Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Wana board habari.. Baada ya kusoma baadhi ya komenti nimeingiwa na hofu. Kuna mzigo nimeagiza, na umeshatumwa tayari, hofu yangu ni kuwa sina sanduku la posta, na pale nimeandika location ya sehemu niishipo, na namba yangu ya simu. Je mzigo wangu utafikia posta ya eneo ambapo ninaishi au?

na nitajuaje kama hawatanipigia simu?? Msaada tafadhali, ili kama kuna option niweze wasiliana na seller kama kubadili address angani au la!??
Mkuu tumia hata box no ya mtu unayemjua ili uwe na uhakika wa bidhaa yako kufika.

Shida ni hapo posta mzigo utafika lakini ni ngumu sana kukupigia simu bidhaa itakuwa hapo na baadaye waitachukuwa.

Cha kufanya kwanza track mzigo wako kana umeshafika posta basi baada ya siku mbili nenda kaulizie posta
 
Mkuu tumia hata box no ya mtu unayemjua ili uwe na uhakika wa bidhaa yako kufika.

Shida ni hapo posta mzigo utafika lakini ni ngumu sana kukupigia simu bidhaa itakuwa hapo na baadaye waitachukuwa.

Cha kufanya kwanza track mzigo wako kana umeshafika posta basi baada ya siku mbili nenda kaulizie posta
Vipi Naweza badili address Na huku mzigo umeshatoka origin country!??
 
Yote mkuu ina tracking number
Mkuu kwa IPS (kwa uzoefu wangu), tracking number wanazozitambua ni zile za "Register" i.e. zenye RS/RH/etc., ingawa kuna cases zingine zilikuwa pia.

Afu ishu nyingine ni kwenye suala la kama huo mzigo umefika kwenye mamlaka ya Tanzania Postal Service/hatua ya kuingia Afrika Mashariki ambapo sasa utakuwa chini ya TPS directions. Hii imeshawahi nitokea mara nyingi tena na hizo Register tracking numbers, ukitrack ndani ya wiki 2 baada ya mzigo kutumwa IPS wanakuambia "No info on/of this item", ambapo ukiangalia kwenye tovuti ya courier wanakuambia mzigo bado hujafika E. Africa au uko wapi by mda huo. Ila ukifika tu utaanza uona IPS.
Na je uliagiza yote siku moja? Au kuna uliotangulia mwingine?

Afu wala usihofu, we muulize tu seller alitumia courier gani kukutumia mzigo akupe na website yao utrack mzigo wako/anaweza akakupatia link moja kwa moja kwenye tracking page ya website ya courier ukajua mzigo uko wapi.

Ila ndugu tafuta P. O. Box asee, unafanya risk kubwa sana. Au unatumia DHL nini mkuu?
 
Mkuu kwa IPS (kwa uzoefu wangu), tracking number wanazozitambua ni zile za "Register" i.e. zenye RS/RH/etc., ingawa kuna cases zingine zilikuwa pia.

Afu ishu nyingine ni kwenye suala la kama huo mzigo umefika kwenye mamlaka ya Tanzania Postal Service/hatua ya kuingia Afrika Mashariki ambapo sasa utakuwa chini ya TPS directions. Hii imeshawahi nitokea mara nyingi tena na hizo Register tracking numbers, ukitrack ndani ya wiki 2 baada ya mzigo kutumwa IPS wanakuambia "No info on/of this item", ambapo ukiangalia kwenye tovuti ya courier wanakuambia mzigo bado hujafika E. Africa au uko wapi by mda huo. Ila ukifika tu utaanza uona IPS.
Na je uliagiza yote siku moja? Au kuna uliotangulia mwingine?

Afu wala usihofu, we muulize tu seller alitumia courier gani kukutumia mzigo akupe na website yao utrack mzigo wako/anaweza akakupatia link moja kwa moja kwenye tracking page ya website ya courier ukajua mzigo uko wapi.

Ila ndugu tafuta P. O. Box asee, unafanya risk kubwa sana. Au unatumia DHL nini mkuu?
Poa Kiongozi.. Box lilikuwepi but lina mda halijalipiwa, so hofu yangu ulikuwa hiyo..

Mizigo yote ilitoka Sawa... Ngoja niwasiliane Na seller... Lkn pia nilienda kuuliza posta kama Naweza agiza mzigo bila kuwa Na box, wakasema cha msingi niwekw namba ya simu
 
Poa Kiongozi.. Box lilikuwepi but lina mda halijalipiwa, so hofu yangu ulikuwa hiyo..

Mizigo yote ilitoka Sawa... Ngoja niwasiliane Na seller... Lkn pia nilienda kuuliza posta kama Naweza agiza mzigo bila kuwa Na box, wakasema cha msingi niwekw namba ya simu
Hongera mkuu. Nenda kakomboe Box sio hela nyingi. Nadhani kwa mikoani haizidi 12,000/:kwa mwaka. Kama 1000/ kwa mwezi sawa na shs 30/: kwa siku.
 
Poa Kiongozi.. Box lilikuwepi but lina mda halijalipiwa, so hofu yangu ulikuwa hiyo..

Mizigo yote ilitoka Sawa... Ngoja niwasiliane Na seller... Lkn pia nilienda kuuliza posta kama Naweza agiza mzigo bila kuwa Na box, wakasema cha msingi niwekw namba ya simu
Posta huwa hawana shida,mimi sikulipia box kwa miaka 4 nalilikuwa linafanya kazi,mpaka,walipotaka kulifunga ndio nimelipa mwaka huu
 
Screenshot_2017-04-07-12-44-59.png
Huu mzigo nimepewa track no lakini hauonyeshi mzigo ulipo nimewasiliana na seller amesema nisiwe na wasi wasi itafika.

Screenshot_2017-04-07-12-43-41.png


Huu unaonyesha umefika posta Dar nasubiri ufike posta Bagamoyo.

Screenshot_2017-04-07-12-43-32.png

Huu nimeshaupata

Screenshot_2017-04-07-12-43-23.png


Huu pia umefika posta Bado kuchukuwa.
 
Back
Top Bottom