Jicho la Mwewe: Kufukuzwa kazi kwa Balozi Mulamula ni matokeo ya ziara za Rais nchi za nje

Umeshasema 'kuvuka mipaka ya kazi' tayari hilo ni kosa la kimaadili.
Mtimdo wa mama kuongoza nimeupenda sana, anasema kauli mpaka vichwa vya watu viume siyo Ile unaweka bayana na kuikosesha uchimbuzi. Lakini alivomtoa Chalamila yalizungimzwa hayahaya kuwa anaondoa walikuwa watu wa mjomba lakini kamrudisha sijaona masahihisho. Kikubwa tujue kumteua na kumtoa mtu katika nafasi fulani ni mapenzi ya mteuaji wengine tunaumiza vichwa bure.
 
Pia walipostiwa mtandaoni wakiwa wanafanya manunuzi yakutisha kwenye maduka high class huku wananchi wakiteseka
 
Huyu mama alipiga kambi US kwa kujidai Film actor; Royal tour. Nasikia Kimambi ndo alikuwa anampa kampani ya shopping. Nadhani hata alipoondoka alisindikizwa na mume wa balozi tu!
 
Bado na anataka arudi tz afungue mkutano pale Arusha utafikiri waziri wa maliasili na utalii hayupo
 
Dah ila mama kazidi leo yupo uarabuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…