Jibu la Halima Mdee kuhusiana na msimamo wa Lissu juu ya Wabunge 19 (COVID 19)

Jibu la Halima Mdee kuhusiana na msimamo wa Lissu juu ya Wabunge 19 (COVID 19)

Mimi hapa ndio simuelewi Lissu. Hivi kweli anaamini kuwa kama kungekuwa na fomu zozote Ndugai angezificha? Hiyo si ndio ilikuwa nafasi ya kumuumbua aliye zisaini na kukivuruga kabisa CDM? Kauli kama hizi za kichonganishi ndio zinanifanya nikose imani nae. Kwangu mimi wakina Halima na Esther ni bora mara kumi ya Msigwa na Slaa ambao ni rafiki zake. Hawa wanawake katika muda wote huu hawajawahi kukitukana chama chao wala viongozi wao. Lakini hao anao wakumbatia walifanya juhudi za wazi kukichimba chama chake.

Ningekuwa yeye ningetangaza ruhusa kwa yeyote ambae kwa sababu yeyote alikuwa nje ya chama kurudi kwenye familia. Mbona waliweza kumkubali mpambanaji Aidan? Kwa hawa wanashindwa nini?

Amandla...
CDM kumpa uenyekiti TLS Wamebeti
anaweza akaleta hamasa kubwa ndani ya chama na wengi wakakipenda au akakivuruga na kikadharaulika na wengi
Kwa sababu lisu Hana record za kuwa kiongozi au mtendaji kwenye Taasisi yeyote ile.
Watu wengi wanamjua kupitia kukosoa na kupinga Mambo kwa lugha ya bashasha
 
Mimi hapa ndio simuelewi Lissu. Hivi kweli anaamini kuwa kama kungekuwa na fomu zozote Ndugai angezificha? Hiyo si ndio ilikuwa nafasi ya kumuumbua aliye zisaini na kukivuruga kabisa CDM? Kauli kama hizi za kichonganishi ndio zinanifanya nikose imani nae. Kwangu mimi wakina Halima na Esther ni bora mara kumi ya Msigwa na Slaa ambao ni rafiki zake. Hawa wanawake katika muda wote huu hawajawahi kukitukana chama chao wala viongozi wao. Lakini hao anao wakumbatia walifanya juhudi za wazi kukichimba chama chake.

Ningekuwa yeye ningetangaza ruhusa kwa yeyote ambae kwa sababu yeyote alikuwa nje ya chama kurudi kwenye familia. Mbona waliweza kumkubali mpambanaji Aidan? Kwa hawa wanashindwa nini?

Amandla...
Kwa nini uhisi?. Hao COVID-19 si waoneshe hizo saini?.
 
Ujumbe ushamfikia acheke alie hbr ndio hiyo, hakuna kucheka na kima hapa
Yaani wewe na nyumbu wenzako ni wajinga sana.

Halima ana shida kweli ya kwenda Chadomo wakati Yuko Bungeni na ni Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu ya Bunge? Aende Chadomo kufanya nini Sasa?

Tufanye hatogombea Urais,Samia ana viti 10 atamteua tena au alitaka atawapa u DC au RC nk
 
Seriously? Sasa kama ni CCM mwenzao kwa nini alizisaini wakati alijua kuwa watapokelewa hata bila fomu? Kuna faida gani ya kuwa na signed forms na kuzificha?

Watu kama nyinyi ndio mnaipa jina baya CDM.

Amandla...
Ni kama unasema kuwa CCM huwa kinashiriki uchaguzi mkuu kwa nini wakati kina uhakika wa ushindi?
 
Lissu hajawakataa! Lissu alichosema waje waseme nani alisaini fomu zao walizoteuliwa kwenda bungeni!
Wakijieleza nadhani wanaweza kuruhusiwa kuja kundini!
Upo sawa kabisa,Kuna watu bado hawajamuelewa Lissu,Lissu anasafisha kabisa tuhuma zote chafu za chama,Sasa kwakuwapokea tu wale covid 19 bila waokukiri na kusema kilichofanyika maana yake wataendelea kuandamwa na Kashfa ya hiki kirusi cha hao wanawake 19.Mwacheni Chairman asafishe chama,Musiwe na hofu nae Lissu ni akili kubwa kwakila analolitoa ako na solution tayari.
 
