Jicho la tabu: Marekani wakijiridhisha Putin anapanga kutumia nyuklia, watamuwahi kabla hajafanya hivyo na watamgeuzia kibao katumia

Jicho la tabu: Marekani wakijiridhisha Putin anapanga kutumia nyuklia, watamuwahi kabla hajafanya hivyo na watamgeuzia kibao katumia

Kwanza, Hatuwezi kuthibitisha kama umewahi kushuhudia vita au umewahi kuingia front, mtu yeyote akiwa nyuma ya keyboard hata huko Buza kwa mpalange anaweza kusema hayo maneno.Hizo ni mbwembwe tu zisizo na mashiko

Pili, Unaweza kufungua uzi kuhusu waliyofanya US kwenye vita vya huko nchi nyingine. Ni ufinyu wa hoja unaokusababisha kuokteza hoja zisizohusiana kuhalalisha uvamizi na udhalimu wa Russia huko Ukraine.

Tatu, Hao wanajeshi wa Iraq waliouwa walipovamia Iran ilikuwa ni halali yao kabisa kama vile ilivyokuwa halali kuuwawa kwa wanajeshi wa Iddi Amin walipovamia Tanzania, wanajeshi wa Hitler walipovamia majirani zao na ni halali pia kwa wanajeshi wa Urusi waliokubali kuvamia Ukraine kugeuzwa mbolea za mazao ya Ukraine.
Ndio maana nikasema vita ni vita na watu wanakufa tu
Nimeshuhudia vita na front nimeingia pia mkuu najua madhara ya vita sio wa kuhadithiwa

Kumbuka vita ya Iraq alipovamia Kuwait mimi nilikuwa huko na walichkifanya hawa mnaowatetea ni unyama ambao utakuwa kwenye vitabu miaka mingi ijayo

Baada ya Iraq soldiers kuamua kuondoka Kuwait baada ya kuzidiwa nguvu na kuona hawawezi kupigana na Dunia nzima wakaamua kutoka wakiwa Kuwait

Kulichofuata ni kuuwawa na ndege za Kivita bila huruma na ndio ikaitwa HIGHWAY OF DEATH
Nilikuwa huko na nimeshuhudia hiyo highway na ninaijua vizuri kwa sababu ilikuwa njia yangu ya kwenda kazi kwa miaka mingi
Wanajeshi wamepigwa wakiwa wanakimbia kurudi kwao na hawa hawa NATO na [emoji631]na [emoji289]

Mtabishana na ninajua kuna watu wamo humu wananukuu maneno tu na kufuata mkumbo ila hata bunduki hawajawahi kuiona

Kwa hiyo hapo Mrusi ameuwa iwe fundisho na legacy yao kuwa don't mess with us
Ni kama usa walivyofanya Iraq

Highway of Death asieijua ni hii hapa inatoka Jahra, Kuwait mpaka Basra,Iraq

Wametuharibia maisha tu mafala hao
View attachment 2380456View attachment 2380457
 
Kwanza, Hatuwezi kuthibitisha kama umewahi kushuhudia vita au umewahi kuingia porini, mtu yeyote akiwa nyuma ya keyboard hata huko Buza kwa mpalange anaweza kusema hayo maneno.Hizo ni mbwembwe tu zisizo na mashiko

Pili, Unaweza kufungua uzi kuhusu waliyofanya US kwenye vita vya huko nchi nyingine. Ni ufinyu wa hoja unaokusababisha kuokteza hoja zisizohusiana kuhalalisha uvamizi na udhalimu wa Russia huko Ukraine.

Tatu, Hao wanajeshi wa Iraq waliouwa walipovamia Iran ilikuwa ni halali yao kabisa kama vile ilivyokuwa halali kuuwawa kwa wanajeshi wa Iddi Amin walipovamia Tanzania, wanajeshi wa Hitler walipovamia majirani zao na ni halali pia kwa wanajeshi wa Urusi waliokubali kuvamia Ukraine kugeuzwa mbolea za mazao ya Ukraine.
Naona kwenye mijadala huwa unaishia JF tu sidhani kama umejiunga kwenye forums zingine duniani

Unaweza kubishana na mimi au kubeza kwa ninachokiandika au kukijua ila kumbuka hunijui wala mimi sikujui lakini kwa kuwa umezoea labda kudanganya ndio maana unaona kila mmoja ni mjanja mjanja tu

Sasa nijieleze kwa uongo kwa faida ya nani maana sihitaji kitu kwa mtu
Kuna forums nyingi sana hata za wenye ndege binafsi zipo sasa kama ukisoma hizo watu wakiweka mpaka picha za ndege zao na kujadili naona wewe ungewaponda wote na kusema acheni uongo nyie

Mkuu naona umasikini umewaharibu akili sana kiasi unaona mtu kutoka nje ya nchi ni Tambo kubwa sana
Sasa weka record hii pia nimetembea sana nchi 32 Duniani na zinaendelea
Wewe jisifie kuishi hapo ulipo

Hakuna anaejisifu hapa bali ukweli tu mimi nilipo hapa ni mile 1600 tu ukraine haya wewe upo umbali gani [emoji1]

Tubishane tu ila tusiitane waongo huenda siku moja tukaelewana
 
Wewe kilaza hata kambi ya Lugalo na Mbagala kule kulipotokea ajali ya milipuko ya mabomu ziko katika makazi ya watu.

Halafu huyo Prorussia mwenzako alivyokuwa anasema US huwa inashambulia makazi ya raia mbona hukumwambia kuna magaidi walikuwa wamejificha huko katikati ya raia.

