Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Emu elezea hiyo moja unayoongeza kwenye 0.25 unaitoa wapi?
Mkuu kodi inategemea kwa mfano Import Tax ni 25% ya CIF, na kuna baadhi ya items wanakata 5% - 10% kisha 18% VAT.

Hivyo ni bora ukafanya utafiti wa kutosha kwa kwenda ofisi za TRA zilizo karibu nawe kama hujui category ipi bidhaa zako inaangukia na huna ujuzi wa kukokotoa kodi.

Mfano ulivyosema kuwa ukiagiza kitu kwa gharama ya 1m basi utalipa 180,000 maana yake hivyo ni VAT na item hiyo itakuwa na zero rate ya Import duty lakini kama inayo kwanza watakupiga hiyo custom duty ndiyo waje wamalizie VAT.

Mfano CIF ya kitu ulichoagiza ni U$1600 basi na kina import tax (customy duty):

Kutegemea na rate itayoangukia hiyo item ila nyingi ni 25% nami naapigia kwa hiyo 25%

Customy Duty.

1600 * 1.25 = 2000, kama ni 10% basi utazidisha mara 1.1 na kama ni 5% utapiga mara 1.05

Excise Duty ni zero kwa item nyingi ukitoa magari ambayo huwa charged kwa CC.

VAT

Jibu la juu ambalo ni 2000 * 1.18 = 2360.

Hivyo 2360 - 1600 = 760 in total

760 * Exchange Rate (1632) = 1,240,320 ndiyo kodi utayotakiwa kulipa wakuu.

Hiyo ni kwa kadri ya uelewa wangu.
ni sawa mzee wa rula,
au ili kuondoa utata wa hiyo ''1'' calculation ziwe hivi..

Assuming the cost of item CIF is $1600 (invoice)

Import Duty 25% of CIF ---> 25/100=0.25, ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,0.25*1600= $400
VAT - 18% of Import Duty + CIF (1600+400=2000) ---> 18/100= 0.18,,,,,0.18*2000= $360
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,$760


ushuru utakaolipa tra kwa kuagiza mzigo wenye thamani ya $1600 ni $760,,,
 
ni sawa mzee wa rula, au ili kuondoa utata wa hiyo ''1'' calculation ziwe hivi.. Assuming the cost of item CIF is $1600 (invoice) Import Duty 25% of CIF ---> 25/100=0.25, ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,0.25*1600= $400 VAT - 18% of Import Duty + CIF (1600+400=2000) ---> 18/100= 0.18,,,,,0.18*2000= $360 ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,$760 ushuru utakaolipa tra kwa kuagiza mzigo wenye thamani ya $1600 ni $760,,,
We ndo nimekuelewa na unafaa kufundisha sana Sasa ambacho sijajua hizo bei zitapigwa kwa Bei ya Bidhaaa tu au bei ya bidhaa kuongezea ile ya shipping? Msaada hapo
 
We ndo nimekuelewa na unafaa kufundisha sana Sasa ambacho sijajua hizo bei zitapigwa kwa Bei ya Bidhaaa tu au bei ya bidhaa kuongezea ile ya shipping? Msaada hapo
Invoice inayokuja na parcel ni pamoja na shipping kwahiyo tra watacompute kupitia bei iliyoandikwa kwenye invoice. maranyingi sellers wa ebay wanaandika bei ndogo wanapoenda kutuma mzigo ili wachajiwe shipping price na insurance kidogo. wakifanya hivyo unapata unafuu wa ushuru kwa mizigo iliyo subjected to custom duty kwakuwa mzigo utakuwa na value ndogo.
 
We ndo nimekuelewa na unafaa kufundisha sana Sasa ambacho sijajua hizo bei zitapigwa kwa Bei ya Bidhaaa tu au bei ya bidhaa kuongezea ile ya shipping? Msaada hapo

Maana ya CIF ni Cost + Insurance If any + Freight na ndiyo tax base.

Kuhusu ile moja ambayo hujaielewa ni kuwa ukiweka moja huna haja ya kujumlisha yaani formula yenyewe ni commulative.

Hebu ona e.g. U$1600 * 0.25 = 400 Then 1600 +400 = 2000 ndiyo uje upate tax base ya VAT ambayo rate yake ni 18%

Lakini ukichukua U$ 1600 * 1.25 = 2000 then simple 2000 * 1.18 = 2360 ambapo unakuja kutoa na CIF ili upate tofauti yake ambayo ndiyo kodi. 2360 - 1600 = U$760.

Binafsi niliamini ndiyo njia nyepesi ambayo ingenifupishia maelezo mengi. Lakini kuna jamaa ameelekeza vizuri na umemuelewa basi nashukuru kwa hilo.
 
