Jichunguze; inawezekana mahusiano uliyonayo yanatokana na nguvu ya mzizi

Jichunguze; inawezekana mahusiano uliyonayo yanatokana na nguvu ya mzizi

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Mwezi uliopita, nilienda kumtembelea mpenzi wangu wa zamani Kahama; baada ya kufika, nikatafuta sehemu nzuri ya kupumzika. Nikamjulisha sehemu nilipofikia; na baada ya muda akawa amefika.

Tukaweza kupasha kiporo, na mambo mengine yakaendelea. Sasa katika kubadilishana mawazo, akanisihi sana niwe makini na wanawake ninaopita nao. Akaniambia, kuna rafiki yake mmoja walimaliza naye chuo; alimsindikiza kwenda kwa mtaaamu.

Huyo mwenzake akachanjwa kwenye ulimi pamoja na mbususu; lengo kuu, ni kila mwanaume mwenye kipato atakayeongea naye, ashawishike kuomba mahusiano, na kama watafanya mapenzi, wasiweze kuachana.

Mwisho wa siku, unajikuta unahudumia tu mwanamke; bila kuangalia maendeleo yako au ya familia yako.

Wakuu, tujichunguze kwenye mahusiano tuliyonayo.​
 
Wanawake wanalala na waganga...

Na waganga wanaweka dawa hukoo...

Alisikika mdada akishuhudia mganga alivyotembea nae ili amnase mwanaume...
Kwa mazingira hayo, mwanaume atakayepita hapo anafanywa kuwa zezeta
 
Wanawake wanalala na waganga...

Na waganga wanaweka dawa hukoo...

Alisikika mdada akishuhudia mganga alivyotembea nae ili amnase mwanaume...
Kama sio kwa mwamposa basi ni kwa kuhani musa! Na moja kwa moja ni fix.
 
Wanawake wanalala na waganga...

Na waganga wanaweka dawa hukoo...

Alisikika mdada akishuhudia mganga alivyotembea nae ili amnase mwanaume...
Kwa hiyo analala na mganga kwanza!ili ampate mwanaume anayempenda.

[emoji23][emoji23] Waganga wamekuwa wajanja mno,
Wadada wanaoenda kwa waganga wana tabu mno!
 
Wewe hukujishangaa kwenda Kahama? Unatuambia sisi tushtuke wakati wewe ndio umevutwa na madawa ukaenda kahama, au unahisi ni akili yako tu ndo ilikupeleka na kama ni akili yako kwanini hutaki na sisi tukila mbususu iwe ni kwa akili yetu tu sio madawa. Yaani unaamini kabisa ex wako kamsindikiza rafiki yako alafu yeye akabaki tu nje anachat kusubiri mwenzie achanjwe kwenye mbususu, kabisaaaa yeye kabaki tu nje kisha wakaondoka zao. Kalaghabao
 
Back
Top Bottom