Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Kuna simu Redmi note 8 pro nimeiona Ebay, ukiangalia bei yake na shipping cost iko vuzuri, shida ni anwani ya posta (box) sina, je nafanyaje?
IMG-20201215-WA0000.jpg
Screenshot_20201215-052310.jpg
 
Fuata muongozo uliowekwa hapa
Code:
https://smartposta.posta.co.tz

Baada ya kupata anwani yako, Endelea na manunuzi.
Nimeshafanya registration tayari imebaki kulipia tu box. Hii username na password naipataje, maana katika kusajiri sinaona sehemu ya kunitaka kuweka username wala password, nafanyaje?
Screenshot_20201215-120529.jpg
 
Nimeshafanya registration tayari imebaki kulipia tu box. Hii username na password naipataje, maana katika kusajiri sinaona sehemu ya kunitaka kuweka username wala password, nafanyaje?View attachment 1650607
Same problem here... Nimefanya malipo tayari... So how do I login...??
 
Ndio inawezekana

Muuzaji atakupatia baada ya mzigo kutumwa.
Na je km mzigo hujafika unaweza kufungua dispute km Ali express? Na vp km mzigo mkubwa wa kilo mia still unaweza kuupokea kwa njia ya posta? Na je mzigo km umekuja kwa meli sisi wa mikoani tutaupate?
 
Na je mzigo km umekuja kwa meli sisi wa mikoani tutaupate?
- Atakaye husika na clearance ndie utafanya naye mawasiliano kwa utaratibu wa kutumiwa mahala ulipo.
Na vp km mzigo mkubwa wa kilo mia still unaweza kuupokea kwa njia ya posta?
Hata kama ni mzigo wa Tani kadhaa, unaotoka nje ya nchi unakuja nchini iwe kwa sea shipping au air Freight , Huwa huo mzigo unakuwa na anwani ya muhusika na mawasiliano mengine kama namba za simu, email, fax etl.

Sio kweli kwamba physically mzigo wako utapelekwa posta, hapana bali documents za mzigo ndizo zitapita posta iwapo zitatumwa kwa EMS, ila mzigo wako utafikia sehemu stahiki kutegemea umeingia nchini kwa njia ipi.

Zipo taratibu za kuhifandhi mizigo bandari au kwenye viwanja vya ndege, kwenye warehouse husika wakati taratibu za clearance zikiendelea.

Tukirudi kwenye swali lako jibu ni kuwa sio kila mzigo unapelekwa physcally posta hapana, Hauwezi ukaagiza gari, na uende kupokelea posta, huwezi ukaagiza Tani kadhaa za bidhaa na uende kupokelea posta, hapana sio hivyo.
Na je km mzigo hujafika unaweza kufungua dispute km Ali express?
Ndio, ni utaratibu wa kawaida.
 
Fika posta iliyo karibu nawe na utapewa msaada stahiki.
Je kwa Ali baba wanakata pesa kwenye mastecard moja kwa moja kama vile Ali express.
Nimeiona solar water pump imenivutia kwa kweli lkn seller amenishaur ninunue kwenye local market maana freight iko juu kwa moja.
 
Ali baba wanakata pesa kwenye mastecard moja kwa moja kama vile Ali express.
Ndio, ni kama aliexpress jinsi unavyofanya.
solar water pump imenivutia kwa kweli lkn seller amenishaur ninunue kwenye local market maana freight iko juu kwa moja.
Sahihi, Bei ya manunuzi yaweza kuwa ndogo, Ila gharama ya kusafirishia ikawa kubwa. Ni kawaida.
 
Ndio, ni kama aliexpress jinsi unavyofanya.

Sahihi, Bei ya manunuzi yaweza kuwa ndogo, Ila gharama ya kusafirishia ikawa kubwa. Ni kawaida.
Mkuu seller ameniulza kama nina shipper yoyote alikuwepo china amtumie ili kupunguza gharama, hii inakuwaje.
 
