Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Wakati mwingine posta makao makuu wanachanganya mizigo. Mzigo ambao unatakiwa uende kibiti posta unaenda singida.
Mfano halisi : niliagiza mzigo tangu mwezi wa 10 mwaka Jana na ulifika posta kuu mwezi wa kumi na mbili{shipping way haikuwa express). Mzigo ulipaswa kufika Chalinze.
Nilisubiri Sana mzigo haukufika na nikitrack naambiwa anuani imekosewa ingawa mzigo upo nchini.
Sasa mwezi wa pili mwaka huu posta kawe walinipigia Kama Kuna mzigo upo kwao na ulitumwa kimakosa. Nikawaambia ok fine,tumeni huo mzigo uje Chalinze.
Mpaka muda huu mzigo bado hawajatuma na Kila nikiwatafuta wananiambia watatuma.

Kwa hiyo posta kuu wakati mwingine wanamisplace mizigo.

Sent using LEAGOO M12
Ila kwa kweli hawa jamaa wa posta wakati mwingine wana kauvivu fulani lakini kuna wakati pia wanazidiwa na kazi kwa sababu kwa sasa hivi watu wanaoagiza mizigo kutoka nje wamekuwa wengi na hivyo kuwawia ugumu fulani wa kushughulikia swala hilo. Kwa mfano mtu anapoitwa kuchukua mzigo wake ni hatua zipi hufanyika mpaka kukabidhiwa mzigo wake. Hapa ni baadhi tu, 1. Kufungua mizigo na kuweka vifurushi vya mhusika pamoja, 2. Kuandika namba za simu na kumwita mhusika, 3. Kuscan barcode za vifurushi, 4. Kujaza jina na taarifa za kitambulisho chako kwenye kitabu, tarehe na muda wa delivery nk.
Na wakati mwingine network inasumbua,

Hizo ni sababu ambazo wakati mwingine zinasababisha mimi sasa nianze tu kuwa navumilia ucheleweshaji huo.

Ila hilo la kukupiga danadana mmmmhh walifanyie kazi ni muda mrefu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kusubiria package ya Aliexpress tokea december,2019 ikiwa inaonyesha despatched to overseas hadi leo. Aliexpress wali Handle dispute na kunirudishia pesa kwenye MPESA master card yangu na baadaye huu ndio ujumbe niliotumiwa na SELLER- Fantancy technology ukionyesha kwamba seller analalamika kuhusu Tanzania mizigo kutofika.

Sasa sijui kwa wazoefu kama kuna ukweli kuhusu Historia kama hii kwa sellers wengine Aliexpress....

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Hi Dear Customer,
Good day. Sorry to disturb you.

We have confirmed with shipping carrier that the parcel may be resent again recently,have you received your parcel? and we had refunded you the money in the dispute before, If you had received your parcel, we hope you can pay back some money to us. 🙂 Your order's price is USD 103.67 . We have applied some discount for you because the package delayed. so you just need to pay us USD 82.93 .

You can pay the money from here https://www.aliexpress.com/store/product/Difference-Link-Please-Note-That-The-Difference-is-for-which-order/609089_32794******.html Please choose quantity: 82.93 when you pay it and please take note "payment for order 8007981637*********" when you pay it. As for your your good trustworthiness record, we will give you discounts when you need to order in future and continue to provide compensation service for your order.[Put on steam] However, If you still not received the package,you can choose to pay back to us when you get the package from shipping carrier.

As we have compensated many orders from your country,we lose a lot of money.If you have received the parcel,we hope you can pay back us some money to reduce part of our losses.Or we have no choice to close the shipment to your country to prevent more losses. if you have any questions,please contact us.Service people are here with you all the time .

