Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Inakuwa refunded mara unapo verrify account yako ya paypal. Verification code inapatikana kwenye bank acc statement yako on the first transcation you made with paypal.
kwahiyo inatakiwa nikishafanya transaction ya kwanza nikachukue bank statement, na siwez kufanya transaction zaidi ya moja kabla sijafanya verification?
 
Ni vizuri kuverify acc yako mara baada ya kufanya hiyo transcation ya kwanza, pia unaweza fanya transcation zaidi ya moja kabla ya kuwa verified ila tatizo ni kama nlivyosema hapo juu.

Pia paypal wana limit fulani ya kiasi ambacho unaweza lipia online kama hujawa verified.

So ni uamuzi wako tu
 
Unaweza kuendelea kufanya transaction bila ku-verify acc yako ya paypal, ILA hutakuwa refunded hiyo $1.95 na pia kuna sellers ambao hawauzi item kwa acc ambayo haijawa verified.

Normaly verification code ni namba kama nne hivi ambazo hutokea kwenye bank statement yako mara baada ya kufanya ya transcation ya kwanza.

Also kama una acc ya banc ABC hiyo hela itaingia moja kwa moja kwenye acc yako na utapata sms kuwa $1.95 imeingizwa kwenye acc yako. Sijui kwa bank nyingine utaratibu ukoje. Nadhani nimeeleweka kateka.

Mkuu nimekupata vizur ahsante kwa maelezo mazuri.
 
Ni vizuri kuverify acc yako mara baada ya kufanya hiyo transcation ya kwanza, pia unaweza fanya transcation zaidi ya moja kabla ya kuwa verified ila tatizo ni kama nlivyosema hapo juu. Pia paypal wana limit fulani ya kiasi ambacho unaweza lipia online kama hujawa verified. So ni uamuzi wako tu

mkuu vipi kuhusu huyu courier anaitwa royal mail international ni reliable, na je anafikisha mizigo hadi remoteness area?
 
Wadau mm ni mdau wa I.T, nahitaji kujiajiri kwa kianzio 20mil.niko arusha, ninacho omba kwenu ni ushauri, nina wazo la kwenda kutafuta maisha dsm au nibaki arusha, ila cjajua ni wapi naweza kutoka kimaisha.na kama ni dsm cjajua nuka settle mtaa gan, pia kama kuna wazo lingine naombeni wadau.
Kubaki Arusha au kwenda Dar inategemea na nini umepanga kwenda kufanya.
Nathani point ya msingi hapa ungekuja na wazo lako kama ni biashara au kama wewe ni I.T. unategemea kwenda kufanya nn Dar au hapa Arusha.
 
Thanks brother

Your welcome, samahani sijaweza kukushauri ipasavyo kwa sasa kwa kuwa kuna shughuli imenibana hapa. Ila nakuahidi nikimaliza nitakushirikisha baadhi ya fursa zilizoko hapa arusha kulingana na fani yako ya I.T
 
ukiwa unanunua watakuuliza shipping adress iwe sawa na paypal au utabadili, ila details za paypl lazima ziwe sawa na card

Habari Wakuu,

Kuna mzigo nimeorder toka ebay na leo nimepata notification kuwa umetumwa. Sasa swali langu ni kuwa NAPATAJE MZIGO wangu pale utapofika endapo Shipping address niliyoweka HAINA P.O.Box bali ina Jina Kamili na namba ya simu. Na sehemu ya zip code nimeweka zile za TCRA japokuwa sina uhakika kama ziko helpful sana.

Kwa hiyo, Nii kwamba Ile Zip Code niliyoweka wataichukulia kama P.O Box au Ni kwamba mzigo ntauchukua at some office ambayo watanipigia simu pale utapofika? Au ni kwamba mzigo utapotea, Sababu nina imani Tanzania Hamna Door-to-Door Delivery

Shipping method ni STANDARD INTERNATINAL FLAT RATE SHIPPING.
 
Habari Wakuu,
Kuna mzigo nimeorder toka ebay na leo nimepata notification kuwa umetumwa.
Sasa swali langu ni kuwa NAPATAJE MZIGO wangu pale utapofika endapo Shipping address niliyoweka HAINA P.O.Box bali ina Jina Kamili na namba ya simu. Na sehemu ya zip code nimeweka zile za TCRA japokuwa sina uhakika kama ziko helpful sana.

Kwa hiyo, Nii kwamba Ile Zip Code niliyoweka wataichukulia kama P.O Box au Ni kwamba mzigo ntauchukua at some office ambayo watanipigia simu pale utapofika? Au ni kwamba mzigo utapotea, Sababu nina imani Tanzania Hamna Door-to-Door Delivery

Shipping method ni STANDARD INTERNATINAL FLAT RATE SHIPPING.

