Nakujulisha soon, ManaJF ambaye huuza bidhaa tokea zanzibar.
Kwa manunuzi ya TV wasiliana na huyu: AbdulwahidJe una uzoefu na manunuzi ya vitu huko ili unisaidie Mkuu?
Shukrani sana MkuuKwa manunuzi ya TV wasiliana na huyu: Abdulwahid
Ila kwanza pitia Thread zake ili uweze kujiridhisha: https://www.jamiiforums.com/search/14857646/
Kila lakheri ndugu Anigrain
Aisee hiyo link ya Uzi wake naona haifungiki MkuuKwa manunuzi ya TV wasiliana na huyu: Abdulwahid
Ila kwanza pitia Thread zake ili uweze kujiridhisha: https://www.jamiiforums.com/search/14857646/
Kila lakheri ndugu Anigrain
Nimefungua pay pal wamekata 2,400mbona balaa mkuu, af nlienda posta ya Mwanza wakanambia bidhaa za matumizi kutoka nje hazikatwi VAT sasa sijui hapa inakuaje, mi nilichukua sim parcel yangu free of charge.
N.B kwa kua sijui ilikuja na registered mail hawakutaka hata ile 2300.
so hapo ulifanyaje mpaka wakakupa mzigo wako.
Angalia salio lako, Huwa wanarudisha muamala ndani ya muda mfupi.Nimefungua pay pal wamekata 2,400
Nimeona ni ndani ya masaa 72 wanarudisha wacha tuoneAngalia salio lako, Huwa wanarudisha muamala ndani ya muda mfupi.
Ni kawaida.
Utapata jibu kwa kuangalia huu mfano:free shipping...vipi hapo ni kweli ni bure
Mwenye ujuzi atusaidie ili wakuu kila nikiweka oda inakataa
Nazani nikufungua akaunt zaid y moja kwenye simuKila nikiplace order inaniandikia hivyo...nakosea wapi
Sahihi bado haujapatikana.Paypal bado tu haujapatikana Tz?
Je ni website ipi hiyo?bei ndogo sana hiyo bei ni ya kweli
Weka bidhaa kwenye 'Cart' uwe kama unataka kulipia, Ghalama kamili itajitokeza ikijumuisha na ghalama za usafirishaji.Allxpres
Bei uionayo sio halisi, Gharama halisi hutolewa na muuzaji baada ya kuwasiliana naye.Allibaba