Best Regards,
Stephanie
Fantacy Customer Service Team

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
 
Kabla ya kufungua dispute uliwasiliana na seller? Isije ikawa ulikimbilia kufungua dispute bila Kwanza kushuhulikia tatizo na seller. Dispute inatakiwa iwe hatua ya mwisho kabisa Ila kabla protection time kuisha.
Protection time ikikaribia kuisha(60 days),ukimwambia seller kuwa bado hujapokea mzigo,ataongeza muda ili kukulinda wewe. Na endapo bado hujapokea pia ukiwasiliana naye mtafikia makubaliano mazuri tu na ikishindikana kabisa ndio itabidi ufungue dispute.
Kuna baadhi ya wateja wanapokea mizigo alafu hawafanyi confirmation then mwisho wa siku Wanafungua dispute na kurudishiwa pesa zao(Wizi). Hii inasababisha sellers wengi kulalamika na kwa kuwa hataki umewekee negative feedback anakubali yaishe.
SASA KAMA NI KWELI HUJAPOKEA MZIGO MPAKA LEO NA TAYARI UMESHARUDISHIWA PESA YAKO ITABIDI UWE MWAMINIFU SIKU UKIUPOKEA UMLIPE JAMAA PESA ZAKE.

NINAAMINI HUO MZIGO HAUTOPOTEA NA UTAUPATA.
AliExpress sio wajanja wajanja wapo systematic.
Inawezekana delay ya huu mzigo Ni kwa sababu ya ishu ya korona.
Baada ya kusubiria package ya Aliexpress tokea december,2019 ikiwa inaonyesha despatched to overseas hadi leo. Aliexpress wali Handle dispute na kunirudishia pesa kwenye MPESA master card yangu na baadaye huu ndio ujumbe niliotumiwa na SELLER- Fantancy technology ukionyesha kwamba seller analalamika kuhusu Tanzania mizigo kutofika.

Sasa sijui kwa wazoefu kama kuna ukweli kuhusu Historia kama hii kwa sellers wengine Aliexpress....

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Hi Dear Customer,
Good day. Sorry to disturb you.

We have confirmed with shipping carrier that the parcel may be resent again recently,have you received your parcel? and we had refunded you the money in the dispute before, If you had received your parcel, we hope you can pay back some money to us. 🙂 Your order's price is USD 103.67 . We have applied some discount for you because the package delayed. so you just need to pay us USD 82.93 .

You can pay the money from here https://www.aliexpress.com/store/product/Difference-Link-Please-Note-That-The-Difference-is-for-which-order/609089_32794******.html Please choose quantity: 82.93 when you pay it and please take note "payment for order 8007981637*********" when you pay it. As for your your good trustworthiness record, we will give you discounts when you need to order in future and continue to provide compensation service for your order.[Put on steam] However, If you still not received the package,you can choose to pay back to us when you get the package from shipping carrier.

As we have compensated many orders from your country,we lose a lot of money.If you have received the parcel,we hope you can pay back us some money to reduce part of our losses.Or we have no choice to close the shipment to your country to prevent more losses. if you have any questions,please contact us.Service people are here with you all the time .

Best Regards,
Stephanie
Fantacy Customer Service Team

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Sent using LEAGOO M12
 
Kabla ya kufungua dispute uliwasiliana na seller? Isije ikawa ulikimbilia kufungua dispute bila Kwanza kushuhulikia tatizo na seller. Dispute inatakiwa iwe hatua ya mwisho kabisa Ila kabla protection time kuisha.
Protection time ikikaribia kuisha(60 days),ukimwambia seller kuwa bado hujapokea mzigo,ataongeza muda ili kukulinda wewe. Na endapo bado hujapokea pia ukiwasiliana naye mtafikia makubaliano mazuri tu na ikishindikana kabisa ndio itabidi ufungue dispute.
Kuna baadhi ya wateja wanapokea mizigo alafu hawafanyi confirmation then mwisho wa siku Wanafungua dispute na kurudishiwa pesa zao(Wizi). Hii inasababisha sellers wengi kulalamika na kwa kuwa hataki umewekee negative feedback anakubali yaishe.
SASA KAMA NI KWELI HUJAPOKEA MZIGO MPAKA LEO NA TAYARI UMESHARUDISHIWA PESA YAKO ITABIDI UWE MWAMINIFU SIKU UKIUPOKEA UMLIPE JAMAA PESA ZAKE.

