Jibu la Halima Mdee kuhusiana na msimamo wa Lissu juu ya Wabunge 19 (COVID 19)

Jibu la Halima Mdee kuhusiana na msimamo wa Lissu juu ya Wabunge 19 (COVID 19)

Mnataka watu wawe loyal kwa Lissu au kwa chama? Si ndio mwanzo wa uchawa?

Amandla...
Mwenyekiti akidharaulika na chama kinadharaulika automatically. Si unaona heshima ya mbowe kwa demokrasia aliyoonyesha ndio imegeuka heshima kwa chadema.
 
Hahaha Mwenyekiti bado anafanya kampeni? Hawezi kukaa kimya?

Siyo kila swali ana jibu lake, mwenyekiti siyo mmiliki wa chama. Kuna vitu vinajadiliwa na ngazi zingine za chama nakutolewa maamuzi.
Kwa hiyo kila Mtanzania atakayetaka kujiunga chadema Lisu ndiye anaidhinisha kujiunga kwao?

Najua hawa ni special case lakini asitake kuwaaminisha watanzania kwamba yeye ndiye mfunga na mfungua milango ya chadema.

Sasa Lisu anataka ajibu hadi maswali ya wapika chai wa ofisi za chadema.

Ajifunze kukaa kimya siyo kila kitu kinajibiwa hadharani.

Chadema inapokea RUZUKU kutokana na hao wabunge tunowaita Covid19. Halafu yeye anajidai HAWATAMBUI, akae kimya.

Ubunge wao wa mahakam ukifika tamati, wana haki kuamua kurudi chadema, au kwenda kokote watakako kwenda.
Swala la nani aliwapa fomu, au waliingiaje Bungeni akaulize ofisi ya spika wa Bunge, aache kujitoa akili.

Wanayo hiyari ya kuamua, kwanza ni watanzani, pili hawajafanya kosa la kusababisha wafukuzwe uanachama wao.
 
Hahaha Mwenyekiti bado anafanya kampeni? Hawezi kukaa kimya?

Siyo kila swali ana jibu lake, mwenyekiti siyo mmiliki wa chama. Kuna vitu vinajadiliwa na ngazi zingine za chama nakutolewa maamuzi.
Kwa hiyo kila Mtanzania atakayetaka kujiunga chadema Lisu ndiye anaidhinisha kujiunga kwao?

Najua hawa ni special case lakini asitake kuwaaminisha watanzania kwamba yeye ndiye mfunga na mfungua milango ya chadema.

Sasa Lisu anataka ajibu hadi maswali ya wapika chai wa ofisi za chadema.

Ajifunze kukaa kimya siyo kila kitu kinajibiwa hadharani.

Chadema inapokea RUZUKU kutokana na hao wabunge tunowaita Covid19. Halafu yeye anajidai HAWATAMBUI, akae kimya.

Ubunge wao wa mahakam ukifika tamati, wana haki kuamua kurudi chadema, au kwenda kokote watakako kwenda.
Swala la nani aliwapa fomu, au waliingiaje Bungeni akaulize ofisi ya spika wa Bunge, aache kujitoa akili.

Wanayo hiyari ya kuamua, kwanza ni watanzani, pili hawajafanya kosa la kusababisha wafukuzwe uanachama wao.
Unampangia mwenyekiti cha kuzungumza we nani kwanza, una hadhi gani wewe, embu pumzikeni mtavimba makoo hayo
 
Unampangia mwenyekiti cha kuzungumza we nani kwanza, una hadhi gani wewe, embu pumzikeni mtavimba makoo hayo
Hahaha mwenyekiti sio Mungu, Chadema ni taasisi inawatu yeye ni mwenyekiti, siyo mmiliki wa chama.

Mnapinga mambo ya ccm, kuendeshwa kifalme, maamuzi anafanya mtu mmoja chama kizima, inapokuja kwenu mnakubali kila kitu anachosema Lisu, hivi huwa mnajiuliza mara mbili au mnatukuza hadi hamjielewi?

Lisu akae kimya asijifanye anajua kila kitu, Ruzuku inapokelewa ni kutokana na hao Covid19, sasa asichotaka nini,pesa au wabunge?
 
Hahaha mwenyekiti sio Mungu, Chadema ni taasisi inawatu yeye ni mwenyekiti, siyo mmiliki wa chama.

