Safi sana kuongoziTumia app ya 17TRACK APP ni nzuri na rahisi kutrack mzigo wako.
Ee bwana naomba ujuzi nataka kununua graphics card ya kompyuta kutoka Amazon vp kuhusu shipping company yenye bei nafuu zaidi ya Dhl na Fedex?Tumia app ya 17TRACK APP ni nzuri na rahisi kutrack mzigo wako.
Hili suala pia unaweza wasiliana na seller maana yeye ndo anachagua shipping company/courier. So unaweza ukarequest kama ataweza tumia US PS au middlemen kama ComGateway. Ila pia kama ungekuwa unatumia Amazon Prime ungefaidi zaidi. Nilisomaga benefits zake lakini tukashindwana ada na the fact kwamba eBay ndo kumekuwa kama nyumbani, Amazon pakakosa mashiko kabisa rohoni.Ee bwana naomba ujuzi nataka kununua graphics card ya kompyuta kutoka Amazon vp kuhusu shipping company yenye bei nafuu zaidi ya Dhl na Fedex?
Je ilishatokea hivyo hapo kabla? Au ndo mara ya kwanza unafanya payment kwa hao GoDaddy?/mara ya kwanza kwa payment kusumbua?
Jeh, hao GoDaddy wanaruhusu "straight payments" toka kwenye credit card (ingawa hapa ningekushauri sana uwe unatumia PayPal account)? Au ni njia gani wanazotumia kwa malipo? Kama wana option ya kulipia na PayPal (ambayo ndio "standard" form of payment kwenye masoko mengi ya online), emb jaribu kuitumia uone kama itasumbua.
Unaweza ukawa ume'activate card yako ifanye MOTO/mihamala ya mtandaoni, lakini bank yako haijatambuliwa, ishu ambayo inatatulika kirahisi sana kama uta'link credit card yako na account ya PayPal.
Pia kumbuka PayPal ina'guarantee sana usalama wa transactions zako online.
Yangu ni hayo tu ndugu angu.
Uko Kenya, hapo kesho au kesho kutwa unaweza kuwa umeshafika. Ukifika Tanzania huandika dar es salaamWakuu naomba kuuliza je hapa mzigo umeshafika Dar au upo njiani kuja?View attachment 494393
Unatumia app gani au site gani ku track huo mzigo?Wakuu naomba kuuliza je hapa mzigo umeshafika Dar au upo njiani kuja?View attachment 494393
17TRACK APPUnatumia app gani au site gani ku track huo mzigo?
Ahsante mzigo tayari nimeutia mkononiUko Kenya, hapo kesho au kesho kutwa unaweza kuwa umeshafika. Ukifika Tanzania huandika dar es salaam
Safi saana, mie mwenyewe nimepokea Mzigo wangu Leo ni wa Mara ya 37Ahsante mzigo tayari nimeutia mkononiView attachment 494753 .
Ahsante mzigo tayari nimeutia mkononiView attachment 494753 .
Nimeagiza March 31 umenifikia jana April 12 nï siku 12 tu.Mzigo mpaka kufika umetumia siku ngapi labda?
Umetumia siku 30 hiviMzigo mpaka kufika umetumia siku ngapi labda?
Unetumia siku 30 hivi..Mzigo mpaka kufika umetumia siku ngapi labda?
Vipi changamoto katika upokeaji mkuu? hawajakulima kodi ndefu? ulipigiwa simu au ulijipeleka mwenyewe? procedures in general zikoje?Ahsante mzigo tayari nimeutia mkononiView attachment 494753 .
Nilijipeleka mwenyewe ila kufika pale walidai mzigo bado haujafika niende kuchukua J4 baada ya sikukuu.Vipi changamoto katika upokeaji mkuu? hawajakulima kodi ndefu? ulipigiwa simu au ulijipeleka mwenyewe? procedures in general zikoje?