NINAAMINI HUO MZIGO HAUTOPOTEA NA UTAUPATA.
AliExpress sio wajanja wajanja wapo systematic.
Inawezekana delay ya huu mzigo Ni kwa sababu ya ishu ya korona.


Sent using LEAGOO M12

nilichowasiliana naye ni kuongeza BP time, na aliongeza kama siku 20, baada ya hapo nilifungua dispute na kwa kuwa alitumia aliexpress standard shipping, case ilishughulikiwa na Aliexpress wenyewe. Hapo kumbuka order niliweka tarehe 18 dec 2019, hadi leo ningekuwa bado nasubiria. Kwa upande wangu nikipokea mzigo hata baadaya ya miezi sita, bado nitawalipa jamaa, ila sidhani kama huo mzigo utafika, kwani zimeshapita siku nyingi sana.
 
Baada ya kusubiria package ya Aliexpress tokea december,2019 ikiwa inaonyesha despatched to overseas hadi leo. Aliexpress wali Handle dispute na kunirudishia pesa kwenye MPESA master card yangu na baadaye huu ndio ujumbe niliotumiwa na SELLER- Fantancy technology ukionyesha kwamba seller analalamika kuhusu Tanzania mizigo kutofika.

Sasa sijui kwa wazoefu kama kuna ukweli kuhusu Historia kama hii kwa sellers wengine Aliexpress....

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Hi Dear Customer,
Good day. Sorry to disturb you.

We have confirmed with shipping carrier that the parcel may be resent again recently,have you received your parcel? and we had refunded you the money in the dispute before, If you had received your parcel, we hope you can pay back some money to us. 🙂 Your order's price is USD 103.67 . We have applied some discount for you because the package delayed. so you just need to pay us USD 82.93 .

You can pay the money from here https://www.aliexpress.com/store/product/Difference-Link-Please-Note-That-The-Difference-is-for-which-order/609089_32794******.html Please choose quantity: 82.93 when you pay it and please take note "payment for order 8007981637*********" when you pay it. As for your your good trustworthiness record, we will give you discounts when you need to order in future and continue to provide compensation service for your order.[Put on steam] However, If you still not received the package,you can choose to pay back to us when you get the package from shipping carrier.

As we have compensated many orders from your country,we lose a lot of money.If you have received the parcel,we hope you can pay back us some money to reduce part of our losses.Or we have no choice to close the shipment to your country to prevent more losses. if you have any questions,please contact us.Service people are here with you all the time .

Best Regards,
Stephanie
Fantacy Customer Service Team

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Mithali 12:22

Midomo ya uongo ni chukizo kwa BWANA;
Bali watendao uaminifu ndio furaha yake.

Kuna order nilifanya mwaka jana ila mpaka sasa haijaja na nilipokuwa nikijaribu kuwasiliana naye, meseji zangu zilionyesha "Unread" nikaamua kuopen dispute na AE walinirefund.

Ila kama itafika basi kulipwa ni haki yao.

Kuna order nyingine nilifanya ikachelewa sana nikarudishiwa hela baadaye mzigo ukaja. Ila nilipowasiliana na seller aniambie jinsi ya kumlipa akawa anasoma meseji zangu hanijibu sasa nikashindwa alichomaanisha.

Mimi nawashauri tu tuendelee kuwa waaminifu. Tusiichafue nchi yetu ikawa na bad reputation maana sellers watatuogopa ingawa baadhi yetu si wa kuogopeka.


Hii hapa chini ni ile ambayo mpaka sasa haijaja.
IMG_20200422_144640.jpg
Screenshot_20200422-082231.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good point. MWAMINIFU anapendwa na kila MTU kwenye biashara
Mithali 12:22

Midomo ya uongo ni chukizo kwa BWANA;
Bali watendao uaminifu ndio furaha yake.

Kuna order nilifanya mwaka jana ila mpaka sasa haijaja na nilipokuwa nikijaribu kuwasiliana naye, meseji zangu zilionyesha "Unread" nikaamua kuopen dispute na AE walinirefund.

