Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Je nini kimekwamisha?Mimi Mzigo wangu umekwama kama miezi miwili hv Kwny locker langu la stackry sijui watanichaji zaidi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je nini kimekwamisha?Mimi Mzigo wangu umekwama kama miezi miwili hv Kwny locker langu la stackry sijui watanichaji zaidi?
Nililipa kwa PayPal kumbe akaunti haina hela ya kutosha mkuu, pia samahani Mwl. RCT hv nikihitaji kuleta bidhaa kwa ajili ya biashara naona kama free shipping ndiyo italipa ila ulikilipia shipping faida inakuwa hamna au hailipi je vp Unanishauri vp mkuu wangu katika hili au wenzangu mnafanyaje maana ninahitaji sana kukuza kipato changu kama vile title ya mada yako.Je nini kimekwamisha?
Tumia zaidi ALIEXPRESSnikihitaji kuleta bidhaa kwa ajili ya biashara naona kama free shipping ndiyo italipa ila ulikilipia shipping faida inakuwa hamna
Je baada ku_ongeza kiasi cha fedha kwenye account ya paypal ulifanikiwa kufanya malipo?Nililipa kwa PayPal kumbe akaunti haina hela ya kutosha mkuu
Definately mkuu, I also wish to do so but majukumu yamenikaba koo na muda unanivuta shati I work 24/7 kwny kampuni yangu mpya, nikitulia nitafanya hvyo. but in short niliwaomba wanifanyie repack wakaondoa mazagazaga ambayo yanaleta uzito but with less value mfn, heavy light stand etc, huduma hiyo Viabox wanatoa bure. Hope nimeadd s.thing.ni vema ungeweka learning points kwenye hiyo post yako sababu awali shipping ilikua 886$++ ila sasa imekua 203$
hiyo issue nami nataka kuijua mkuu,ngoja waje watuhabarisheHv kwa mikoa iliyo nje ya dar inakuwaje,mfan mwanza
Tumia zaidi ALIEXPRESS
- Wana option zaidi ya moja ya kusafirishia bidhaa.
- Ikiwemo free shipping - ila huchukua muda mrefu kwa item kufika.
Je baada ku_ongeza kiasi cha fedha kwenye account ya paypal ulifanikiwa kufanya malipo?
Mzigo ukizuiwa, maana yake kuna charges unatakiwa ulipie..Kudelay kufanyiwa clearence mzigo kuna charge yoyote inaweza kutokea?
Huwa inakuwepo, ni kiasi kidogo, sambamba na hili huwa kuna swissport charges TZS 27,000Je kuna storeg charge kadri mzigo wangu unavyozidi kukaa
Kwa kuwa wao kupitia agent wao ndio wanahusika na clearance, ni kuendelea kuwasumbua mara kwa mara ili TRA ufuatiliaji ufanyike kwa haraka, kifahamike kiwango cha kulipia then mzigo uweze kutoka.Je kuna njia nyengine yoyote nzuri zaidi ya kuwapa wao go ahed ya kuendelea na process ya clernce
Ndani ya siku 1 - 2 mzigo inatakiwa utoke.Clearence inachukua muda gani baada ya kufanya malipo
Wakati mwingine watumie DHL, hizi ghalama zote hazitokuwepo.Gharama kufanya clearence kupitia urgent wao ( 188,000 mbali na ushuru hayo ni malipo yao tu) mbaya zaidi kama unataka kufanya self clearence kukupa doc tu za mzigo wako ni 50,000 sijui ni charge ya nini.
wakuu msaada huu Mzigo ndiyo umepotea au nini hii inaendelea? Nimeweka address zangu zote sijapokea Mzigo mpk sasa![]()
Mkuu niliona bidhaa ebay nikawa intrested bt seller hakua anaship tz nikaamua kufungua ac. Myus.com then nikaiupgrade to premium sababu nilitaka kuongezea baadhi ya iterms ila consolidation service ni kwa premium ac. tu.
Finally all of my packages has been arrived to my suite nikarequest shippment. Wali delay kidogo kuprocess bt nikajaribu kucontact nao kwa mail na fb page yao nilivyocheki status ya shippment iko urgent handling na wamenicharge kama 6 usd nikaona poa tu.