Mwezi October mwaka Jana nilijaribu kuagiza bidhaa AliExpress nilifanikiwa kufanya malipo. Tracking inaonyesha mzigo Bado haujafika na ni zaid ya mwezi toka tarehe husika ambayo mzigo ulitakiwa uwe umeshafika.na Airtel MasterCard haipokei pesa kwa hio refund nisahau
Pesa yangu ndo ishaliwa. wazoefu naombeni ushauri.
Screenshot_20210119-140423.jpg
 
Mwezi October mwaka Jana nilijaribu kuagiza bidhaa AliExpress nilifanikiwa kufanya malipo. Tracking inaonyesha mzigo Bado haujafika na ni zaid ya mwezi toka tarehe husika ambayo mzigo ulitakiwa uwe umeshafika.na Airtel MasterCard haipokei pesa kwa hio refund nisahau
Pesa yangu ndo ishaliwa. wazoefu naombeni ushauri.View attachment 1681209
Hela yako iko salama.
AliExpress mambo yao ni ya kisomi na poa sana.

Mimi kuna order nilifanya ikamaliza miezi mitatu haijafika mfumo ukaconfirm automatic kwamba nimepokea na huku sijapokea chochote.

Nilifungua kesi ya madai na AliExpress Team wakaingilia kati na kunirefund.

Nasubiri siku mzigo ukifika niwalipe ingawaje ni hasara kufanya muamala mara mbili.

Ila kumbuka kuwalipa maana hawa jamaa weupe huwa wanatunza kumbukumbu za wateja wao.

Ukijidai mjanja mjanja kuna siku itakula kwako.

Pia uaminifu wakati mwingine ni mtaji.

Sent from my cupboard using mug
 
Hela yako iko salama.
AliExpress mambo yao ni ya kisomi na poa sana.

Mimi kuna order nilifanya ikamaliza miezi mitatu haijafika mfumo ukaconfirm automatic kwamba nimepokea na huku sijapokea chochote.

Nilifungua kesi ya madai na AliExpress Team wakaingilia kati na kunirefund.

Nasubiri siku mzigo ukifika niwalipe ingawaje ni hasara kufanya muamala mara mbili.

Ila kumbuka kuwalipa maana hawa jamaa weupe huwa wanatunza kumbukumbu za wateja wao.

Ukijidai mjanja mjanja kuna siku itakula kwako.

Pia uaminifu wakati mwingine ni mtaji.

Sent from my cupboard using mug
ukisoma terms and conditions zao... ikitokea mzigo umeupata baada ya refund huhesabika kama zawadi... ila kuwarudishia ni moyo wako tu..
 
ukisoma terms and conditions zao... ikitokea mzigo umeupata baada ya refund huhesabika kama zawadi... ila kuwarudishia ni moyo wako tu..
Kwa kweli mimi nilishazoea, kwanza huwa nakosa amani moyoni endapo nikinyamaza na huku nimepokea mzigo. Hata juzi juzi na jana pia nilirudisha hela walizokuwa wamerefund.

Sent from my cupboard using mug
IMG_20210119_195758.jpg
IMG_20210119_200013.jpg
 
Hela yako iko salama.
AliExpress mambo yao ni ya kisomi na poa sana.

Mimi kuna order nilifanya ikamaliza miezi mitatu haijafika mfumo ukaconfirm automatic kwamba nimepokea na huku sijapokea chochote.

Nilifungua kesi ya madai na AliExpress Team wakaingilia kati na kunirefund.

Nasubiri siku mzigo ukifika niwalipe ingawaje ni hasara kufanya muamala mara mbili.

Ila kumbuka kuwalipa maana hawa jamaa weupe huwa wanatunza kumbukumbu za wateja wao.

Ukijidai mjanja mjanja kuna siku itakula kwako.

Pia uaminifu wakati mwingine ni mtaji.

Sent from my cupboard using mug
Waki refund pesa itaingia kwenye Airtel MasterCard?
 
Back
Top Bottom