Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Kiongozi wa baadhi ya wabunge 19 kutoka chama cha demokrasia na maendeleo Chadema Halima Mdee ametuma emoj ya kucheka baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu kusema wanatakiwa kueleza nani alisaini mchakato wa wao kuingia bungeni huku akisema yupo tayari kuwapokea wabunge hao .
Kauli ya Tundu Lissu ilisema:
"Katibu mkuu John Mnyika hawajahi kusign fomu na sheria inasema lazima zisigniwe na katibu mkuu za kwao zilisainiwa na nani na aliyekuwa gerezani ilikuwaje akatoka gerezani akaenda kuwapa kuwa mbunge ,kama wanakuja waje wafungue siri za mioyo yao wanataka suluhu na chama waje na mioyo mieupe na tuichunguze ni mieupe kweli wasije tuu kwa sababu ya uchaguzi umekaribia " Lissu
Lakini kwa upande wake Halima Mdee Kupitia mtandao wa X alichukua kipande hicho cha sauti ya Mwenyekiti wao na kutuma alama ya kucheka
Pia soma >Tundu Lissu: Nipo tayari kuwapokea wabunge 19 wa Viti Maalum walioingia bungeni bila baraka za chama
Kauli ya Tundu Lissu ilisema:
"Katibu mkuu John Mnyika hawajahi kusign fomu na sheria inasema lazima zisigniwe na katibu mkuu za kwao zilisainiwa na nani na aliyekuwa gerezani ilikuwaje akatoka gerezani akaenda kuwapa kuwa mbunge ,kama wanakuja waje wafungue siri za mioyo yao wanataka suluhu na chama waje na mioyo mieupe na tuichunguze ni mieupe kweli wasije tuu kwa sababu ya uchaguzi umekaribia " Lissu
Lakini kwa upande wake Halima Mdee Kupitia mtandao wa X alichukua kipande hicho cha sauti ya Mwenyekiti wao na kutuma alama ya kucheka
Pia soma >Tundu Lissu: Nipo tayari kuwapokea wabunge 19 wa Viti Maalum walioingia bungeni bila baraka za chama