JOAQUEM
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 2,020
- 1,671
Mimi wangu niliupata ndani ya siku 30, ila mpaka leo ukiutrack status inasema dispatched to overseasMrejesho.
Mzigo wa pili niliouagiza mwezi wa 3. Umefika. Ni baada ya kukaa zaidi ya siku 40 ukiwa despatched to overseas. Kutoka dar hadi Arusha imechukua siku 1 tu!
View attachment 1442839
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my SM-G532F using Tapatalk