Jicho la Ujasusi la Tanzania linatakiwa kuwa macho sasa kuliko wakati mwingine wowote ule

Jicho la Ujasusi la Tanzania linatakiwa kuwa macho sasa kuliko wakati mwingine wowote ule

Tatizo mwandishi huwezi kumuona hivyo ni kosa kumkadiria hata umri wake. USA wanayo mengi wanayofanya kwa Tanzania na hayajaanza kufanyika jana wala juzi.
Wana Intelijensia wa sasa hivi Tz, huwa wanaamini wao ndio Kila kitu.
Huwa ni wepesi sana wa kupinga hoja yoyote, kwa kauli tu "wewe hujui kitu".
Ila nchi yetu imeshapitia mengi sana, ambayo huwa tunajiuliza maswali mengi.

Kuwa mwana Intel ni swala moja, na kufanikiwa ktk Intel ni jambo lingine.
 
Nita update uzi, kipengele cha II
Wala usipoteze muda wako. Those are mere speculations and lack of understanding of current international affairs.

Kapige dozi ya K-Vant upunguze chuki dhidi ya mama... then urudie kusoma ulichoandika
 
Back
Top Bottom