johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unasalimiwa na Shura ya akina Ponda 😀Bashe hakuingia kwenye vita yoyote na wala hajarudisha mashambulizi.
Mpina toka atemeshwe uwaziri anaonesha uhalisia wake, ni mbaguzi, na simply ni sukuma gang tu.
Bashe hana haja ya kujibizana na mjinga huyo, akae kimya tu, atajipiga kwa ujinga wake mwenyewe kama alivyofanya juzi, kashambulia yeye kajipiga kabari yeye.
Nikajua umeandika kitu Cha maana kumbe Bado ni blaa blaa as Mpina?Igweeeee wana kidoni wazee wakunusa mbali tuna kuja na hii mpya kuliko zote. Kwanza tuanze kwanini Bashe ameingia kwenye vita kali na Mpina? Je, chanzo ni kitu gani na siri nikitu gani.
Awali ya yote ni lazima mjue Mpina sio wa anga hii wala sio wa type yao... mbaya kuliko yote ni moja ya watu kifo cha Magufuli kinamuuma sana na huenda yupo tayari hata kuuza uhai wake kumwaga Mchele na chuya basi kila mtu akose kiukweli Mpina ni mzizi mrefu sana 🤐 na nisiandike mie ila Kwenye x akina Kimambe wataanika.
Mpina amecheza rafu kali bungeni na kwa Bahati mbaya sana kiti pasipo kujua nini chaweza kutokea kikaona ngoja waombe athibitishe tuhuma zake kwa Bashe. Asijue Mpina ni mzizi mrefu na angeweza kuja na nondo zina weza zima bunge kwa masaa 24.
Bifu la Mpina na Bashe ni zito kuliko haya tunayoyajua na huenda kitalu kikagawanyika na kuzua mzozo wa kikatiba.🤐🙄
Kwanini Spika amevimba sana baada ya mwamba kumwaga Michele kwenye kuku wengi. Nani alimpa mamlaka hiyo na kwa nini afanye hivyo?
Je, alipata siri za ndani kwamba report yake itapigwa kata funua na mwanaharam spite hapo chacha ndio palipo mwakaza bb siri. Yaani mpaka ya chumbani anayajuwa huyu nani?
Well Mpina anataka kuumizwa ila sio kwa haki ni kwa dhuluma na nia mbaya kupoteza umaana wa ile report na huenda ficha mambo mazito nyuma ya report. Msishangae akapumzishwa kuudhuria bunge msishangae.
Ila pia msishangae kwa kile kitatokea baada ya mzalendo huyu zibwa mdomo. Bunge halitobaki kama lilivyokuwa na cheche zitakazo lipuka nje yakitalu zitaiacha jamuhuri ya wana kusadikika ktk maumivu makalu.
Ikumbukwe this is shadow war inside secret institute mtanielewa baadae.
Pia soma:
Umekosa hoja unaanza kuhororoja.Unasalimiwa na Shura ya akina Ponda 😀
Ni salamu tuUmekosa hoja unaanza kuhororoja.
Sakata hili lina uhusiano na ile panga pangua inayoendelea pale jumba jeupeIgweeeee wana kidoni wazee wakunusa mbali tuna kuja na hii mpya kuliko zote. Kwanza tuanze kwanini Bashe ameingia kwenye vita kali na Mpina? Je, chanzo ni kitu gani na siri nikitu gani.
Awali ya yote ni lazima mjue Mpina sio wa anga hii wala sio wa type yao... mbaya kuliko yote ni moja ya watu kifo cha Magufuli kinamuuma sana na huenda yupo tayari hata kuuza uhai wake kumwaga Mchele na chuya basi kila mtu akose kiukweli Mpina ni mzizi mrefu sana 🤐 na nisiandike mie ila Kwenye x akina Kimambe wataanika.
Mpina amecheza rafu kali bungeni na kwa Bahati mbaya sana kiti pasipo kujua nini chaweza kutokea kikaona ngoja waombe athibitishe tuhuma zake kwa Bashe. Asijue Mpina ni mzizi mrefu na angeweza kuja na nondo zina weza zima bunge kwa masaa 24.
Bifu la Mpina na Bashe ni zito kuliko haya tunayoyajua na huenda kitalu kikagawanyika na kuzua mzozo wa kikatiba.🤐🙄
Kwanini Spika amevimba sana baada ya mwamba kumwaga Michele kwenye kuku wengi. Nani alimpa mamlaka hiyo na kwa nini afanye hivyo?
Je, alipata siri za ndani kwamba report yake itapigwa kata funua na mwanaharam spite hapo chacha ndio palipo mwakaza bb siri. Yaani mpaka ya chumbani anayajuwa huyu nani?
Well Mpina anataka kuumizwa ila sio kwa haki ni kwa dhuluma na nia mbaya kupoteza umaana wa ile report na huenda ficha mambo mazito nyuma ya report. Msishangae akapumzishwa kuudhuria bunge msishangae.
Ila pia msishangae kwa kile kitatokea baada ya mzalendo huyu zibwa mdomo. Bunge halitobaki kama lilivyokuwa na cheche zitakazo lipuka nje yakitalu zitaiacha jamuhuri ya wana kusadikika ktk maumivu makalu.
Ikumbukwe this is shadow war inside secret institute mtanielewa baadae.
