Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Tumia app ya 17TRACK APP ni nzuri na rahisi kutrack mzigo wako.
Ee bwana naomba ujuzi nataka kununua graphics card ya kompyuta kutoka Amazon vp kuhusu shipping company yenye bei nafuu zaidi ya Dhl na Fedex?
 
Ee bwana naomba ujuzi nataka kununua graphics card ya kompyuta kutoka Amazon vp kuhusu shipping company yenye bei nafuu zaidi ya Dhl na Fedex?
Hili suala pia unaweza wasiliana na seller maana yeye ndo anachagua shipping company/courier. So unaweza ukarequest kama ataweza tumia US PS au middlemen kama ComGateway. Ila pia kama ungekuwa unatumia Amazon Prime ungefaidi zaidi. Nilisomaga benefits zake lakini tukashindwana ada na the fact kwamba eBay ndo kumekuwa kama nyumbani, Amazon pakakosa mashiko kabisa rohoni.
 

Thanks for ur concern mkuu,, tatzo SOLVED... kumbe wanataka address ziwe zinafanana, nimegundua baada ya kupitia comment ya mdau mmoja hapo juu,,
I'm happy now nshailink kadi yangu na paypal now ni mwendo wa kupurchase tuu teh teh teh😀😀
 
Wakuu naomba kuuliza je hapa mzigo umeshafika Dar au upo njiani kuja?
 
Mzigo mpaka kufika umetumia siku ngapi labda?
Nimeagiza March 31 umenifikia jana April 12 nï siku 12 tu.
Huo ni toka Hong Kong umetumwa kwa:- Standard international Shipping (Hong Kong post)
Kuna mwingine niliagiza Rochester USA tokea March 20 umenifikia April 11 yaani siku 21 (USPS) first class international
 
Kwa uzoefu wangu, mizigo kutoka Hong Kong na Netherland ndo mizigo inayotumia muda mfupi kabisa mpaka kuutia mikononi. Kati ya siku 6-12, sehemu nyingine kama China,turkey,Singapore ni kati ya siku 12-21 hii ni kwa kutumia standard shipping
 
Vipi kuhusu Economy International Shipping? Inaweza ikachukua muda gani kufika?
 
Vipi changamoto katika upokeaji mkuu? hawajakulima kodi ndefu? ulipigiwa simu au ulijipeleka mwenyewe? procedures in general zikoje?
Nilijipeleka mwenyewe ila kufika pale walidai mzigo bado haujafika niende kuchukua J4 baada ya sikukuu.
Niliwauliza mbona tracking inaonyesha umefika tokea jana yake wakajibu kwamba bado upo GPO utafika mchana.
Sikuwa na jinsi nikaondoka ila baada ya nusu saa hivi wakani pigia simu nikachukue mzigo.
Yaonyesha ulikuwapo ila sijaelewa sababu za kuchelewesha kuutoa.
Kuhusu ushuru hawakunidai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…