Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Habari,
Ninihitaji kuagiza bidhaa Aliexpress so sijawahi kufanya hivyo hata siku moja
Hivyo naomba wenye kufahamu mnieleweshe ili niwe na ufahamu niwe naagiza Bidhaa huko na ziweze kufika salama
 
Habari,
Ninihitaji kuagiza bidhaa Aliexpress so sijawahi kufanya hivyo hata siku moja
Hivyo naomba wenye kufahamu mnieleweshe ili niwe na ufahamu niwe naagiza Bidhaa huko na ziweze kufika salama

Fungua account Aliexpress, jaza taarifa za anuani yako kwa usahihi.
Tengeneza MasterCard kwa M-pesa au Airtel Money.

Chagua bidhaa unayoipenda. Hakikisha muuzaji anaShip kuja Tanzania. Kama una maswali mtumie seller message na atakujibu.

Kwenye shipping Chagua Aliexpress standard shipping.

Lipia mzigo wako, utatumwa kwenye address uliyoijaza kwenye profile yako na utapokelea Posta iliyo karibu na wewe.
 
Fungua account Aliexpress, jaza taarifa za anuani yako kwa usahihi.
Tengeneza MasterCard kwa M-pesa au Airtel Money.

Chagua bidhaa unayoipenda. Hakikisha muuzaji anaShip kuja Tanzania. Kama una maswali mtumie seller message na atakujibu.

Kwenye shipping Chagua Aliexpress standard shipping.

Lipia mzigo wako, utatumwa kwenye address uliyoijaza kwenye profile yako na utapokelea Posta iliyo karibu na wewe.
Mkuu samahani, vip kuhusu usalama wa pesa? Na mpesa wanaconvert kwenda usd siyo?
 
Mkuu samahani, vip kuhusu usalama wa pesa? Na mpesa wanaconvert kwenda usd siyo?

Usalama wa pesa kwa Aliexpress ni wa uhakika. Vitu vya kufanya ili kuepuka usumbufu wa kucheleweshewa mzigo ni kutafuta seller mwenye reviews nyingi ambazo ni positive.

Kuhusu malipo, pale Aliexpress kila kitu kitaonekana katika TSHS kwakuwa profile yako utakuwa umejaza Tanzania. Hivyo wakati wa kulipa utapewa gharama in TSHS
 
Mkuu samahani, vip kuhusu usalama wa pesa? Na mpesa wanaconvert kwenda usd siyo?
Shipment iliwahi kuwa cancelled kwa madai mzigo haonekani au kwa lugha rahisi umepotea.

Ilikuwa rahisi kudai fidia na walinilipa fedha zangu haraka kwa kuwa ushahidi nilikuwa nao na ni ndani ya system yao wenyewe.

Hivyo usiwe na wasiwasi juu ya usalama.

Pia kumbuka kurekodi video na picha unapofungua mzigo baada ya kupokea maana inaweza ikawa ushahidi mzuri kudai irudishiwe fedha pale unapokuta mzigo umeharibika au sio wenyewe.
 
Shipment iliwahi kuwa cancelled kwa madai mzigo haonekani au kwa lugha rahisi umepotea.

Ilikuwa rahisi kudai fidia na walinilipa fedha zangu haraka kwa kuwa ushahidi nilikuwa nao na ni ndani ya system yao wenyewe.

Hivyo usiwe na wasiwasi juu ya usalama.

Pia kumbuka kurekodi video na picha unapofungua mzigo baada ya kupokea maana inaweza ikawa ushahidi mzuri kudai irudishiwe fedha pale unapokuta mzigo umeharibika au sio wenyewe.
Ikitokea mzigo umeharibika unafanyaje
 
Kingine uwe unacheki kitu kinaitcha user Feedback ratings kwa huyo seller, angalia watu wanamcoment vipi.
Maana unaweza agiza kikafika ila sio kitu ulichotegemea au kwa kuchelewa sana.
 
Ikitokea mzigo umeharibika unafanyaje
Kuna utaratibu wa kurudisha ila ni vema ukawa na ushahidi na wao wajiridhishe. Sema huwa kuna utata kama mzigo ukiharibika maana wahusika kuanzia seller hadi msafirishaji watarushiana mpira.