Pia soma:
Ulitaka wasijuwane?Ni salamu tu
Bashe na Seif wanajuana ni Wajinga tu watakaochotwa akili 😂😂
Tuwafufurushe Muda TAYARIHaiwezekani nchi ya wengi imilikiwe na wachache
Kuanzia leo, nimeamua kukupuuza na nakuona ni kama mtu usiyeumizwa na chochote juu ya madhila yanayowapata Watanzani wenzako na ama wewe ni mtu wa mlengo fulani na kwa sababu hiyo, hata kama kunapotokea makosa kwa watu wale walio kwenye mlengo wako, kwako ni manukato kwa sababu ulishajiwekeza hivyoBashe hakuingia kwenye vita yoyote na wala hajarudisha mashambulizi.
Mpina toka atemeshwe uwaziri anaonesha uhalisia wake, ni mbaguzi, na simply ni sukuma gang tu.
Bashe hana haja ya kujibizana na mjinga huyo, akae kimya tu, atajipiga kwa ujinga wake mwenyewe kama alivyofanya juzi, kashambulia yeye kajipiga kabari yeye.
Yameisha Ustaadh Faiza 😂😂Ulitaka wasijuwane?
CCM Asili vs Ccm maslahi 😳Mimi nimekuelewa vyema
Kuna maswali kadhaa ambayo mtu mwenye kufikiri vyema anaweza kujiuliza kuhusu sakata hili
1. Ilikuwaje Luhaga Mpina akusanye ushahidi wa nyaraka zile haraka vile tena zingine toka kwenye mamlaka nyeti za kiserikali kwa wepesi na kwa kupewa ushirikiano kirahisi vile? Hivi ingekuwa ndiyo kipindi cha wabunge wa upinzani kina Lissu, Lema and others wametoa tuhuma hizi tunadhani wangewezaje kuingia BRELA, TRA Benki mbalimbali nk na wakapewa nyaraka za namna hiyo?
2. Tunadhani ni kwanini Luhaga Mpina immediately baada ya kuwasilisha ushahidi wake kwa Spika akaitisha PC na kumwaga kila kitu hadharani kabla Spika hajaamua? Je, alishajulishwa kuwa ushahidi wake unakwenda kuchakachuliwa? Tunadhani Luhaga Mpina alikuwa hajui kuwa kanuni za Bunge zinamkataza kufanya alivyofanya? Tunadhani Luhaga Mpina hajui afanyacho? Hakuwa anajua matokeo yake?
3. Mtazamameni Spika Dr Tulia Ackson wakati anasoma taarifa yake. Si kwamba alikuwa amekasirika. Huyo alikuwa kwenye mfadhaiko na mshituko mkubwa. Alionekana wazi kama ana shinikizo fulani ktk kufanya maamuzi yale.
Hii ni ishara ya kitu hatari kwa CCM na chema sana kwa CHADEMA kina Freeman Mbowe na Tundu Lissu. CCM hakuko shwari. Serikalini hakuko shwari.!!
Bashe kawajengea misikiti mingapi? Make nyie kuiba ni ruksa Ili mradi umegusa misikitiBashe hakuingia kwenye vita yoyote na wala hajarudisha mashambulizi.
Mpina toka atemeshwe uwaziri anaonesha uhalisia wake, ni mbaguzi, na simply ni sukuma gang tu.
Bashe hana haja ya kujibizana na mjinga huyo, akae kimya tu, atajipiga kwa ujinga wake mwenyewe kama alivyofanya juzi, kashambulia yeye kajipiga kabari yeye.
Ndo maana wenzenu ni wezi. Kumbe mnafikiria tu ya leoHizo ni ndoto, huwa natazama ya sasa, ya kesho siyafahamu.
Kazi ya Mungu haina makosa.
Very possible maana nakumbuka yaliyomkuta Ndugai.Tulia hana maamuzi, ni maagizo kutoka juu. Mpina ni shujaa, katafutwa miaka nenda rudi.
Kuchukua madaraka huko ccm ni wingi au ni kuwa kwenye nguvu ya madaraka?Wewe Mpina ana kundi kubwa ndani ya system,vile vielelezo alivyonavyo mtu wa kawaida utavitoa wapi?
Mnawachukulia poa watu wa kanda ya ziwa wakati wao ndiyo wengi humo CCM na wana uwezo wakuichanachana CCM na huyo Bi.Kizimkazi akarudi Zanzibar.
Subiri 2025,Kuna Askofu Msukuma anachukua nchi na Samia atafyata!!
Screen shot this comment!
Hujuwi kile wakiandikaBashe hakuingia kwenye vita yoyote na wala hajarudisha mashambulizi.
Mpina toka atemeshwe uwaziri anaonesha uhalisia wake, ni mbaguzi, na simply ni sukuma gang tu.
Bashe hana haja ya kujibizana na mjinga huyo, akae kimya tu, atajipiga kwa ujinga wake mwenyewe kama alivyofanya juzi, kashambulia yeye kajipiga kabari yeye.
Ndo kwanza imeanza 1 hadi ifike 100 sio leo.........watu wameshajipanga kimwili na kirohoAache kulia lia, sukuma gang mwisho wao umefika
Ujumbe wake una seal/ code.Wewe umeelewa nini mkuu 'Rabbon', mimi nimetoka kimasomaso.
Sioni haja ya kuandika lugha pinda alivyo fanya huyu uliyemwelewa kwa hayo aliyoweka hapo. Sikuona lolote la maana sana aliloeleza.
Amenisikitisha sana huyu dada anamaanisha kua mtu akiona maovu Anyamaze kwamba akisema ukweli atanyimwa nafasi ya kurudi bungeni.Nimeona unamshupalia kuwa hatarudi bungeni hiyo 2025. Tuwe taifa lenye kutenda haki. Na mtu muongo aoneshwe uongo wake.
Isiwe kutishanatishana. Sote ni watanzania, tunahitaji kila jambo lifanyike kwa nia njema pasipo kuwa na kujifaidisha nyuma ya pazia.