Na badala ya kusherekea ufidhuli wa Putin na kuwapangia wapi Ukraine waweke wanajeshi au silaha zao kwenye nchi yao ungejiuliza kipi kimemfanya Putin avamie nchi ya watu na kuua watu hovyo.

Kambi za jeshi kuwa makazi ya kiraia haizifanyi zisiwe target pale panapotokea vita.

Kwa kesi ya Ukraine, kambi za jeshi hazikuwepo hapo kwenye mall, hiyo mall waliitumia tu kama cover na kuna kuweka vifaa vyao vya kijeshi so kwenye nyanja za kivita inakua ni valid military target.

Ni kwamba mpaka leo hujui sababu ya Putin kuweka SMO hapo Ukraine? Inaonekana wengi wa mashabiki wa NATO/Ukraine mnachangia humu bila kujua hata sababu ya hii vita ni nini?
20221008_110939.jpg
20221008_111154.jpg
 
Mkuu, unafahamu kitu kinaitwa "dead hand"?

Vita ya nyuklia haina kuwahiana. Hao wakubwa walilijua hilo siku nyingi sana. Wakatengeneza systems zinazoweza kufanya retaliation hata kama watu wote wamekufa.

Yani ukipiga bomu ukaua watu wote Urusi, wala hautabaki salama. Walishatengeneza system ambayo inaweza kutambua shambulizi limetokea wapi, na yenyewe ikajibu kwa mashambulizi mazito zaidi.

Putin alisema "You won't even get the time to repent". Yani ukiishambulia Urusi kwa nyuklia, hautapata hata muda wa kusali sala ya toba. Itakushukia mvua ya makombora mpaka shetani abaki anashangaa "mbona ghafla sana jamani".


Hata hao marekani pia wanayo system yao. Hiyo habari ya kuwahiana labda itokee kwa Uganda na Rwanda. Sio hao mabeberu!
Hahaaaaaaaa...

Shetani anasema mbona ghafla jamani hahaaaaa.. .yaani naye anakuwa hajakamilisha mipango yake hahaaaaaa
 
Urusi nilikua namwamini sana ila tokea vita ya Ukraine nimemuona maneno mengi tu kama Ali Sahafu...yaani asumbuke na Ukraine mwezi wa nane atishie Dunia sio kweli...
Vita ya kumfuata mwenzio alipo, wewe unaemfuata utahitaji nguvu kubwa na usipoangalia utapoteza. Mana yeye anakusubiri, yupo kwake na mitaa yake anaijua vizuri. Ndio ugumu anaoupata Urusi.
 
Kabla ya uvamizi wa Putin ni lini Rais au kiongozi yoyote wa Ukraine aliwahi kusema wanataka kujiunga na NATO?

Kwani bone of contention kati ya Ukraine na Urusi ilikuwa inahusu kitu gani hasa,labda tuanzie hapo.
 
inajilipua kwenda wap ? yaan wewe ujue hilo halaf USA wasiwe na solution , unafikir kwa akili yako fupi USA atalipua nyuklia kutokea nchini kwake ? kabla ya kuchangia vitu vingine reason well
Ndugu, wewe umereason kwenye comment hi?!?!
 
Broo nyuklia sio AK 47.
Eti atumie Russia dhidi ya Ukraine Marekani waijibu Russia dhidi ya shambulio. Hili sahau. Tuliokuwemo katika miaka ya Vita baridi tunajua na kukumbuka Kwamba Tension ( sintofahamu) ya kijeshi iliopo Ukraine haifiki hata Robo ya tukio la Cuban missiles Crisis.
Kulikua na urushianaji maneno was kutisha.
Ukiachana na Hilo Kuna Vietnam alipokimbizwa Marekani na wavietnam wakisaidiwa na Warusi ( Soviet) kwa kila kitu .
Pia Kuna hii wasovieti ( Russian) walipokimbizwa vibaya Afghanistan baada ya Vita ya miaka takriban 9. Hapa Wamarekani walikuwa dhidi ya Wasovieti wakiwasaidia was Afghanistan.
Kwahiyo basi si rahisi Kwamba endapo itatokea Russia pekee ndo itaangamia. West yote hasa NATO ya ulaya itaangamia . Yatapigwa makombora Russia yote lakini kumbuka Kuna submarine ziko active mda wote zitafanya exchange ya makombora. Atabaki Nani?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Ifike kipindi watu inabidi wakubali baadhi ya mambo hawafahamu. Huyo jamaa anajua siasa za Tz pekee!

Haya masuala anayoelezea inaonesha hafahamu kitu kwenye uwanja huu anaojaribu kuserebuka nao!
 
Ushindi katika vita ya nyuklia hautamuliwa na ubora wa Jeshi wala silaha nchi husika ilizonazo, bali ni nani atamuwahi mwenzake katika kutumia nyuklia kushinda/ kumaliza vita.

Kwa msingi huo, msitegemee Marekani asuburi Russia atumie nyuklia ndio nae ajibu mapigo, bali atamuwahi akishajiridhisha kwa asilimia 100 kuwa Russia anakwenda kutumia nyuklia.

Katika hili, sitarajii Biden atasubiri idhini ya Bunge bali litachukuliwa kama ni jambo la dharau linalohitaji Immediate response kwa usalama wa US na washirika wake.

Vile vile wanaweza hata kumzushia katumia nyuklia katika kutafuta justification ya kumshbulia kama walivyofanya kwa Sadam Hussein walipodai kuwa alikuwa na silaha zilizopigwa marufuku( weapons of mass destruction).

Kwa sasa Biden anachofanya ni kuiandaa dunia kisaikolojia kupokea taarifa za aina hiyo wakati wowote kuanzia sasa.


Time will tell.
Unaota!
 
Back
Top Bottom