Mnapinga mambo ya ccm, kuendeshwa kifalme, maamuzi anafanya mtu mmoja chama kizima, inapokuja kwenu mnakubali kila kitu anachosema Lisu, hivi huwa mnajiuliza mara mbili au mnatukuza hadi hamjielewi?

Lisu akae kimya asijifanye anajua kila kitu, Ruzuku inapokelewa ni kutokana na hao Covid19, sasa asichotaka nini,pesa au wabunge?
Wewe kama nani unampangia mwenyekiti akae kimya?
 
Mwenyekiti wetu mambo yanayokusubiri ni mengi, shika moja baada ya jingine. Meza kwanza ndo beba jingine, Utapaliwa.

images - 2025-01-25T014353.138.jpeg
 
Mimi hapa ndio simuelewi Lissu. Hivi kweli anaamini kuwa kama kungekuwa na fomu zozote Ndugai angezificha? Hiyo si ndio ilikuwa nafasi ya kumuumbua aliye zisaini na kukivuruga kabisa CDM? Kauli kama hizi za kichonganishi ndio zinanifanya nikose imani nae. Kwangu mimi wakina Halima na Esther ni bora mara kumi ya Msigwa na Slaa ambao ni rafiki zake. Hawa wanawake katika muda wote huu hawajawahi kukitukana chama chao wala viongozi wao. Lakini hao anao wakumbatia walifanya juhudi za wazi kukichimba chama chake.

Ningekuwa yeye ningetangaza ruhusa kwa yeyote ambae kwa sababu yeyote alikuwa nje ya chama kurudi kwenye familia. Mbona waliweza kumkubali mpambanaji Aidan? Kwa hawa wanashindwa nini?

Amandla...
Lissu hajawakataa! Lissu alichosema waje waseme nani alisaini fomu zao walizoteuliwa kwenda bungeni!
Wakijieleza nadhani wanaweza kuruhusiwa kuja kundini!
 
Mwenyekiti akidharaulika na chama kinadharaulika automatically. Si unaona heshima ya mbowe kwa demokrasia aliyoonyesha ndio imegeuka heshima kwa chadema.
Unachanganya kuwa loyal kwa mtu na kudharaulika. Mtu anaweza kudharauliwa na kadamnasi lakini watu wake wakawa bado wako loyal kwake.

Amandla...
 
Lissu hajawakataa! Lissu alichosema waje waseme nani alisaini fomu zao walizoteuliwa kwenda bungeni!
Wakijieleza nadhani wanaweza kuruhusiwa kuja kundini!
Lissu anajuaje kuwa kuna hata fomu? Watu walioweza kumtoa mtu mahabusu usiku na asubuhi kumuapisha kuwa mbunge wanahitaji kweli kuwa na fomu? Ndugai alimwambia mbunge ambae aliisha tangaza kuwa ameunga mkono juhudi kuwa yeye bado ni mbunge wa Chadema na akaendelea kumlipa kama mbunge wakati tayari kesha kabidhiwa kadi ya CCM hadharani. Unadhani mtu kama huyu atajali kama wakina Halima wana fomu au la? Unadhani kwa nini wamejipa immunity?

Anachokifanya Lissu ni kuendeleza conspiracy theories ambazo hazina kichwa wala miguu. Kwa kufanya hivyo anafanya yale yale aliofanya kwa tuhuma zake za mapesa ya Abduli. Anamchafua Mbowe bila kumtaja moja kwa moja.

Amandla...
 
Kumbuka na BAWACHA haohao hawataki kabisa ugonjwa wa COVID-19.
Lissu yuko sawa sawa, hiki kivuli cha mwamba kitapotea tuu na kusahau taratibu.
Bawacha wapi hawawataki? Mimi naamini kuwa bado kuna wanawake wenzao ndani ya chama ambao wana imani nao. Wao kurudi kundini kunaweza kuwekewa masharti. Kwa mfano, wasigombee nafasi yeyote ya uongozi ndani ya chama kwa miaka kadhaa. Na ninaamini kuwa wengi wao hawana hata nia ya kurudi CDM. Nadhani wenye nia ya dhati ni Halima Mdee na Esther Bulayo tu. Wengine wako watakao acha siasa, watakaojiunga na CCM, watakaojiunga na vyama vingine. Kuna ambao hawatakuwa tayari kuwasamehe wale waliowaita Covid-19 na matusi mengine kibao.

Amandla...
 
Back
Top Bottom