Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Hingera mkuu.
Sasa mlipe seller hela yake maana ulituambia uli open dispute ukarudishuwa pesa yako.
Kuwa mwaminifu umlipe seller pesa yake.

Sent using LEAGOO M12
Hapana. Sio hii. Ile ilirudishwa hela bado haijafika, ilikuwa ni redmi 7A chinese version na niliorder kwa seller fantancy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakukubali mkuu. Umenipa ujasiri kidogo kwamba kipindi hichi Cha korona order bado zinafika hata Kama ni kwa kuchelewa kidogo.
Naamini hata hii Redmi 7A itafika tu.
Hapana. Sio hii. Ile ilirudishwa hela bado haijafika, ilikuwa ni redmi 7A chinese version na niliorder kwa seller fantancy

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using LEAGOO M12
 
Confirm order received ili order iwe complete.


Sent using LEAGOO M12
nimeshaconfirmed ni zaidi ya week sasa ila bado status iko vilevile

Sent from my SM-G532F using Tapatalk
 
Wakuu samahanini naomba kuuliza hivi
.
Ebay katika kujaza taarifa za kadi ya malipo kwa mfano M-Pesa MasterCard, kipengele cha security code pale panajazwa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu naweza kupata Battery ya Nokia 3310 .
Maana betri yangu imevimba , mwenye uwezo wakuniagizia online naomba tuwasiliane.
mwl-Rct Msaada wako.
IMG20200523104049.jpg
IMG20200523104054.jpg
IMG20200523104204.jpg
IMG20200523104223.jpg
IMG20200523104230.jpg


Sent using Oppo A3s
 
Back
Top Bottom