Invoice inayokuja na parcel ni pamoja na shipping kwahiyo tra watacompute kupitia bei iliyoandikwa kwenye invoice. maranyingi sellers wa ebay wanaandika bei ndogo wanapoenda kutuma mzigo ili wachajiwe shipping price na insurance kidogo. wakifanya hivyo unapata unafuu wa ushuru kwa mizigo iliyo subjected to custom duty kwakuwa mzigo utakuwa na value ndogo.

Mkuu hiyo labda kwa wale ambao siyo top rated seller, lakini most of top rated seller wao wanasema;

1.0 Hawawezi ku - underprice,
2.0 Ku label item as Gift.

Kwa hiyo mara nyingi mizigo inakuja na bei halisi, huo ndiyo uzoefu wangu. e.g adorama
 
Emu elezea hiyo moja unayoongeza kwenye 0.25 unaitoa wapi?

Hii ni kuepusha usumbufu wa kuja kujumulisha baadae tena baada ya kupiga kwa hiyo rate ambayo inaweza kuwa 0.25 au 0.1 au 0.05. Hii ni maalumu kwa sababu majibu ya nyuma baada ya kujumlisha na CIF na kodi linahitajika ili uweze kupiga kodi ya mbele.
 

'Kima hesabu nadhani hiyo 1 ni ya bidhaa ulizo agiza ikimaanisha 1.25% ndio itakua full cost kwa lugha nyingine unge chukua 0.25%*1,000,000=250,000/= ambayo utaongeea kwenye gharama za bidhaa zako ambayo itakua 1,250,000. simply 1.25%*1,000,000=1,250,000

Nashukuru kwa ufafanuzi.
 
UGOKO MKAVU nakujulisha kuwa tayari nimeshapata zile makitu, nilitumia anuani ya Posta na ilikuwa ni Free Shipping. Sasa ngoja nijipange kwa mambo yajayo zaidi.
 
Last edited by a moderator:
ni sawa mzee wa rula,
au ili kuondoa utata wa hiyo ''1'' calculation ziwe hivi..

Assuming the cost of item CIF is $1600 (invoice)

Import Duty 25% of CIF ---> 25/100=0.25, ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,0.25*1600= $400
VAT - 18% of Import Duty + CIF (1600+400=2000) ---> 18/100= 0.18,,,,,0.18*2000= $360
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,$760


ushuru utakaolipa tra kwa kuagiza mzigo wenye thamani ya $1600 ni $760,,,

kusema kweli nataman xana kujua process za hatua zote za kufanikisha kununua na kupokea mzigo..xaxa mkuu nakuomba kama unaweza uelezee A - Z watu wengne xx hatuna hata elmu nzuri lakn ni wazi wewe unaonekana unaujuzi na experience na hv v2..kama vp andaa thread mpya kabxa
 
UGOKO MKAVU nakujulisha kuwa tayari nimeshapata zile makitu, nilitumia anuani ya Posta na ilikuwa ni Free Shipping. Sasa ngoja nijipange kwa mambo yajayo zaidi.

Safi sana mkuu, nami ntaagiza kitu cha gharama ndogo nipate uzoef.
 
Last edited by a moderator:
Kama kuna mtu ameshawahi nunua kwa auction kwenye ebay please anipe uzoefu kuna magari mazuri mazuri sana upande huu wanauza kwa bid nataka nijaribu
 
duh mi natafuta housing ya laptop angu cz czani kama bongo niataipa maana hii mashine inaonekana ya long kinouma xo naweza pata humo ebay mkuu?
 
Run a MILE!!! Chinese scamers are all over that place!!

Alibaba na Aliexpress wote wana ESCROW na escrow ina principle moja
kwanza Unalipa na malipo yanaenda kwao baada ya ku-Confirm kuwa mzigo umeupata ndo hela inapelekwa kwa muuzaji
Nao pia wana Option ya Kufungua kesi iwapo Items not as described

Hivo Mkuu usitutie woga njoo na VIVID EXAMPLES kutetea point yako
 
Alibaba na Aliexpress wote wana ESCROW na escrow ina principle moja
kwanza Unalipa na malipo yanaenda kwao baada ya ku-Confirm kuwa mzigo umeupata ndo hela inapelekwa kwa muuzaji
Nao pia wana Option ya Kufungua kesi iwapo Items not as described

Hivo Mkuu usitutie woga njoo na VIVID EXAMPLES kutetea point yako

mkuu nimeona vitu vizuri sana huko na nikawa tempted kufanya my first online purchase..lakini mepata woga..hivi ukiimport tablet ndogo uzito like 1kg unalipia kodi?
 
katika kufungua account ya paypal kuna vitu vinanichanganya kidogo. Kuna.....
1. Adress Line 1
2. Adress Line 2
3. Postal Code
Naombeni kujua hivyo vitu vikoje na tofauti yake iko vipi.
 
Back
Top Bottom