Jicho la tatu: Walianzisha ugomvi wa mawe wakati wanaishi kwenye nyumba ya vioo

Jicho la tatu: Walianzisha ugomvi wa mawe wakati wanaishi kwenye nyumba ya vioo

Burdani sana,umeumiza wengi umeliza wengi umezulumu wengi

Deal with it!
sass2.png
 
Siku kadhaa zilizopita, nilileta uzi hapa JF nikiwaeleza MATAGA kuwa kwakuwa wanamuhujumu Mama, kuna hatari ya Mama kjjbu mapigo kwa kuweka hadharani madudu ya Mwendazake kwani kinachoendelea ni kumfanya Mama aonekane hatoshi kumlinganisha na Mwendazake.

Binafsi naamini hata hii habari yenye tuhuma nzito tunayoisoma hapa JF leo, imevujishwa kwa makusudi katika muendelezo wa haya mapambano baina ya makundi haya mawili ndani ya chama husika na huenda press ya jana ya yule kijana wa Mwendazake, ndio imepelekea hili bomu kulipuliwa leo.

Kwa kifupi, hii vita ya maneno ndio inashika kasi huku nyumba zote ambazo zote ni za vioo, zikianza kupasuka vipande vipande na mwisho wa siku wadanganyika watapata fursa ya kuona yaliyomo ndani katika hizi nyumba(tuombe Mungu wenye pressure wasije kushindwa kuhimili watayoyaona humo ndani tukapata misiba ya mfululizo).

Last but least: Reshuffle is imminent any time from now(according to my observation).
Rubbish
 
Siku kadhaa zilizopita, nilileta uzi hapa JF nikiwaeleza MATAGA kuwa kwakuwa wanamuhujumu Mama, kuna hatari ya Mama kjjbu mapigo kwa kuweka hadharani madudu ya Mwendazake kwani kinachoendelea ni kumfanya Mama aonekane hatoshi kumlinganisha na Mwendazake.

Binafsi naamini hata hii habari yenye tuhuma nzito tunayoisoma hapa JF leo, imevujishwa kwa makusudi katika muendelezo wa haya mapambano baina ya makundi haya mawili ndani ya chama husika na huenda press ya jana ya yule kijana wa Mwendazake, ndio imepelekea hili bomu kulipuliwa leo.

Kwa kifupi, hii vita ya maneno ndio inashika kasi huku nyumba zote ambazo zote ni za vioo, zikianza kupasuka vipande vipande na mwisho wa siku wadanganyika watapata fursa ya kuona yaliyomo ndani katika hizi nyumba(tuombe Mungu wenye pressure wasije kushindwa kuhimili watayoyaona humo ndani tukapata misiba ya mfululizo).

Last but least: Reshuffle is imminent any time from now(according to my observation).
Wacha wahuni waonyeshane uhuni😄
 
pambana na chama lako la magaidi achana na CCM
kibaya zaidi wale wote walioteuliwa au faidika na mwendazake, wanamtishia mama asiwaguse, kwamba kwa kuwagusa wao ana haribu legacy ya magu...

mama anaupiga mwingi, mmoja mmoja atachomolewa
 
Siku kadhaa zilizopita, nilileta uzi hapa JF nikiwaeleza MATAGA kuwa kwakuwa wanamuhujumu Mama, kuna hatari ya Mama kjjbu mapigo kwa kuweka hadharani madudu ya Mwendazake kwani kinachoendelea ni kumfanya Mama aonekane hatoshi kumlinganisha na Mwendazake.

Binafsi naamini hata hii habari yenye tuhuma nzito tunayoisoma hapa JF leo, imevujishwa kwa makusudi katika muendelezo wa haya mapambano baina ya makundi haya mawili ndani ya chama husika na huenda press ya jana ya yule kijana wa Mwendazake, ndio imepelekea hili bomu kulipuliwa leo.

Kwa kifupi, hii vita ya maneno ndio inashika kasi huku nyumba zote ambazo zote ni za vioo, zikianza kupasuka vipande vipande na mwisho wa siku wadanganyika watapata fursa ya kuona yaliyomo ndani katika hizi nyumba(tuombe Mungu wenye pressure wasije kushindwa kuhimili watayoyaona humo ndani tukapata misiba ya mfululizo).

Last but least: Reshuffle is imminent any time from now(according to my observation).
Mbona unajibebisha kwa CCM komaa na CDM yako!?
 
Siku kadhaa zilizopita, nilileta uzi hapa JF nikiwaeleza MATAGA kuwa kwakuwa wanamuhujumu Mama, kuna hatari ya Mama kjjbu mapigo kwa kuweka hadharani madudu ya Mwendazake kwani kinachoendelea ni kumfanya Mama aonekane hatoshi kumlinganisha na Mwendazake.

Binafsi naamini hata hii habari yenye tuhuma nzito tunayoisoma hapa JF leo, imevujishwa kwa makusudi katika muendelezo wa haya mapambano baina ya makundi haya mawili ndani ya chama husika na huenda press ya jana ya yule kijana wa Mwendazake, ndio imepelekea hili bomu kulipuliwa leo.

Kwa kifupi, hii vita ya maneno ndio inashika kasi huku nyumba zote ambazo zote ni za vioo, zikianza kupasuka vipande vipande na mwisho wa siku wadanganyika watapata fursa ya kuona yaliyomo ndani katika hizi nyumba(tuombe Mungu wenye pressure wasije kushindwa kuhimili watayoyaona humo ndani tukapata misiba ya mfululizo).

