Jicho la tatu: Kombe la Dunia Qatar litautangaza zaidi ushoga kuliko kuupunguza

Jicho la tatu: Kombe la Dunia Qatar litautangaza zaidi ushoga kuliko kuupunguza

Nguvu wanayo tumia kupambana na ushoga ime fanya habari za ushoga ziwe popular zaidi uarabuni na middle east yote kuliko kipindi chochote kile.

KWA kawaida kwa tamaduni za kiarabu habari za ushoga huwa hazizungumzwi kabisa hadharani ni mwiko mkubwa sana kuzungumza habari kama hizo.

Qatar hawakuwa na ulazima wowote ule wa kuandaa hayo mashindano huku wakijua watalazimika kuzungumza habari za ushoga na mashoga.
Nyinyi ndio wenyewe
 
Nguvu wanayo tumia kupambana na ushoga ime fanya habari za ushoga ziwe popular zaidi uarabuni na middle east yote kuliko kipindi chochote kile.

KWA kawaida kwa tamaduni za kiarabu habari za ushoga huwa hazizungumzwi kabisa hadharani ni mwiko mkubwa sana kuzungumza habari kama hizo.

Qatar hawakuwa na ulazima wowote ule wa kuandaa hayo mashindano huku wakijua watalazimika kuzungumza habari za ushoga na mashoga.
Mambo mengine (hasa mambo ya hovyo kama ushoga) ukitaka yasienee hutakiwi kuyazungumzia kabisa.

Nguvu wanayo itumia Qatar kupambana na ushoga kwenye kombe la DUNIA itafanya hata wale ambao walikuwa hawajui ushoga ni nini wawe curious kujua ni kitu GANI hicho.

Sasa hivi ushoga unatajwa mara nyingi zaidi kuliko hata kombe lenyewe.

Nahisi walio peleka kombe Qatar agenda yao kuu ilikuwa ni kuutangaza ushoga in an indirect way (there is no bad publicity)

Walijua waarabu wataingia mkenge na kutumia nguvu kubwa kudeal na ishu ya ushoga jambo ambalo lita upromote ushoga in the process.

Kama watu wa Intelligence wa Qatar hawaku waza hiki ninacho kiwaza mimi basi tayari wamekwisha feli unless otherwise ndani ya serikali ya Qatar wapo mapandikizi wa USA and co ambao WANAJUA kitu GANI wanakifanya.

Nipo nimekaa pale mtakuja kuniambia.

JK akiwa Rais aliwahi kuulizwa swali na mwandishi wa CNN.

Mwandishi: Nini misimamo wako kuhusu haki za mashoga.

J.K: katika jamii ninayo ishi baadhi ya mambo ni taboo/mwiko hata kuyazungumzia KWA hiyo sina chochote cha kukujibu.

FANTASTIC ANSWER. AND THIS IS WHAT I AM TALKING ABOUT
Kuna vitu umesema vinaingia akiiini na vyengine ni mawazo yako bila kuwaza vizuri. Kama unavyosema kuwa kombe hilo la dunia litautangaza ushoga kinyume na matarajio,hiyo itawajulisha ulimwengu mzima kuwa jambo hilo ni ovu na wengi watataka kujua kwaninij waislamu wanalichukui. Uovu huo unatajwa katika Qur'an tunayosoma kila siku na tangazo kubwa kuliko hata kombe la dunia.Watu wanaanza kuelewa kwenye nchi za mashoga na kuuchukia ndipo jana kumetokea kupigana risasi kwenye klabu cha mashoga Marekani.
 
Kuna ujinga mwingi sana hata EPL armband Zina nembo ya ushoga........naona hawa mapunga wameanza kushika uchumi wa dunia....... Qatar wako sahihi tu wakafanyie upuuzi nje huko
 
Kuna vitu umesema vinaingia akiiini na vyengine ni mawazo yako bila kuwaza vizuri. Kama unavyosema kuwa kombe hilo la dunia litautangaza ushoga kinyume na matarajio,hiyo itawajulisha ulimwengu mzima kuwa jambo hilo ni ovu na wengi watataka kujua kwaninij waislamu wanalichukui. Uovu huo unatajwa katika Qur'an tunayosoma kila siku na tangazo kubwa kuliko hata kombe la dunia.Watu wanaanza kuelewa kwenye nchi za mashoga na kuuchukia ndipo jana kumetokea kupigana risasi kwenye klabu cha mashoga Marekani.