Muhimu ushahidi wa video wakati unafungua mzigo mzigo uwe nao na ukifungua malalamiko kwa aliexpress mfano, kuna sehemu ya kuonyesha.
 
Habari,
Ninihitaji kuagiza bidhaa Aliexpress so sijawahi kufanya hivyo hata siku moja
Hivyo naomba wenye kufahamu mnieleweshe ili niwe na ufahamu niwe naagiza Bidhaa huko na ziweze kufika salama

Unaweza kujifunza zaidi hapa bure kabisa
 
Humu kwenye group utapata unachotaka kujua, Hatua kwa hatua kwa kiswahili na ni free..
Habari,
Ninihitaji kuagiza bidhaa Aliexpress so sijawahi kufanya hivyo hata siku moja
Hivyo naomba wenye kufahamu mnieleweshe ili niwe na ufahamu niwe naagiza Bidhaa huko na ziweze kufika salama
Xiaomi Users TZ [emoji1241]
Welcome to Xiaomi Fans & Users TZ Group! [emoji4] Feel free to share your experiences with others, Your New Xiaomi brands, MIUI New features & Online Shopping and purchases experiences from Aliexpress, Amazon, eBay, Banggood, Taobao, Gearbest, Alibaba e.t.c...!
 
Hivi vitu vingine inabidi tununue hapa kwetu maana shipping INA ghalama kuliko kifaa ulichoagiza
Screenshot_20210520-192919.jpg
 
Fungua account Aliexpress, jaza taarifa za anuani yako kwa usahihi.
Tengeneza MasterCard kwa M-pesa au Airtel Money.

Chagua bidhaa unayoipenda. Hakikisha muuzaji anaShip kuja Tanzania. Kama una maswali mtumie seller message na atakujibu.

Kwenye shipping Chagua Aliexpress standard shipping.

Lipia mzigo wako, utatumwa kwenye address uliyoijaza kwenye profile yako na utapokelea Posta iliyo karibu na wewe.
mkuu kwa mimi ambaye sina account ya posta inakuwaje, make naona kufungua hiyo smartposta inakua gharama make na kitu ninachihitaji ni kidogo tu betri la simu, ambalo kwa hapa bongo nimeshapoteza tumaini la kupata.
ni BM 46 betri la xiaomi redmi note 3
 
Mm eBay nachukuaga sana mizigo
Na bidhaa nyingi nauza humu jf

mkuu chief-mkwawa mm natumia box la chuo hivo silipiagi kitu chochote zaidi ya ile shiping fee iliyoandikwa na muuzaji

Kama alivyo sema chief-mkwawa inabidi kuangalia repitation ya seller

Maana mm kama mnakumbuka nilianzisha thread ya "hivi eBay ni genuine market place" sababu niliona iPhone 5 $14.99 na Mac book mpya $24.99
seller alikuwa wa china na akuwa na positive feedback hata moja
Baada ya dakika na baada ya mm kufanya payment nikaambiwa kwa email, item removed

Namshukuru Mungu nili open case nakikawa refunded lkn hadi leo hii refund sijawahi kuiona kwenye Bank statement naliamua chuna tu

HOPE YOU WILL LEARN FROM WHAT HAPPENED TO ME
Msaada nitajuaje supplier ktk Alibaba kuwa si fake na ni guine
 
Simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.

Mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.

Baada ya wiki 3 nimekipata kioo.

Kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.













JIBU: UncleUber replied; mzigo wako utaupokelea posta au mahala popote ambapo utakuwa umeomba mzigo wako upelekwe; mfano unaweza(kama umelipia gharama za kuuleta kwa njia husika) kuja DHL au USPS n.k utaukuta kwenye ofisi husika, mara nyingi uwa wanakupigia simu kifurushi chako kikifika (hata posta wanapiga simu)
joeli@
Nataka kujua Kama supplier ktk alibaba sio fake vigezo vipi nizingatie?
 
Naomba kujua vitu Kama nguo suti au wedding dress vinaweza kufika ukinunua kwa alliexpress?
 
Back
Top Bottom