najua wengi wana akaunti katika mitandao ya kijamii; sasa ni wakati wa kutumia hiyo mitandao kuingiza pesa.
Anza hivi:-
No. 1
i. Fundi wa kupaua
- Tengeneza 'database' ya mambo yote yanayohusu ujenzi
- Ingia makubaliano na hawa mafundi:-
ii. Fundi wa plasta
iii. Fundi wa urembo-decoration
iv. Fundi wa kuskimu
v. Fundi wa ma-grill
vi. Fundi wa aluminium
vii. Wazibuaji wa vyoo
viii. Mafundi bomba
ix. Fundi umeme
x.Fundi wa kujenga
No. 2
- Ingia makubaliano na maduka ya vifaa vya ujenzi
- Ingia makubaliano na kampuni za mabati
- Ingia makubaliano na wanaokodisha vifaa vya ujenzi
No.3
- Ingia kwenye akaunti yako na tengeneza jina, mfano:- Equation x Bingwa wa ujenzi
- Alika marafiki wa kila namna kadri uwezavyo, na hakikisha kwenye akaunti yako una marafiki hata zaidi ya 10,000
- Akaunti yako iunge na magrupu mbalimbali
- Usiruhusu wale ulioingia nao makubaliano kufanya chochote kwenye akaunti yako
- Tangaza zile kazi zinazofanywa na watu ulioingia nao makubaliano ila tumia njia kuonekana wewe ndio unafanya, na mawasiliano yote yawe ni kwako.
- Na wale ulioingia nao makubaliano wanatakiwa waonekane wewe ndio umewaajiri, yaani wewe ndio boss wao.
- Anza kupokea 'order' na kula mafao
- Anza kumiliki kampuni kubwa kubwa
NB. Unaweza kutumia hii njia hata kwenye idara zingine si lazima, ujenzi.
Ngoja nikupe darasa kidogo upande wa social media marketing na online business kiujumla....
Ipo hivi kuna marafiki wa kawaida wanaokufahamu kuwa wewe ni mtu fulani au mlisoma shule fulani... Yaani yeye anakuwa rafiki siyo kwasababu anapenda au kuvutiwa na huduma au Biashara unayofanya ila ukaribu fulani wa kijamii na wa kawaida tu.
Kwa upande wa Facebook page. Kuna followers wanao like page yako nao siyo kwasababu Wanapenda au kuvutiwa na huduma yako...
JUKUMU LAKO KUU NI LIPI?.
jukumu lako kuu ni kutengeneza mazingira ya kuamisha mitazamo ya hao marafiki na page followers wakuone wewe ni mtoa huduma au Mfanyabiashara ili waanze kuishi na wewe kama mtoa huduma na mteja na siyo RAFIKI wa kawaida tu.
Kumbuka katika hao marafiki na page followers siyo wote wana uwezo au uhitaji na hicho unachokifanya hivyo sasa ni jukumu lako wewe kuanza kutafuta wateja miongoni mwa hao marafiki na sehemu nyingine.
Unawapataje hao wateja au watu wanaopenda hicho unachokifanya ?
Hapo sasa ndipo ujuzi wa Digital Marketing upande wa social media unapoingilia kati...
Settings za page yako na muonekano wake uko vipi?
Profile yako inaongea nini kuhusu unachofanya? Yaani, Je naweza pitia profile yako nikaelewa unatoa huduma hii pasipo kuwa na haja ya kuuliza?
Mtego unaotumia kunasa wateja au watu watakao penda huduma yako na kuwa tayari kulipia ni upi?
Mfano wa mtego ni video, picha, makala au content ya aina yoyote yenye UJUMBE ambao watu unao walenga watafurahia na kuamua kukufuatilia zaidi page yako na mwisho wa siku kuwa wateja.
Miaka mitano mingi sana ungekuwa na uelewa mzuri kuhusu social media marketing ungefika mbali sana.
Niulize chochote kuhusu Digital marketing na kama kitakuwa ndani ya uwezo nitatoa ufafanuzi hapahapa.
