Habari wana JF
Watanzania, nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..
Watanzania, nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..
Nitajadili mambo makubwa mawili
1. Vita 'kamili' ya III ya dunia.
2. Namna Tz inavyofanyiwa ujasusi
Hoja No. 1
Kwa wasiojua ni kwamba vita kamili ya 3 ya Dunia imekwisha kuanza. Pole kwa wale wanaosema kuna tishio la WW3, sio tishio, ni vita kamili ilishaanza.
Naomba wanaoita hili, kuwa ni tishio, wawe ni layman tu, wasiwe kati ya Majasusi wetu. Maana kama akili ya jasusi na kufunzwa kote, hajajua vita ishaanza, huyo atakuwa hajafuzu bado na ni hasara kwa kwa Taifa.
Katika mazingira kama hayo, Niwaulize Majasusi wetu. Ni nani alitoa pendekezo la Mama kwenda kufanya ziara Marekani wakati huu?
Hakuna kosa kubwa sana Ujasusi wa Tanzania mmefanya kama hili. Iko hivi, vita yoyote ya dunia huigawa dunia ktk mapande mawili. Sasa niwaulize, mmetupeleka Watanzania upande wa Mmarekani?
Mnaelewa ni kwa nini baada ya Vita ya pili ya dunia (WW2), Tanzania na mataifa baadhi tuliamua kuwa non-aligned (NANs)/, tusioegemea upande wowote.
Huu ni wakati wa kukaa chini na ku draft, serikali yetu inajiendeshaje. Viongozi wetu wapi wanatembelea, na kwa nini, na wanaenda na hoja zipi.
Mfano sio wakati wa kuacha, eti Rais ajiamulie tu aende popote. Mfano kwenda kwake Marekani kumetusaidia nini katika kipindi hiki. Hakuna. Kakaa marekani karibu siku 10. Tumepata nini kama Taifa?!. Hakuna. Wapo watakaosema eti ''Loyo Tua'', au mikataba aliosaini. Mkataba ambao Rostam angeweza saini hata bila Rais kuwepo, ndio mnaouzungumzia kweli?.
Maswali ya kujiuliza...
a. Mama ametoka tu Marekani, Makamu wa Rais wa US aliyekutana na Mama anajitangaza kapatwa na Covid-19, is it a coincidence?
b. Concentration ya Marekani ipo ktk kukusanya nguvu/ushawishi na bajeti kupigana na Urusi, hamkujua kuwa Mama hawezi kusaini chochote na Amerika saivi!?
c. Kwa nyie kwenda Amerika, Je itakapofika wakati tunatakiwa kutoa vijana wakapiganie upande huo, tutawapeleka? Hamjui Wazee wetu walipigana WW1, na WW2 bila fidia yoyote? na ndio maana tukaamua kutofungamana na upande wowote.
d. Kwa nini hamkuwaza ku cancel hayo ma 'Loyo tua' ili yaje yazinduliwe baadae huko? Au mnataka tuamini hii 'Loyo tua' sio yetu, na ndio maana tunafuata tu ratiba ya Director wa muvi?!
Ushauri kidogo
1. Taifa kupitia viongozi wake wanatakiwa wawe na ziara za kimkakati tu ktk wkt huu.
Mfano kutembelea mataifa ambayo tunaagiza kwao mafuta/nishati. Kuhakikisha tuna uhakika kwamba tutaendelea kuuziwa mafuta kwa muda kama tulivyoafikiana.
2. Kutembelea mataifa ambayo yana mbadala wa bidhaa tulizokuwa tunapata Urusi/Ukraini.
3. Ziara zingine ziwe ni ktk mataifa ambayo hayafungamani na upande wowote au yapo moderate ktk mijadala hii.
4. Lazima Cabinet ikae na kuja na mpango mbadala wa uzalishaji wa dharura wa ndani ya nchi ili kufidia gap la bidhaa zitakazoadimika. Mfano mbolea, mazao ya kilimo (mafuta ya kula, ngano, shayiri, mchele, maharage, mahindi, n.k)
Hii iende pamoja na serikali kuwasaidia moja kwa moja wakulima vifaa vya kuhifadhia ziada ya mazao yao.
Ni ujuha kukaa kama vile dunia ni ile ile. Ni upumbavu kukaa na kusema tuombe Mungu vita iishe, akili aliyotupatia Mungu tunaifanyia nini?
Nitaendelea sehemu ya 2
Namna Tanzania inavyofanyiwa ujasusi (Rw, Ug, Ke...
