Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

....Lakini kama unanunua simu, kamera laptop nk yaani bidhaa nzima ni bora ukawatumia akina DHL au ukatumiwa kwa registered hapo utakuwa na uhakika wa kupata mzigo wako ingawa gharama inahusika zaidi....

Hivi kitu kikitumwa kwa Register na Posta, kuna tofauti yoyote?? Nijuavyo huduma ya register inatolewa na posta na watu wanasema Posta ni wezi ufafanuzi kidogo hapo?
 
Hivi kitu kikitumwa kwa Register na Posta, kuna tofauti yoyote?? Nijuavyo huduma ya register inatolewa na posta na watu wanasema Posta ni wezi ufafanuzi kidogo hapo?

Mkuu heshima mbele.

Nafikiri anamaanisha kwamba mzigo ambao ukitumwa itabidi mpokeaji atie saini au kwa njia ya kawaida ya posta ambayo mzigo haujulikani utafika lini.

Posta ya Tanzania ni wezi kwa sababu kama unamtumia mtu mzigo wake kwenda Tanzania na imekugharimu kiasi kama paundi 60, haiwezekani mzigo huo ulipiwe tena unapofika Tanzania kiasi kama elfu 70 ingine ambayo ni paundi ingine kama 30 hivi, kwani huo ni wizi wa kimachomacho.

Mimi pia ni mwanachama na mtumiaji mkubwa wa Ebay na Amazon na huwa nalazimika kulipia mzigo kupitia DHL na unakuwa umelipia kila kitu.
 
Mkuu heshima mbele.

Nafikiri anamaanisha kwamba mzigo ambao ukitumwa itabidi mpokeaji atie saini au kwa njia ya kawaida ya posta ambayo mzigo haujulikani utafika lini.

Posta ya Tanzania ni wezi kwa sababu kama unamtumia mtu mzigo wake kwenda Tanzania na imekugharimu kiasi kama paundi 60, haiwezekani mzigo huo ulipiwe tena unapofika Tanzania kiasi kama elfu 70 ingine ambayo ni paundi ingine kama 30 hivi, kwani huo ni wizi wa kimachomacho.

Mimi pia ni mwanachama na mtumiaji mkubwa wa Ebay na Amazon na huwa nalazimika kulipia mzigo kupitia DHL na unakuwa umelipia kila kitu.


Mkuu hapo una Huakika?
Maana mwenyewe nina Cargo nimeagizia kiroho kina dunda watanikwapua Ngapi
 
Mkuu hapo una Huakika?
Maana mwenyewe nina Cargo nimeagizia kiroho kina dunda watanikwapua Ngapi

Nafikiri unapouliza uhakika unamaanisha masuala ya import duty na tax kutoka TRA hiyo inakuwa haina shida nakuwa nimelipia.

Kama huwezi kulipa hizo kodi mzigo unarudi ulikotoka.
 
Nimewatumia e-mail crdb kuwauliza juu ya gharama zao.....na haya chini ndio majibu yao.....


Mpendwa Mteja,

-

Ahsante kwa kutuma ujumbe kupitia anuani hii ya barua pepe.

-

Tunathibitisha kupokea ujumbe wako wa barua pepe kuhusu manunuzi kwenye mtandao kupitia CRDB Benki huduma kwa wateja namba-1309 1222.

-

Tafadhali fahamu kuwa huduma hiyo hutolewa bure na benki ya CRDB ili kupata huduma hiyo utahitajika kutembelea tawi lolote la Benki ya CRDB lililopo karibu nawe na ujaze fomu kuomba huduma hiyo.

-

Hamna makato kwenye akaunti yako kwa ajili ya huduma hiyo zaidi ya kiasi kile unachokitumia.

-

-

Asante kwa kuchagua CRDB BENKI.

-

Wasalaam,

-

Amina Kassam..

-

-

For all your Banking queries and suggestions you may contact us through:

-

Call Center

CRDB Bank PLC

Tel---+255 222 197700

Mob:+255 714 197700

--------+255 789 197700

--------+255 755 197700

--------+255 754 557788

Fax:-+255 22 2197799

-

Website:-http://www.crdbbank.com

-

Join us on facebook,-www.facebook.com/crdbbank

-
 
Mkuu heshima mbele.

Nafikiri anamaanisha kwamba mzigo ambao ukitumwa itabidi mpokeaji atie saini au kwa njia ya kawaida ya posta ambayo mzigo haujulikani utafika lini.

Posta ya Tanzania ni wezi kwa sababu kama unamtumia mtu mzigo wake kwenda Tanzania na imekugharimu kiasi kama paundi 60, haiwezekani mzigo huo ulipiwe tena unapofika Tanzania kiasi kama elfu 70 ingine ambayo ni paundi ingine kama 30 hivi, kwani huo ni wizi wa kimachomacho.