Mengine zaidi karibu DM
Napiga kazi ya skiming na upakaji rangi pia ninaujuzi wa ufungaji umeme na ufungaji mifumo ya maji kwenye nyumba, lakini sioni matokeo yoyote labda sijaweza kujitambua ninakwama wapi
Karibu sana. Haya mambo ukishayaelewa na ukawa na Bidii nzuri unaweza Kupata matokeo mazuri sana pasipo kutumia gharama kubwa.Aisee sikujuwa haya before, sasa hapo kidogo umenipa mwanga. Ubarikiwe nitakucheki kwa maswala mengine ya ushauri
Asante sana ngoja nikatafte wateja nione matokeo baada ya maelezo yakoKaribu sana. Haya mambo ukishayaelewa na ukawa na Bidii nzuri unaweza Kupata matokeo mazuri sana pasipo kutumia gharama kubwa.
Ulishawahi kjiuliza, kwa nini vijana wadogo chini ya miaka 20 wanamiliki 'mansion' huko nchi za wenzetu?Dalwin nightmare.😄😄
Ulishawahi kujiuliza ni kwa nini wanyama na mashoga wana thamani kubwa huko nchi za wenzetu?Ulishawahi kjiuliza, kwa nini vijana wadogo chini ya miaka 20 wanamiliki 'mansion' huko nchi za wenzetu?
Hakuna uhusianoUlishawahi kujiuliza ni kwa nini wanyama na mashoga wana thamani kubwa huko nchi za wenzetu?
Maisha yanatakiwa yaendelee; yanaendeleaje sasa? Mojawapo ni kuumiza kichwa/kufikirisha
Inaonekana haupo active, ushauri wangu jitahidi kupost kazi zako mara kwa mara na kwa lugha ya ushawishi bila kusahau namba zako za simu.Nimekuelewa lakinibulimwengu tuliopo ningumu sana kuweka ushawishi kwa wateja ili hali anajuwa mtaani kwake yupo fundi furani kuliko akutafte wewe asiye kufahamu
Ushauri mzuri sana ...ila wabongo wasivyojielewa ukimwambia akupe hela ili umsaidie process zote za digital marketing ili apate wateja wa kutosha, si ajabu akaanza kukuita tapeliNgoja nikupe darasa kidogo upande wa social media marketing na online business kiujumla....
Ipo hivi kuna marafiki wa kawaida wanaokufahamu kuwa wewe ni mtu fulani au mlisoma shule fulani... Yaani yeye anakuwa rafiki siyo kwasababu anapenda au kuvutiwa na huduma au Biashara unayofanya ila ukaribu fulani wa kijamii na wa kawaida tu.
Kwa upande wa Facebook page. Kuna followers wanao like page yako nao siyo kwasababu Wanapenda au kuvutiwa na huduma yako...
JUKUMU LAKO KUU NI LIPI?.
jukumu lako kuu ni kutengeneza mazingira ya kuamisha mitazamo ya hao marafiki na page followers wakuone wewe ni mtoa huduma au Mfanyabiashara ili waanze kuishi na wewe kama mtoa huduma na mteja na siyo RAFIKI wa kawaida tu.
Kumbuka katika hao marafiki na page followers siyo wote wana uwezo au uhitaji na hicho unachokifanya hivyo sasa ni jukumu lako wewe kuanza kutafuta wateja miongoni mwa hao marafiki na sehemu nyingine.
Unawapataje hao wateja au watu wanaopenda hicho unachokifanya ?
Hapo sasa ndipo ujuzi wa Digital Marketing upande wa social media unapoingilia kati...
Settings za page yako na muonekano wake uko vipi?
Profile yako inaongea nini kuhusu unachofanya? Yaani, Je naweza pitia profile yako nikaelewa unatoa huduma hii pasipo kuwa na haja ya kuuliza?
Mtego unaotumia kunasa wateja au watu watakao penda huduma yako na kuwa tayari kulipia ni upi?
Mfano wa mtego ni video, picha, makala au content ya aina yoyote yenye UJUMBE ambao watu unao walenga watafurahia na kuamua kukufuatilia zaidi page yako na mwisho wa siku kuwa wateja.
Miaka mitano mingi sana ungekuwa na uelewa mzuri kuhusu social media marketing ungefika mbali sana.
Niulize chochote kuhusu Digital marketing na kama kitakuwa ndani ya uwezo nitatoa ufafanuzi hapahapa.
Mengine zaidi karibu DM
Kwetu haya mambo wanaoelewa na kuamini bado wachache.Ushauri mzuri sana ...ila wabongo wasivyojielewa ukimwambia akupe hela ili umsaidie process zote za digital marketing ili apate wateja wa kutosha, si ajabu akaanza kukuita tapeli