Jicho la tatu: Kombe la Dunia Qatar litautangaza zaidi ushoga kuliko kuupunguza

Nyinyi ndio wenyewe
 
Kuna vitu umesema vinaingia akiiini na vyengine ni mawazo yako bila kuwaza vizuri. Kama unavyosema kuwa kombe hilo la dunia litautangaza ushoga kinyume na matarajio,hiyo itawajulisha ulimwengu mzima kuwa jambo hilo ni ovu na wengi watataka kujua kwaninij waislamu wanalichukui. Uovu huo unatajwa katika Qur'an tunayosoma kila siku na tangazo kubwa kuliko hata kombe la dunia.Watu wanaanza kuelewa kwenye nchi za mashoga na kuuchukia ndipo jana kumetokea kupigana risasi kwenye klabu cha mashoga Marekani.
 
Kuna ujinga mwingi sana hata EPL armband Zina nembo ya ushoga........naona hawa mapunga wameanza kushika uchumi wa dunia....... Qatar wako sahihi tu wakafanyie upuuzi nje huko
 

Ur still a learner mkuu. Most of the time ukisikia mtu kapiga watu risasi kwenye klabu ya mashoga ujue na yeye ni shoga na kafanya hivyo KWA sababu ya wivu wa kimapenzi. Hata huyo aliye piga risasi watu majuzi na yeye ni shoga pia na amefanya hivyo kwa sababu za wivu wa mapenzi ya kishoga...


Kuhusu watu kujua ushoga ni kitu kibaya na kwamba umekatazwa kwenye Quoran hakuna asiye jua hilo kitu kitakacho fanyika ni kwamba wakati lipo kundi la watu litajiuliza kwanini Quoran imekataa ushoga ( mostly wazungu KWA sababu MWARABU /mwafrika hawezi kujiuliza hivi)

Lipo pia kundi la waarabu na waafrika ambao watajiuliza kwanini wazungu Wana sapoti ushoga. Humo humo watapatikana watu ambao watataka kujua ushoga ni kitu GANI haswa na watataka kujaribu ( mostly adolescents)

Mapenzi Kati ya mama na mtoto wake wa kiume yamekatazwa pia right? Lakini huwezi kuanza kufanya kampeni kubwa za kupinga mapenzi ya mama na mtoto. Ni fedheha hata kutamka !!! Utawafanya baadhi ya watu waone kumbe inawezekana.
 
Wazee wa conspiracy huwa wanafocus mbele zaidi, kupromote ni faida kwao kutopromote pia ni faida pia kwao. Ukiiupinga ndio unaupromote zaidi
 
Wazee wa conspiracy huwa wanafocus mbele zaidi, kupromote ni faida kwao kutopromote pia ni faida pia kwao. Ukiiupinga ndio unaupromote zaidi
Yes kabisa. Aliye sema "When you resist it persists" hakuwa mjinga"
 
Walioanzisha mpira ndio walioanzisha ushoga. Mpira ndio dini mpya kwa sasa, ibada hii ufatiliwa live na watu takribani bilioni moja live duniani. So Hakuna dini yeyeto iliyoweza jaza watu zaidi ya bilioni moja kwenye ibada moja kama mpira. Mpira ndie mungu anaeabudiwa, watazamaji ndio waumini, refa ndie mwendesha ibada, wafadhiri ndio wazee wa kanisa, malanzi men ndio Wahudumu wa kanisa, uwanja na TV ndio nyumba ya ibada.
 
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tatizo ni kwamba watafanya vijana wengi wa arabuni na middle east kuwa curious na huo ushoga na hapo ndipo ushoga utakapo tamalaki katika nchi hizo kama ambavyo sasa hivi Misri, Jordan na Lebanon umeanza kutamalaki
Hukumu ni kitanzi huko
 
...nikiwa mdogo nyumbani kulikuwepo na panga(visu) viwili...kimoja butu kwa matumizi ya watu wote na jingine safi lenye makali ni la baba na ukikutwa nalo ni kipigo. Ajabu pamoja na kupigwa tulipenda sana kulitumia Hilo la baba! Kwa mjomba hivyo hivyo kulikuwepo na mapanga mawili kama nyumbani, ila hapakuwepo na zuio la kuyatumia kama kwetu aiabu watoto wa mjomba hawakuwa wakipenda kutumia lenye makali kisa wanasema ukizubaa linakukata!

Binadamu naturally tumeumbwa wadadisi (curiousity) sasa hivi naamini walimu wa chekechea wa Qutar swali watakalokuwa wanaulizwa sana ni hili la ushaoga....
 
Duuh mi bhana naona hili jambo liache kupewa headline mana kweli naona limekuwa gumzo ni kama waarabu wanapenda sasa kuongelea huu ushenzi naungana na mtoa mada.
Mana hata watoto wa kike vile unamsisitiza sana kaacha mapenzi ya utotoni ni kama unamsukuma zaidi kujaribu ilikuwa ni kukaa kimya huku sheria ikichukua mkondo wake yeyote atakae bainika ni shoga ataondoshwa mara moja kwenye taifa hilo.
 
Unaweza kuona hata kwa watoto wa kike wale wanaosisitiziwa sana kutoshiriki mapenzi ya utotoni ndio huwa wanakuwa na Shauku ya kujaribu na hata wakijaribu huwa hawana tahadhari mwisho ni mimba na maradhi kuna mipaka ya kuongelea jambo sio kila saa shoga shoga ***** ***** he mpaka watoto huko Qatar saivi watakuwa wanaulizana hiki ni kitu gani mwisho watajaribu na ndo mwanzo wa kuharibika..
 
Sure this is what I was talking about
 
Halafu kibaya zaidi Qatar wapo karibu na Holy Land ( Saidia) ni hatari sana kupeleka habari za ushoga ktk eneo hilo la kijiografia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…