Last but least: Reshuffle is imminent any time from now(according to my observation).
Binafs naona ni upuuzi tu yanayoendelea! Mama amechagua njia ya kufanya kazi kimyakimya angeendelea tu haina maana kuona malumbano yasiyo na staha mitandaoni!
 
Pamoja na hayo yote uliyoyaandika tambua kwamba CCM ina watu ambao wapo smart sana kuliko CHADEMA. Chadema mmebaki watu wa mipasho, mmekuwa Mbwa asiyeng'ata.

CHADEMA nawafananisha na mwanamke ambaye anamtishia kumuacha bwana wake wakati bado anampenda sana na hana uwezo wa kumuacha.

CHADEMA mmekuwa mkilalamika kuhusu vitendo vya CCM ila hakuna hatua mnazozichukua. Mfano mmezuiliwa kufanya mikutano ila hakuna hatua mlioichukua mmebaki mnabwekabweka tu.

CHADEMA mliibiwa kula katika uchaguzi uliopita ila hakuna mlichofanya ila mpo kwenye mitandao hasa twitter mnalialia tu. Kadhalika, mmeungana na wanaharakati uchwara kila siku kudanganyana kwenye SPACE.

CHADEMA hamjui mtokako wala hamjui mnakoelekea. Hii ni kwa sababu huenda ubongo wenu hauna akili au uoga umewatala mpaka umesababisha muwe wajinga sana.

To sum up, CHADEMA sycophants are naive, nebish and inactive.
Hapa tayari umeshapanic hadi umeyoka nje ya mada.

Hii fungulia thread yake inayojitegemea.
 
Pamoja na hayo yote uliyoyaandika tambua kwamba CCM ina watu ambao wapo smart sana kuliko CHADEMA. Chadema mmebaki watu wa mipasho, mmekuwa Mbwa asiyeng'ata.

CHADEMA nawafananisha na mwanamke ambaye anamtishia kumuacha bwana wake wakati bado anampenda sana na hana uwezo wa kumuacha.

CHADEMA mmekuwa mkilalamika kuhusu vitendo vya CCM ila hakuna hatua mnazozichukua. Mfano mmezuiliwa kufanya mikutano ila hakuna hatua mlioichukua mmebaki mnabwekabweka tu.

CHADEMA mliibiwa kula katika uchaguzi uliopita ila hakuna mlichofanya ila mpo kwenye mitandao hasa twitter mnalialia tu. Kadhalika, mmeungana na wanaharakati uchwara kila siku kudanganyana kwenye SPACE.

CHADEMA hamjui mtokako wala hamjui mnakoelekea. Hii ni kwa sababu huenda ubongo wenu hauna akili au uoga umewatala mpaka umesababisha muwe wajinga sana.

To sum up, CHADEMA sycophants are naive, nebish and inactive.
UNGEKUA MCHAMBUZI MZURI WA MASWALA YA SIASA UNGELIONA HILO LA MPIRA KUCHEZWA KWENYE 'UNEVEN GROUND'. KWA HALI HIYO UNGEGUNDUA VILEVILE HATA WEWE AMBAYE PENGINE NI MPUMBAVU UNGEHESABIWA 'SMART' KWENYE HUO UWANJA.
 
Nasema tena, "Kosa kubwa alilofanya Mama ni kutovunja baraza la mawaziri alipopokea kijiti" kukosa kufanya hivyo baadhi ya watu ndani ya system wameshindwa kutambua authority yake na yeye kashindwa kuionesha!
 
Siku kadhaa zilizopita, nilileta uzi hapa JF nikiwaeleza MATAGA kuwa kwakuwa wanamuhujumu Mama, kuna hatari ya Mama kjjbu mapigo kwa kuweka hadharani madudu ya Mwendazake kwani kinachoendelea ni kumfanya Mama aonekane hatoshi kumlinganisha na Mwendazake.

Binafsi naamini hata hii habari yenye tuhuma nzito tunayoisoma hapa JF leo, imevujishwa kwa makusudi katika muendelezo wa haya mapambano baina ya makundi haya mawili ndani ya chama husika na huenda press ya jana ya yule kijana wa Mwendazake, ndio imepelekea hili bomu kulipuliwa leo.

Kwa kifupi, hii vita ya maneno ndio inashika kasi huku nyumba zote ambazo zote ni za vioo, zikianza kupasuka vipande vipande na mwisho wa siku wadanganyika watapata fursa ya kuona yaliyomo ndani katika hizi nyumba(tuombe Mungu wenye pressure wasije kushindwa kuhimili watayoyaona humo ndani tukapata misiba ya mfululizo).

Last but least: Reshuffle is imminent any time from now(according to my observation).

KICHAMA, CCM IS STRONGER THAN NORMAL

UGOMVI WA CCM KWA CCM NDANI UNAIWEKA SAWA NA AUTOMATICALLY UNAFUTA UPINZANI!!!

Leo ilitakiwa uje na CDM wamesema nini na wapi, ila hauna ajenda hizo!!

ajenda ni mataga sukuma gang

Hivi mama samia si alikuwa makamu wa rais? KURA ZA serikali hii si ni za JPM? wabunge wote wale ni wa JPM!!!

uwage na akili basi, siasa ni akili
 
Back
Top Bottom