Ur still a learner mkuu. Most of the time ukisikia mtu kapiga watu risasi kwenye klabu ya mashoga ujue na yeye ni shoga na kafanya hivyo KWA sababu ya wivu wa kimapenzi. Hata huyo aliye piga risasi watu majuzi na yeye ni shoga pia na amefanya hivyo kwa sababu za wivu wa mapenzi ya kishoga...


Kuhusu watu kujua ushoga ni kitu kibaya na kwamba umekatazwa kwenye Quoran hakuna asiye jua hilo kitu kitakacho fanyika ni kwamba wakati lipo kundi la watu litajiuliza kwanini Quoran imekataa ushoga ( mostly wazungu KWA sababu MWARABU /mwafrika hawezi kujiuliza hivi)

Lipo pia kundi la waarabu na waafrika ambao watajiuliza kwanini wazungu Wana sapoti ushoga. Humo humo watapatikana watu ambao watataka kujua ushoga ni kitu GANI haswa na watataka kujaribu ( mostly adolescents)

Mapenzi Kati ya mama na mtoto wake wa kiume yamekatazwa pia right? Lakini huwezi kuanza kufanya kampeni kubwa za kupinga mapenzi ya mama na mtoto. Ni fedheha hata kutamka !!! Utawafanya baadhi ya watu waone kumbe inawezekana.
 
Wazee wa conspiracy huwa wanafocus mbele zaidi, kupromote ni faida kwao kutopromote pia ni faida pia kwao. Ukiiupinga ndio unaupromote zaidi
 
Wazee wa conspiracy huwa wanafocus mbele zaidi, kupromote ni faida kwao kutopromote pia ni faida pia kwao. Ukiiupinga ndio unaupromote zaidi
Yes kabisa. Aliye sema "When you resist it persists" hakuwa mjinga"
 
Walioanzisha mpira ndio walioanzisha ushoga. Mpira ndio dini mpya kwa sasa, ibada hii ufatiliwa live na watu takribani bilioni moja live duniani. So Hakuna dini yeyeto iliyoweza jaza watu zaidi ya bilioni moja kwenye ibada moja kama mpira. Mpira ndie mungu anaeabudiwa, watazamaji ndio waumini, refa ndie mwendesha ibada, wafadhiri ndio wazee wa kanisa, malanzi men ndio Wahudumu wa kanisa, uwanja na TV ndio nyumba ya ibada.
 
Walioanzisha mpira ndio walioanzisha ushoga. Mpira ndio dini mpya kwa sasa, ibada hii ufatiliwa live na watu takribani bilioni moja live duniani. So Hakuna dini yeyeto iliyoweza jaza watu zaidi ya bilioni moja kwenye ibada moja kama mpira. Mpira ndie mungu anaeabudiwa, watazamaji ndio waumini, refa ndie mwendesha ibada, wafadhiri ndio wazee wa kanisa, malanzi men ndio Wahudumu wa kanisa, uwanja na TV ndio nyumba ya ibada.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tatizo ni kwamba watafanya vijana wengi wa arabuni na middle east kuwa curious na huo ushoga na hapo ndipo ushoga utakapo tamalaki katika nchi hizo kama ambavyo sasa hivi Misri, Jordan na Lebanon umeanza kutamalaki
Hukumu ni kitanzi huko
 
...nikiwa mdogo nyumbani kulikuwepo na panga(visu) viwili...kimoja butu kwa matumizi ya watu wote na jingine safi lenye makali ni la baba na ukikutwa nalo ni kipigo. Ajabu pamoja na kupigwa tulipenda sana kulitumia Hilo la baba! Kwa mjomba hivyo hivyo kulikuwepo na mapanga mawili kama nyumbani, ila hapakuwepo na zuio la kuyatumia kama kwetu aiabu watoto wa mjomba hawakuwa wakipenda kutumia lenye makali kisa wanasema ukizubaa linakukata!