Mimi pia ni mwanachama na mtumiaji mkubwa wa Ebay na Amazon na huwa nalazimika kulipia mzigo kupitia DHL na unakuwa umelipia kila kitu.

Mkuu sidhani kama kitu hicho kipo maana nadhani Posta zina makubaliano fulani kuwa kitu kikitumwa kutoka nje ya nchi na wao wakakipokea basi wanawajibika kukifikisha kwa mteja bila gharama nyingine ya ziada. Na kama ipo haizidi Tshs 2,000 bila kujali ukubwa wa bidhaa.

Na wao hivyo hivyo wakisafirisha mizigo nje wananufaika na makubaliano hayo.
 
Kunabaadhi ya mizigo ikiji posta wanachukua 2700 na tra wanakupigia mahesabu yao ila nipesa kiduchu sana kwanza mara nyingi mtu wa tra anarazimika kutokukutoza kodi. Mfano nilinunua taa ya pikipiki usd 13xenon 6000k, so ikaja kwenye kabox nikataka kutozwa nikachana kabox nikawaambia hii ni bulb ya pikipiki ya usd 12 so wakaniachia. Tozo zipo kidogo mmno.
 
simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.

mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.

baada ya wiki 3 nimekipata kioo.

kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.

Mkuu mzigo wako ulienda kuchukulia wapi? Maana kwa wenzetu kuna mpaka street adress, au ulitumia huduma ya MyUS?
 
Kunabaadhi ya mizigo ikiji posta wanachukua 2700 na tra wanakupigia mahesabu yao ila nipesa kiduchu sana kwanza mara nyingi mtu wa tra anarazimika kutokukutoza kodi. Mfano nilinunua taa ya pikipiki usd 13xenon 6000k, so ikaja kwenye kabox nikataka kutozwa nikachana kabox nikawaambia hii ni bulb ya pikipiki ya usd 12 so wakaniachia. Tozo zipo kidogo mmno.

Kuhusu TRA nasikia wanakata 18-20% ya Tax/Custom duty
Kwa hiyo kama umechukua mzigo wa 1M utachajiwa 180,000/=
Lkn si vifaa vyote vinalipiwa
Vifuatavyo Havilipiwi Ushuru
  1. Educational resources
  2. Agricultural resources eg felrtilizers
  3. Medical facilities eg Pharmaceuticals
 
Kuhusu TRA nasikia wanakata 18-20% ya Tax/Custom duty
Kwa hiyo kama umechukua mzigo wa 1M utachajiwa 180,000/=
Lkn si vifaa vyote vinalipiwa
Vifuatavyo Havilipiwi Ushuru
  1. Educational resources
  2. Agricultural resources eg felrtilizers
  3. Medical facilities eg Pharmaceuticals

Mkuu kodi inategemea kwa mfano Import Tax ni 25% ya CIF, na kuna baadhi ya items wanakata 5% - 10% kisha 18% VAT.

Hivyo ni bora ukafanya utafiti wa kutosha kwa kwenda ofisi za TRA zilizo karibu nawe kama hujui category ipi bidhaa zako inaangukia na huna ujuzi wa kukokotoa kodi.

Mfano ulivyosema kuwa ukiagiza kitu kwa gharama ya 1m basi utalipa 180,000 maana yake hivyo ni VAT na item hiyo itakuwa na zero rate ya Import duty lakini kama inayo kwanza watakupiga hiyo custom duty ndiyo waje wamalizie VAT.

Mfano CIF ya kitu ulichoagiza ni U$1600 basi na kina import tax (customy duty):

Kutegemea na rate itayoangukia hiyo item ila nyingi ni 25% nami naapigia kwa hiyo 25%

Customy Duty.

1600 * 1.25 = 2000, kama ni 10% basi utazidisha mara 1.1 na kama ni 5% utapiga mara 1.05

Excise Duty ni zero kwa item nyingi ukitoa magari ambayo huwa charged kwa CC.

VAT

Jibu la juu ambalo ni 2000 * 1.18 = 2360.

Hivyo 2360 - 1600 = 760 in total

760 * Exchange Rate (1632) = 1,240,320 ndiyo kodi utayotakiwa kulipa wakuu.

Hiyo ni kwa kadri ya uelewa wangu.
 
Mkuu kodi inategemea kwa mfano Import Tax ni 25% ya CIF, na kuna baadhi ya items wanakata 5% - 10% kisha 18% VAT

Hivyo ni bora ukafanya utafiti wa kutosha kwa kwenda ofisi za TRA zilizo karibu nawe kama hujui category ipi bidhaa zako inaangukia na huna ujuzi wa kukokotoa kodi.

