Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Nipo BancABC cash card.
Tiririka hapa na wengine wafaidike. Kitu kimeandikwa Shipped sijui katuma makorokoro gani?
Ebay wamesema nisubiri siku 7 kama seller haja-response wananirefund
 
Hatimaye wamenirefund Ila bado hazijaingia kwenye Acc


 
wakuu naomba mnisaidie nina account paypal na crdb lkn nikienda crdb na kijaza ile form yao ya kulink acc yangu iweze kununua mtandaoni huwa sipati majibu kabisa au ni benk gani wapo.faster nipo mara,rorya

Sent using Jamii Forums mobile app
Equity Bank hawana charges yoyote unaponunua bidhaa
 
Jipe muda wa siku 5.
Then fungua shitaka la kuomba refund ebay.
Kabla ya kufungua shitaka inabidi kwabza awasiliane na muuzaji angalau mara mbili kupitia mfumo wa ebay. Asome customer protection policy ya ebay imeeleza yote
 
Kabla ya kufungua shitaka inabidi kwabza awasiliane na muuzaji angalau mara mbili kupitia mfumo wa ebay. Asome customer protection policy ya ebay imeeleza yote
Tayari amepata refund. Seller hakuwa genuine kwa bidhaa husika.
 
Hongera
Hakika kuna kitu tayari umejifunza kuhusu ebay.
Sidhani kama kosa litajirudia tena.

Karibu
Poa Kamanda ila Ebay wanasisitiza nifuatilie postal kama mzigo utakuwa umeingia nifanye mawasiliano na Seller kwaajili ya kulipana
 
wakuu crdb acc yangu ipo dormant sasa kwa mazingira nilipo benk iliyo baki karibu ni nmb au ila kwa mbali ipo nbc sasa je kati ya hizi ipi naweza link na PayPal msaada wakuu????
 
ila kwa mbali ipo nbc sasa je kati ya hizi ipi naweza link na PayPal msaada wakuu????
Zote waweza link.

Kikubwa cha kuzingatia: Fika benki husika, pata card, Na waifanyie actvation iwe tayari kuweza kufanya miamala mtandaoni.
 
Zote waweza link.

Kikubwa cha kuzingatia: Fika benki husika, pata card, Na waifanyie actvation iwe tayari kuweza kufanya miamala mtandaoni.
kwa NMB ni card ipi inafaa au yeyote maana kuna hizi mastercard, visa card au yeyote tu???
 
Tahadhari Kuna Jamaa yangu ametumiwa Simu 4 Via USPS Priort Mail toka kwa ndugu yake aliyeko USA.
Mzigo ulilikuwa Packed katika box mbili tofauti kwa maana Kwamba kila box zimewekwa simu 2.
Mzigo ulichelewa sana kumfikia kule Zanzibar na hata ulipofika alifungua pale Kaunta na kukuta box zote hazina kitu licha ya kufungwa vizuri.
Hadi sasa jamaa anakabana na Posta Master kujua hatima yake maana ni mali ya Milioni 1.8 hivi
Ndugu zangu Posta ilikuwa ndiyo mkombozi wetu ila sasa naona kuna mijamaa inaturudisha nyuma kwa kukwapapua vitu vyetu.
Tuwe makini na mizigo ya thamani kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…