Binadamu naturally tumeumbwa wadadisi (curiousity) sasa hivi naamini walimu wa chekechea wa Qutar swali watakalokuwa wanaulizwa sana ni hili la ushaoga....
 
Duuh mi bhana naona hili jambo liache kupewa headline mana kweli naona limekuwa gumzo ni kama waarabu wanapenda sasa kuongelea huu ushenzi naungana na mtoa mada.
Mana hata watoto wa kike vile unamsisitiza sana kaacha mapenzi ya utotoni ni kama unamsukuma zaidi kujaribu ilikuwa ni kukaa kimya huku sheria ikichukua mkondo wake yeyote atakae bainika ni shoga ataondoshwa mara moja kwenye taifa hilo.
 
...nikiwa mdogo nyumbani kulikuwepo na panga(visu) viwili...kimoja butu kwa matumizi ya watu wote na jingine safi lenye makali ni la baba na ukikutwa nalo ni kipigo. Ajabu pamoja na kupigwa tulipenda sana kulitumia Hilo la baba! Kwa mjomba hivyo hivyo kulikuwepo na mapanga mawili kama nyumbani, ila hapakuwepo na zuio la kuyatumia kama kwetu aiabu watoto wa mjomba hawakuwa wakipenda kutumia lenye makali kisa wanasema ukizubaa linakukata!

Binadamu naturally tumeumbwa wadadisi (curiousity) sasa hivi naamini walimu wa chekechea wa Qutar swali watakalokuwa wanaulizwa sana ni hili la ushaoga....
Unaweza kuona hata kwa watoto wa kike wale wanaosisitiziwa sana kutoshiriki mapenzi ya utotoni ndio huwa wanakuwa na Shauku ya kujaribu na hata wakijaribu huwa hawana tahadhari mwisho ni mimba na maradhi kuna mipaka ya kuongelea jambo sio kila saa shoga shoga ***** ***** he mpaka watoto huko Qatar saivi watakuwa wanaulizana hiki ni kitu gani mwisho watajaribu na ndo mwanzo wa kuharibika..
 
Unaweza kuona hata kwa watoto wa kike wale wanaosisitiziwa sana kutoshiriki mapenzi ya utotoni ndio huwa wanakuwa na Shauku ya kujaribu na hata wakijaribu huwa hawana tahadhari mwisho ni mimba na maradhi kuna mipaka ya kuongelea jambo sio kila saa shoga shoga ***** ***** he mpaka watoto huko Qatar saivi watakuwa wanaulizana hiki ni kitu gani mwisho watajaribu na ndo mwanzo wa kuharibika..
Sure this is what I was talking about
 
...nikiwa mdogo nyumbani kulikuwepo na panga(visu) viwili...kimoja butu kwa matumizi ya watu wote na jingine safi lenye makali ni la baba na ukikutwa nalo ni kipigo. Ajabu pamoja na kupigwa tulipenda sana kulitumia Hilo la baba! Kwa mjomba hivyo hivyo kulikuwepo na mapanga mawili kama nyumbani, ila hapakuwepo na zuio la kuyatumia kama kwetu aiabu watoto wa mjomba hawakuwa wakipenda kutumia lenye makali kisa wanasema ukizubaa linakukata!

Binadamu naturally tumeumbwa wadadisi (curiousity) sasa hivi naamini walimu wa chekechea wa Qutar swali watakalokuwa wanaulizwa sana ni hili la ushaoga....
Halafu kibaya zaidi Qatar wapo karibu na Holy Land ( Saidia) ni hatari sana kupeleka habari za ushoga ktk eneo hilo la kijiografia
 
Back
Top Bottom