Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Samahani naomba kusaidiwa kwan nami nataka kuwatumia hawa jamaa, je kwa mimi niliyepo mbali na dar naweza tumia tumia anuani yangu huku songea na mzigo ukafika?
 
Ok so ulikuwa unatakaje sasa?

Mkuu kama nilivyosema kwenye posti hiyo mwanzo kwamba kila nikijaribu kununua bidhaa za kimarekani inaonekana wauzaji hawako tayari kuniletea kupitia anwani yangu ya Kibaigwa-Dodoma.

Ndio nikarudi hapa kuja kupata uzoefu ili nijue kama kuna namna ya uaigizaji hizo bidhaa za kimarekani kupitia mtandao huu wa ebay ni hayo tu mkuu.
 
simu yangu ya htc ilipasuka kioo, nikatafuta weee, mwisho kuna mtu humu jukwaani akanitajia fundi yupo posta anaitwa sele. nikaenda kufika kaniambua kioo kipo ila bei laki, haipungui wala nini, nikaona pagumu.

mwezi uliopita nikaamua nijaribu ebay nikakuta vioo kibao nikachagua model yangu, nikalipia kwa paypal, kama elfu 36 tu na free shipping.

baada ya wiki 3 nimekipata kioo.

kwa wale wanaohofia kuibiwa au kutapeliwa, mie nimepata bidhaa niliyonunua, nanyi msisite kununua.

naomba kujua ukisha fungua ac mfano crdb ukafanikiwa kupata hiyo master card unapofanya manunuzi online kwenye ac yako unaweka dolla au unaweza kufanya tu manunuzi kwa kutumia tz shillings benk ndio inabadisha kuwa dolla?maana bidhaa nying online zinauzwa kwa dolla.msaada wenu wadau
 
naomba kujua ukisha fungua ac mfano crdb ukafanikiwa kupata hiyo master card unapofanya manunuzi online kwenye ac yako unaweka dolla au unaweza kufanya tu manunuzi kwa kutumia tz shillings benk ndio inabadisha kuwa dolla?maana bidhaa nying online zinauzwa kwa dolla.msaada wenu wadau

Hakuna haja ya kuweka dollar, hela yako itakatwa kutokana na thamani ya dollar ambazo unatakiwa kulipia
 
naomba kujua ukisha fungua ac mfano crdb ukafanikiwa kupata hiyo master card unapofanya manunuzi online kwenye ac yako unaweka dolla au unaweza kufanya tu manunuzi kwa kutumia tz shillings benk ndio inabadisha kuwa dolla?maana bidhaa nying online zinauzwa kwa dolla.msaada wenu wadau
hauweki dollar wala huitaji kuweka dollar, japo hiyo ni disadvantage kwako wewe mteja na advantage kwa benki, so unaweza kuwa na akaunti ya dollar specific kwa ajili ya manunuzi japo makato yake ni tofauti na hii ya madafu,
 
Mwenye experience na AMAZON jamani maana kuna laptop nataka kununua tatizo haiuzwi na Amazon wenyewe na haina details nyingi
Je,sitoibiwa hela yangu(najua kuna refunds ila sizipendi) na je huwa hawauzi vifaa vingine vimeharibika
 
Sawa sawa mkuu labda niseme kila nchi nadhani zina sheria zake kuhusu bank nadhani na inategemea, pia vile vile me kutumia paypal huwa nikitaka kununua vitu huwa naangalia hasa seller ambao wapo UK maana china kuna high risk ya kudhulumiwa, ni kweli kwabongo upande wa refund nasikia wanasumbua sana huko ila naona nchi zinatofautiana ndugu yangu. me upande wa kusumbuliwa sijawahi kwa kweli, kama haijawahi kuonyesha refund basi akirefund tu labda usubirie 4 days then ukicheck account unaweza kuiona hela yako.