Shida ni mzigo wangu upo dar tangu tarh 9/08 umezuiwa na tra kwajili ya clearence
Nilitumia fedex ila sitatumia tena service zao mbovu pamoja na costum care wao wa hapa tz
Hawakunijulisha kama mzigo umezuiwa kwajili ya clearence mpaka mwenyewe nimetrack mzigo ndio nikaona
Tokea trh 9 doc za mzigo zimefika ofisini kwao trh 11 kutoka airpot tu na hivyo hawajanijulisha mpaka nimewapigia mie
Gharama kufanya clearence kupitia urgent wao ( 188,000 mbali na ushuru hayo ni malipo yao tu) mbaya zaidi kama unataka kufanya self clearence kukupa doc tu za mzigo wako ni 50,000 sijui ni charge ya nini.
Nimekubali waendelee wao na clearence wakataka niwatumie id, tin number, na barua ya kuidhinisha vyote nikawatumia. Sikupata majibu yoyote update yyte nikaamua kuwapigia jibu nimepewa kua "system inasumbua kwa sasa hatuwez kutrack mzigo wala kufanya chochote kila tutakujulisha kwa sim itakapokua tyr" nikawa mkali lakin wao haikuwashtua kitu wala hawakua watu wa kumplease costum wao. Nasubiria update toka kwao leo ni siku yapili kimya. Sijui kama ndio system au nini kingine kimewasibu.
Simshauri mtu kujaribu kuwatumia hawa jamaa (fedex ). Hayo yalikua maelezo kwa faida ya wengine
Mkuu kama una majibu ya haya maswali nisaidie tafadhali.
..Kudelay kufanyiwa clearence mzigo kuna charge yoyote inaweza kutokea?
..Je kuna storeg charge kadri mzigo wangu unavyozidi kukaa
..Je kuna njia nyengine yoyote nzuri zaidi ya kuwapa wao go ahed ya kuendelea na process ya clernce
..Clearence inachukua muda gani baada ya kufanya malipo
Package from us
Am in Zanzibar
Pacgage value ni 259 usd
Mzigo wangu upo dar kwa ajili ya clearence sio ZanzibaDuuh! Labda kwa kuwa uko zanzibar utaratibu waweza kuwa tofauti!
Mm nimeagiza packages mbili kutoka myus kwa fedex na hazikuwa na ushuru wowote na handling fee yoyote!
potrayed Usihangaike nao hao CRDB kuna uwezekano hata unaowauliza hawajui wakusaidiaje.wakuu naomba mnisaidie nina account paypal na crdb lkn nikienda crdb na kijaza ile form yao ya kulink acc yangu iweze kununua mtandaoni huwa sipati majibu kabisa au ni benk gani wapo.faster nipo mara,rorya
Sent using Jamii Forums mobile app
nimejaribu kuadd card kwenye PayPal inaniambia 'Card declined by issuer', embu nisaidien maana kwa akili yangu dogo nahisi tatizo lipo benki???potrayed Usihangaike nao hao CRDB kuna uwezekano hata unaowauliza hawajui wakusaidiaje.
what important is sajili kadi yako paypal itakupa muongozo, ikifanikiwa kufanya payment kupitia paypal thats all, kuna code wanasema watakutumia kupitia bank statements ila mi mpaka leo sijaipata na ninafanya payments kama kawa.
thats what I know, correct me if am wrong.[emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu, nimenunua mzigo eBay, wameshautuma una wiki mbili(siku14)wapo wameniambia utafika baada ya siku 28 hadi35,wamenaiambià niwatumie track number na mie labda sina au sijui maana ninajaribu kununua vitu Nje,naomba msaada wako tafadhàliMzigo ukizuiwa, maana yake kuna charges unatakiwa ulipie
- Kodi + VAT: Ambapo kwa kawaida huwa ni ndani ya siku 1 hadi 3 mzigo unatakiwa uwe umelipiwa na kuwa released.
- Hivyo endelea kufuatilia ili kujua ni kiasi gani unatakiwa kulipia kulingana na thamani ya mzigo wako.
Huwa inakuwepo, ni kiasi kidogo, sambamba na hili huwa kuna swissport charges TZS 27,000
Kwa kuwa wao kupitia agent wao ndio wanahusika na clearance, ni kuendelea kuwasumbua mara kwa mara ili TRA ufuatiliaji ufanyike kwa haraka, kifahamike kiwango cha kulipia then mzigo uweze kutoka.
Ndani ya siku 1 - 2 mzigo inatakiwa utoke.
Wakati mwingine watumie DHL, hizi ghalama zote hazitokuwepo.
Pitia hii link: Hili Halijapata Ufumbuzi kuhusu Ununuzi wa Vitu kwa Njia ya Mtandao (Online Purchase) kuna kampuni njingine ambayo si ya kuitumia kabisa.