Jichunguze; inawezekana mahusiano uliyonayo yanatokana na nguvu ya mzizi

Jichunguze; inawezekana mahusiano uliyonayo yanatokana na nguvu ya mzizi

Kwani mtu kupendana jamani kuna ubaya gani? Sasa kwa nini ufuate mbususu ambayo huitki?? una akili kweli?? huoni wadada wana haki ya kuwakomesha nyie ma dog?? mmezidi!! hutaki acha usiombe ombe tafuta anaye kufaa!!

Wadada wa hivo wana haki ya msingi wakomesheni ivoivo mapka watembelee ulimi!! km vipi me tafuta yule ambaye yuko bora kwako tuu!! siyo unaonja onja!..ndo mnasababisha ukimwi usiishe!!

Kwanza dada na huyo Mganga kama hawa wangekuwa hapa ningewapa na zawadi juu!! sababu wanasaidia jamii wanaume wakae wazalishe mali watoto wasome! kifupi amani kiuchumi inatulia!

Wadada wapeleke wapeleke kama huna hela ya kumlipa mganga nionE in box ntakupa!..safi sana! na wakak fanyizeni kwa wale wadada ambao hawajatulia ...sawa mie nta dhamini zoezi hilo!
 
Back
Top Bottom