Wala usijali mkuu nadhani tunajaribu kueleweshana maana wote tunahitaji kujuwa experience tofauti tofauti. na ilikuwaje mpaka ukatuma kwa wanageria always huwa nacheck https:// before sijafanya anything hasa ikifikia kwenye maswala ya hela.
Paypal walini refund baada ya muuzaji kukataa kwamba sijamtumia hela. Cha kusikitisha ni kwamba hiyo hela kweli ilikua refunded lakini kweny account yang ya crdb haionekani
 
Paypal walini refund baada ya muuzaji kukataa kwamba sijamtumia hela. Cha kusikitisha ni kwamba hiyo hela kweli ilikua refunded lakini kweny account yang ya crdb haionekani

Print ile page ambayo full details za refund yako , zinapatikana baada ya ku log in paypal ,, then peleka azikiwe branch, uwaonyeshe, wataishughulikia, mi nilipatwa na tukio kama lako, nimehangaika branch nyingi sana nikufuatlia .customer cares wa branch nyingi za crdb inaelekea hawajui kuli handle hili swala,
 
Paypal walini refund baada ya muuzaji kukataa kwamba sijamtumia hela. Cha kusikitisha ni kwamba hiyo hela kweli ilikua refunded lakini kweny account yang ya crdb haionekani

mkuu jaribu kwenda pale cradb makao makuu huwa wanashughulikia masuala hayo ya refund ila lazima uende na print out ya hiyo email inayoonyesha kuwa hela yako imekuwa refunded.

mimi ilishawahi kunitokea suala kama hilo na nilipoenda pale crdb makao makuu nikawaeleza na kuna mtu nadhani anashughulikia mambo hayo ya online na alinitaka nipeleke copy ya hiyo email. basi nilipeleka na kama baada ya 24hrs wakanirudishia hela yangu. na ilipotokea mara ya pili nahitaji kuwa refunded wala sikuhitaji kwenda tena benki maana waliingiza kwenye akaunti wenyewe ila ilichukua kama wiki hivi ndi niliiona katika akaunti mana nipo mbali na dar kwa sasa.
 
Wadau, naweza kusema nimekuwa mtumiaji wa ebay kwa muda karibia mwaka, hata kuweza kufikia feedback scores 100+.
Kuhusiana na issue ya cards, kuna banks chache hapa mjini wanatoa visa usd cards, ambazo wala huitajiki kuwa na account ya iyo bank husika, wewe ni kwenda na ID kama ni leseni, pasipoti ama kitambulisho cha kupiga kura na wao wanakupa kadi, ambayo ni dollar denominated, wewe unachofanya ni kuweka shilingi ama dola, baada ya hapo wewe unaendelea na manunuzi yao, na ikitokea kukafanyika kwa refund huwa inarudi katika kadi yako na pia ujumbe wa kurudishiwa hizo pesa utakwenda katika anwani uliyosajilia katika paypal account.


Nawakilisha.
 
Wadau, naweza kusema nimekuwa mtumiaji wa ebay kwa muda karibia mwaka, hata kuweza kufikia feedback scores 100+.
Kuhusiana na issue ya cards, kuna banks chache hapa mjini wanatoa visa usd cards, ambazo wala huitajiki kuwa na account ya iyo bank husika, wewe ni kwenda na ID kama ni leseni, pasipoti ama kitambulisho cha kupiga kura na wao wanakupa kadi, ambayo ni dollar denominated, wewe unachofanya ni kuweka shilingi ama dola, baada ya hapo wewe unaendelea na manunuzi yao, na ikitokea kukafanyika kwa refund huwa inarudi katika kadi yako na pia ujumbe wa kurudishiwa hizo pesa utakwenda katika anwani uliyosajilia katika paypal account.


Nawakilisha.
Benki zipo hizo... Kwa kifupi ungetoa vitu muhimu vinavyohitajika katika kupata hizo card
 
Kaka ukisoma hapo vizuri nimeandika,

"ID kama ni leseni, pasipoti ama kitambulisho cha kupiga kura na wao wanakupa kadi"
 
Ni banc ABC, kadi yao inauzwa kwa 20$, nenda na leseni ya udereva,pasipoti ama kadi ya kupiga kura watakupa kadi hapo hapo. na uzuri wao mwingine wana sms alert, ukifanya muamala wowote unapata ujumbe katika namba ya simu yako.


Nawakilisha.
 
Ni banc ABC, kadi yao inauzwa kwa 20$, nenda na leseni ya udereva,pasipoti ama kadi ya kupiga kura watakupa kadi hapo hapo. na uzuri wao mwingine wana sms alert, ukifanya muamala wowote unapata ujumbe katika namba ya simu yako.


Nawakilisha.

ninayo ya TZS kwa hao banc abc sijui kama naweza kuifanya USD?
 
Mkuu sidhani kama inawezekana, kwani ni kadi mbili tofauti kwa maana ya dola na tzs.
 
Back
Top Bottom