Emu funguka Basi hivo kama nime-Import mzigo wananicharge 25%+18%=33%

Au kwa izingo mingine ni 10%+18% au ilo nena kwenye red ulimaanisha nn?
 
Emu funguka Basi hivo kama nime-Import mzigo wananicharge 25%+18%=33%

Au kwa izingo mingine ni 10%+18% au ilo nena kwenye red ulimaanisha nn?

Mkuu nimefunguka zaidi, ile post nimeipa nyama kidogo nadhani unaweza kuelewa ni simple calculation kabisa.
 
Hapa inapokuja suala la hesabu za TRA ya bongo nachanganyikiwa. Wao wapo ofisini tuu hahafundishi wananchi kwenye redio tv magazeti na makongamano mbalimbali kuhusu namna wanavyo calculate kodi zao. Wananyamaza tuu ukiagiza kitu ndio wanakufuata kama mchwa na makodi kibao. Mbona wenzao polisi siku hizi wamefunguka kidogo wanatoa elimu kwa umma juu ya sheria wanazozitumia na ili mtu ajue ni lipi kosa? Hawa wao wapo wapi?
 
simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.

mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.

baada ya wiki 3 nimekipata kioo.

kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.
Mkuu nimefuatilia mihadhara yako uliyoitoa humu na nimejifunza mengi kutoka kwako. Ninaomba msaada nimejaza detail za cadi yangu ya CRDB nikafika sehemu wanahitaji 9 digit bank codes. Ninejaribu kupekua mtandaoni nikakuta CRDB wanatimia SWIFT codes ambayo ni CoRUTZTZ ambayo haifiki hizo 9 digits na nimedodosa zaidi nikagundua hii code ya crdb ni kwa ajili ya money Transfer tuu. je nyie mliwezaje kikwazo hiki? tusaidie maana wengine sisi ni maamuma wa haya mambo
 
Mkuu kodi inategemea kwa mfano Import Tax ni 25% ya CIF, na kuna baadhi ya items wanakata 5% - 10% kisha 18% VAT.

Hivyo ni bora ukafanya utafiti wa kutosha kwa kwenda ofisi za TRA zilizo karibu nawe kama hujui category ipi bidhaa zako inaangukia na huna ujuzi wa kukokotoa kodi.

Mfano ulivyosema kuwa ukiagiza kitu kwa gharama ya 1m basi utalipa 180,000 maana yake hivyo ni VAT na item hiyo itakuwa na zero rate ya Import duty lakini kama inayo kwanza watakupiga hiyo custom duty ndiyo waje wamalizie VAT.

Mfano CIF ya kitu ulichoagiza ni U$1600 basi na kina import tax (customy duty):

Kutegemea na rate itayoangukia hiyo item ila nyingi ni 25% nami naapigia kwa hiyo 25%

Customy Duty.

1600 * 1.25 = 2000, kama ni 10% basi utazidisha mara 1.1 na kama ni 5% utapiga mara 1.05

Excise Duty ni zero kwa item nyingi ukitoa magari ambayo huwa charged kwa CC.

VAT

Jibu la juu ambalo ni 2000 * 1.18 = 2360.

Hivyo 2360 - 1600 = 760 in total

760 * Exchange Rate (1632) = 1,240,320 ndiyo kodi utayotakiwa kulipa wakuu.

Hiyo ni kwa kadri ya uelewa wangu.

Emu elezea hiyo moja unayoongeza kwenye 0.25 unaitoa wapi?
 
Mkuu nimefuatilia mihadhara yako uliyoitoa humu na nimejifunza mengi kutoka kwako. Ninaomba msaada nimejaza detail za cadi yangu ya CRDB nikafika sehemu wanahitaji 9 digit bank codes. Ninejaribu kupekua mtandaoni nikakuta CRDB wanatimia SWIFT codes ambayo ni CoRUTZTZ ambayo haifiki hizo 9 digits na nimedodosa zaidi nikagundua hii code ya crdb ni kwa ajili ya money Transfer tuu. je nyie mliwezaje kikwazo hiki? tusaidie maana wengine sisi ni maamuma wa haya mambo

Mkuu fuata hiyo link hapo chini ita kufaa sana

https://www.jamiiforums.com/tech-ga...neza-paypal-na-link-na-kadi-yako-ya-benk.html
 
Emu elezea hiyo moja unayoongeza kwenye 0.25 unaitoa wapi?

'Kima hesabu nadhani hiyo 1 ni ya bidhaa ulizo agiza ikimaanisha 1.25% ndio itakua full cost kwa lugha nyingine unge chukua 0.25%*1,000,000=250,000/= ambayo utaongeea kwenye gharama za bidhaa zako ambayo itakua 1,250,000. simply 1.25%*1,000,000=1,250,000
 
Back
Top Bottom