Ntambirweki again
JF-Expert Member
- Feb 25, 2022
- 213
- 191
Mtimdo wa mama kuongoza nimeupenda sana, anasema kauli mpaka vichwa vya watu viume siyo Ile unaweka bayana na kuikosesha uchimbuzi. Lakini alivomtoa Chalamila yalizungimzwa hayahaya kuwa anaondoa walikuwa watu wa mjomba lakini kamrudisha sijaona masahihisho. Kikubwa tujue kumteua na kumtoa mtu katika nafasi fulani ni mapenzi ya mteuaji wengine tunaumiza vichwa bure.Umeshasema 'kuvuka mipaka ya kazi' tayari hilo ni kosa la kimaadili.
Pia walipostiwa mtandaoni wakiwa wanafanya manunuzi yakutisha kwenye maduka high class huku wananchi wakitesekaRais amekuwa akisafiri kwenda nchi za nje almost non stop tangu aingie madarakani kwa connection, mafanikio ya safari hizo kuanzia mapokezi, malengo n.k yalitegemea tu namna Waziri wa Mambo ya Nje alivyoyaandaa akiwa bega kwa bega na wenyeji wa nchi husika. Mapokezi mabovu na kuonekana kama Rais anazurura ni matokeo hafifu ya utendaji kazi wa Waziri huyo.
Imagine unaenda nchi za watu kama Rais wa taifa fulani halafu wanazengo wa kule kuanzia mkuu wao wa nchi mpaka raia wa kawaida hata hawahisi kama kuna ugeni fulani. Kuna wakati msafara wako unakuwa cornerd kwenye traffic jam kama raia wa kawaida.
Wakati mwingine viongozi wa nchi husika wanashangazwa na ujio wa kiongozi huyu wa bongo, kanakwamba hakukuwa na taarifa ya kueleweka kuhusu ujio wa huyu kiongozi.
Anyway mambo ni mengi muda ni mchache.
Huyu mama alipiga kambi US kwa kujidai Film actor; Royal tour. Nasikia Kimambi ndo alikuwa anampa kampani ya shopping. Nadhani hata alipoondoka alisindikizwa na mume wa balozi tu!Rais amekuwa akisafiri kwenda nchi za nje almost non stop tangu aingie madarakani kwa connection, mafanikio ya safari hizo kuanzia mapokezi, malengo n.k yalitegemea tu namna Waziri wa Mambo ya Nje alivyoyaandaa akiwa bega kwa bega na wenyeji wa nchi husika. Mapokezi mabovu na kuonekana kama Rais anazurura ni matokeo hafifu ya utendaji kazi wa Waziri huyo.
Imagine unaenda nchi za watu kama Rais wa taifa fulani halafu wanazengo wa kule kuanzia mkuu wao wa nchi mpaka raia wa kawaida hata hawahisi kama kuna ugeni fulani. Kuna wakati msafara wako unakuwa cornerd kwenye traffic jam kama raia wa kawaida.
Wakati mwingine viongozi wa nchi husika wanashangazwa na ujio wa kiongozi huyu wa bongo, kanakwamba hakukuwa na taarifa ya kueleweka kuhusu ujio wa huyu kiongozi.
Anyway mambo ni mengi muda ni mchache.
Bado na anataka arudi tz afungue mkutano pale Arusha utafikiri waziri wa maliasili na utalii hayupoAcha Ujinga ...Rais Xi kamaliza miaka Miwili unusu bila kutoka nje ya China mpaka hii juzi
Huyu Mama Kila safari yeye anataka aende, yaani yeye ndio Waziri mambo ya nje, yeye ndio Rais
Nchi imeonekana kama Haina Waziri wa mambo ya nje, Wala Balozi.
Maza, atuliee, kuzurura zurura, hakujengi Nchi
Hamna jema! Ni baadhi yenu walikuwa wanataka Rais atoke ametoka mnamjia juu! Nadhani bado mpo kwenye uchambuzi wa kipi mnataka.Maza, atuliee, kuzurura zurura, hakujengi Nchi
Dah ila mama kazidi leo yupo uarabuniSasa sisi wabongo tusiosafiri nje ya nchi tumekufa? Ni ujinga na kujiendekeza kwamba kusafiri nje ya nchi kuna maana yoyote. Magufuli hakusafiri nje ya nchi na naweza kukwambia kwamba thamani ya uongozi wake nje na ndani ni mara dufu kuliko haya yanayojitembeza tembeza.