Mimi sina p.o box ,natumia namba ya simu na jina langu tu. Mizigo yangu ikifika natumiwa sms na postag Hakikisha tu ,anayekuuzia atumie registered mail au parcels , hii itakusaidia kwa kuwa utakuwa na uwezo wa ku track status online
 
Nilichogundua hapa,.mambo yakienda vibaya utata upo kwenye kiingilishi,.
Unataanzaje kulalamika kwa watema mayai nghosha..
 
Angalizo nilishawahi kununua betri ya laptop haikufika so ni kitu kimoja kati ya vitu 40 ambacho hakikufika, na vitu hvyo vyote huwa vinakuja posta na sio dhl.
ushauri kama ni kitu cha ghali tumia dhl.

Mkuu hapa unaposema kama ni kitu cha gharama tutumie DHL unamaanisha kuwa DHL ndio njia ya usalama zaidi kuliko posta sio?
 
Mkuu C6 unaweza kutusaidia hapa ufafanuzi,labda nijibu nijibu majibu kadhaa katika hayo hapo,kwanza mkuu wangu me sina account ya CRDB naona mizinguo tu hao me natumia Barclays nina account ya Shillings,Pound na Dollars so sipo sure sana kwa hao CRDB wenyewe process zao zinakuwaje hasa ila kwa jinsi ninavyojua upande wa Barclays mfano me nikinunua anything with online banking huwa sikatwi amount yoyote ile seller ndio anakatwa kila kitu,kuhusu kwenye makato hamna anayeangalia bidhaa gani umenunua hiyo haijalishi mkuu wangu....

Nimegundua hizi bank za Tanzania wizi mwingi sana unafanyika na wanawaumiza sana wananchi kwa ---- service na charge za ovyo ovyo zisizokuwa na maana yoyote ile ila still nashangaa watu bado wanaangaika na bank za CRDB....

Nadhani kuna majibu mengine sijajibu maana sina uwakika nayo hasa ila mzigo wako kutumia postal fulani ni hatari bora ufikie ofisini kwa mtu moja kwa moja ni bora zaidi ila ukisema ufatilie kwenye postal wanazingua sanaaaa.....

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Samahani mkuu,unaposema bora ifikie ofisini kwa mtu moja kwa moja inafikaje yaani kwa njia ipi sii ya posta???
 
Last edited by a moderator:
ukosawa kabisa kwani bank zetu zina riba kubwa sana mfano nilikwenda nmb na nbc ±bank ya posta kuchukua mkopo wanamakato makubwa sana nilihahirisha kabisa kwanjinsi hii hatutoki kimaisha nitawatembelea barclays nao nione
 
njunwa wamavoko naomba unijuze hili: nilinunua software moja (you tube downloader) mwaka juzi 2013 na niliinstall kwny laptop yangu mara moja tu na nilipojaribu kumpa mshkaji wangu naye ainstall iligoma

SWALI: Hivi hizi software zinazouzwa online ni kwa ajili ya user mmoja pekee na huwa inastay kwny pc/laptop kwa muda gani? Mfano niki uninstall thn ni install tena itakubali? Naomba msaada kwa hilo.
 
Last edited by a moderator:
njunwa wamavoko naomba unijuze hili: nilinunua software moja (you tube downloader) mwaka juzi 2013 na niliinstall kwny laptop yangu mara moja tu na nilipojaribu kumpa mshkaji wangu naye ainstall iligoma

SWALI: Hivi hizi software zinazouzwa online ni kwa ajili ya user mmoja pekee na huwa inastay kwny pc/laptop kwa muda gani? Mfano niki uninstall thn ni install tena itakubali? Naomba msaada kwa hilo.

kama ni for single user strictly kama antivirus basi uki uninstall ndo imeisha hivo nafikiri

Ila kuna software nyingine ali mradi una keys basi hata rafiki zako wanaweza kutumia.....

Kilichonichekesha ni hicho tu cha Kulipia Utube downloader wakati ziko free
 
kama ni for single user strictly kama antivirus basi uki uninstall ndo imeisha hivo nafikiri

Ila kuna software nyingine ali mradi una keys basi hata rafiki zako wanaweza kutumia.....

Kilichonichekesha ni hicho tu cha Kulipia Utube downloader wakati ziko free

Shukran mkuu,niliinunua kwakuwa sikujua btw nilinunua pia kwa kujaribu kwa mara ya kwnz kununua online hiyo pamoja na picha ya ukutani.
 
kama ni for single user strictly kama antivirus basi uki uninstall ndo imeisha hivo nafikiri

Ila kuna software nyingine ali mradi una keys basi hata rafiki zako wanaweza kutumia.....

Kilichonichekesha ni hicho tu cha Kulipia Utube downloader wakati ziko free
Hizi ndio zetu
 
Back
Top Bottom