Ila kama itafika basi kulipwa ni haki yao.

Kuna order nyingine nilifanya ikachelewa sana nikarudishiwa hela baadaye mzigo ukaja. Ila nilipowasiliana na seller aniambie jinsi ya kumlipa akawa anasoma meseji zangu hanijibu sasa nikashindwa alichomaanisha.

Mimi nawashauri tu tuendelee kuwa waaminifu. Tusiichafue nchi yetu ikawa na bad reputation maana sellers watatuogopa ingawa baadhi yetu si wa kuogopeka.


Hii hapa chini ni ile ambayo mpaka sasa haijaja.View attachment 1426765View attachment 1426766

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using LEAGOO M12
 
NINA MASWALI KUHUSU MANUNUZI ONLINE

1. Kwa anaefaham namna ya kuweka sanduku lako la posta katika shipping adress za

(a) Alibaba
(b) Ebay
(c) Amazon

Yaani unaiwekaje wekaje kwa aliyewahi kuagiza na mzigo ukamfikia naomba ascreen shot shipping adress yake then aiweke hapa ili na mm nikamilishe taratibu

2. Je ni siku ngapi mzigo hufika kwa kila kampuni hizo tajwa hapo juu?

3. Je kwa mikoani tofauti na Dar bidhaa inaweza kukufikia huko?

4. Je taratibu za ushuru zikoje mzigo ukifika Tanzania?

5. Posta kwa sasa wamesitisha huduma ya kupokea mizigo kutoka nje na je lini wanaweza kuanza kupokea tena?

Nitauliza tena maswali mengine nikiyapata.

Nitashukuru sana sana kama nitaeleweshwa hayo maswali hapo juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana tarehe 3/1/2020 nimepokea percels zangu zilizosafirishwa kupitia AliExpress standard shipping.
Percel ya Kwanza 20 days kuipata mkononi na ya pili 30 days.View attachment 1311656View attachment 1311657View attachment 1311658

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka naomba uniambie kwny shipping address umejazaje hapo pananichanganya. Ila sehemu zingine hamna shida sana. Km inawezekana screen shot shipping address yako hlf unitumie nione

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mithali 12:22

Midomo ya uongo ni chukizo kwa BWANA;
Bali watendao uaminifu ndio furaha yake.

Kuna order nilifanya mwaka jana ila mpaka sasa haijaja na nilipokuwa nikijaribu kuwasiliana naye, meseji zangu zilionyesha "Unread" nikaamua kuopen dispute na AE walinirefund.

Ila kama itafika basi kulipwa ni haki yao.

Kuna order nyingine nilifanya ikachelewa sana nikarudishiwa hela baadaye mzigo ukaja. Ila nilipowasiliana na seller aniambie jinsi ya kumlipa akawa anasoma meseji zangu hanijibu sasa nikashindwa alichomaanisha.

Mimi nawashauri tu tuendelee kuwa waaminifu. Tusiichafue nchi yetu ikawa na bad reputation maana sellers watatuogopa ingawa baadhi yetu si wa kuogopeka.


Hii hapa chini ni ile ambayo mpaka sasa haijaja.View attachment 1426765View attachment 1426766

Sent using Jamii Forums mobile app
Mrejesho.

Mzigo wa pili niliouagiza mwezi wa 3. Umefika. Ni baada ya kukaa zaidi ya siku 40 ukiwa despatched to overseas. Kutoka dar hadi Arusha imechukua siku 1 tu!

IMG_20200507_162614.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hingera mkuu.
Sasa mlipe seller hela yake maana ulituambia uli open dispute ukarudishuwa pesa yako.
Kuwa mwaminifu umlipe seller pesa yake.
Mrejesho.

Mzigo wa pili niliouagiza mwezi wa 3. Umefika. Ni baada ya kukaa zaidi ya siku 40 ukiwa despatched to overseas. Kutoka dar hadi Arusha imechukua siku 1 tu!

View attachment 1442839

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using LEAGOO M12
 
Back
Top Bottom