Seriously? Sasa kama ni CCM mwenzao kwa nini alizisaini wakati alijua kuwa watapokelewa hata bila fomu? Kuna faida gani ya kuwa na signed forms na kuzificha?

Watu kama nyinyi ndio mnaipa jina baya CDM.

Amandla...
paper work lazima ziwepo hata kama hazitakiwi kuonekana, CIA wana sign docs watu wauliwe halafu hizo docs zinavuja lakini hawakomi.

kuna kazi hazifanyiki bila kuwa signed
 
Yaani wewe na nyumbu wenzako ni wajinga sana.

Halima ana shida kweli ya kwenda Chadomo wakati Yuko Bungeni na ni Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu ya Bunge? Aende Chadomo kufanya nini Sasa?

Tufanye hatogombea Urais,Samia ana viti 10 atamteua tena au alitaka atawapa u DC au RC nk
Unahakika Samia anakuwa Rais tena ?hiyo assurance ya kuteua wabunge 10 unaipata wapi?
 
Kwa nini uhisi?. Hao COVID-19 si waoneshe hizo saini?.
Kama hawana hata hizo fomu wataonyesha vipi? Watu wanaotakiwa kubanwa ni Spika, gʻ wa Bunge na Tume ya Uchaguzi. Hawa wanaonewa tu. Inawezekana wao walichukuliwa tu wakaenda kuapishwa bila hata ya kuwa na fomu? Nusrat alipataje fomu?

Amandla...
 
Ni kama unasema kuwa CCM huwa kinashiriki uchaguzi mkuu kwa nini wakati kina uhakika wa ushindi?
Sio point. CCM wanashiriki kwa sababu ni takwa la kikatiba. Na wanahitaji legitimacy kuwa wanakubalika na raia wa Tanzania. Hili la wakina Halima ni tofauti. Panapo fanana ni kuwa bila ya wakina Halima Bunge lingekosa legitimacy. Kuna Kamati ambazo zinatakiwa ziongozwe na upinzani. Bila ya wakina Halima zingekosa wenyeviti. Na ili kupata mbunge wa viti maalum chama kinatakiwa kupata kiwango fulani cha kura za wabunge. Vyama vilivyokuwa na sifa hiyo ni CCM na CDM tu.

Amandla....
 
paper work lazima ziwepo hata kama hazitakiwi kuonekana, CIA wana sign docs watu wauliwe halafu hizo docs zinavuja lakini hawakomi.

kuna kazi hazifanyiki bila kuwa signed
Kuna maagizo kibao yanatolewa bila makaratasi. Tanzania sio Marekani. Spika akisema kuwa taratibu zote zimefuatwa hamna wa kuhoji kama kweli zimefuatwa. Hakuna mwenye ubavu wa kumshurutisha Spika aonyeshe hizo fomu hewa.

Amandla...
 
Kama hawana hata hizo fomu wataonyesha vipi? Watu wanaotakiwa kubanwa ni Spika, gʻ wa Bunge na Tume ya Uchaguzi. Hawa wanaonewa tu. Inawezekana wao walichukuliwa tu wakaenda kuapishwa bila hata ya kuwa na fomu? Nusrat alipataje fomu?

Amandla...
Walichukuliwa TU hawajui chochote! Kwanini hawakukataa kuwa wabunge? Ila ccm akili Huwa mzazifichaga wapi?
 
Walichukuliwa TU hawajui chochote! Kwanini hawakukataa kuwa wabunge? Ila ccm akili Huwa mzazifichaga wapi?
Unajua nguvu za Rais na Spika za ushawishi? Unajua nguvu ambayo serikali inayo ya kukushughulikia kama ikitaka? Ni rahisi sana kujifanya shujaa kama hayakukuta.

Amandla...
 
Back
Top Bottom