1. Vita 'kamili' ya III ya dunia.
2. Namna Tz inavyofanyiwa ujasusi
Hoja No. 1
Kwa wasiojua ni kwamba vita kamili ya 3 ya Dunia imekwisha kuanza. Pole kwa wale wanaosema kuna tishio la WW3, sio tishio, ni vita kamili ilishaanza.
Naomba wanaoita hili, kuwa ni tishio, wawe ni layman tu, wasiwe kati ya Majasusi wetu. Maana kama akili ya jasusi na kufunzwa kote, hajajua vita ishaanza, huyo atakuwa hajafuzu bado na ni hasara kwa kwa Taifa.
Katika mazingira kama hayo, Niwaulize Majasusi wetu. Ni nani alitoa pendekezo la Mama kwenda kufanya ziara Marekani wakati huu?
Hakuna kosa kubwa sana Ujasusi wa Tanzania mmefanya kama hili. Iko hivi, vita yoyote ya dunia huigawa dunia ktk mapande mawili. Sasa niwaulize, mmetupeleka Watanzania upande wa Mmarekani?
Mnaelewa ni kwa nini baada ya Vita ya pili ya dunia (WW2), Tanzania na mataifa baadhi tuliamua kuwa non-aligned (NANs)/, tusioegemea upande wowote.
Huu ni wakati wa kukaa chini na ku draft, serikali yetu inajiendeshaje. Viongozi wetu wapi wanatembelea, na kwa nini, na wanaenda na hoja zipi.
Mfano sio wakati wa kuacha, eti Rais ajiamulie tu aende popote. Mfano kwenda kwake Marekani kumetusaidia nini katika kipindi hiki. Hakuna. Kakaa marekani karibu siku 10. Tumepata nini kama Taifa?!. Hakuna. Wapo watakaosema eti ''Loyo Tua'', au mikataba aliosaini. Mkataba ambao Rostam angeweza saini hata bila Rais kuwepo, ndio mnaouzungumzia kweli?.
Maswali ya kujiuliza...
a. Mama ametoka tu Marekani, Makamu wa Rais wa US aliyekutana na Mama anajitangaza kapatwa na Covid-19, is it a coincidence?
b. Concentration ya Marekani ipo ktk kukusanya nguvu/ushawishi na bajeti kupigana na Urusi, hamkujua kuwa Mama hawezi kusaini chochote na Amerika saivi!?
c. Kwa nyie kwenda Amerika, Je itakapofika wakati tunatakiwa kutoa vijana wakapiganie upande huo, tutawapeleka? Hamjui Wazee wetu walipigana WW1, na WW2 bila fidia yoyote? na ndio maana tukaamua kutofungamana na upande wowote.
d. Kwa nini hamkuwaza ku cancel hayo ma 'Loyo tua' ili yaje yazinduliwe baadae huko? Au mnataka tuamini hii 'Loyo tua' sio yetu, na ndio maana tunafuata tu ratiba ya Director wa muvi?!
Ushauri kidogo
1. Taifa kupitia viongozi wake wanatakiwa wawe na ziara za kimkakati tu ktk wkt huu.
Mfano kutembelea mataifa ambayo tunaagiza kwao mafuta/nishati. Kuhakikisha tuna uhakika kwamba tutaendelea kuuziwa mafuta kwa muda kama tulivyoafikiana.
2. Kutembelea mataifa ambayo yana mbadala wa bidhaa tulizokuwa tunapata Urusi/Ukraini.
3. Ziara zingine ziwe ni ktk mataifa ambayo hayafungamani na upande wowote au yapo moderate ktk mijadala hii.
4. Lazima Cabinet ikae na kuja na mpango mbadala wa uzalishaji wa dharura wa ndani ya nchi ili kufidia gap la bidhaa zitakazoadimika. Mfano mbolea, mazao ya kilimo (mafuta ya kula, ngano, shayiri, mchele, maharage, mahindi, n.k)
Hii iende pamoja na serikali kuwasaidia moja kwa moja wakulima vifaa vya kuhifadhia ziada ya mazao yao.
Ni ujuha kukaa kama vile dunia ni ile ile. Ni upumbavu kukaa na kusema tuombe Mungu vita iishe, akili aliyotupatia Mungu tunaifanyia nini?
Nitaendelea sehemu ya 2
Namna Tanzania inavyofanyiwa ujasusi (Rw, Ug, Ke...