Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

Baada ya kuwasiliana naye na kusahihisha shipping address, amenitumia swali lifiatalo " IS THIS THE CORRECT ZIP CODE? +255

Sasa hapo nimjibuje?

Kma jibu ni ndyo wewe mjibu ndiyo. Kama ni hapana mjibu hapana?
 
Mbona sijakuelewa mkuu ... Hebu fafanua kidogo

Yani ndo kama hvyo kama wanavyosema zip code kwa hapa tz hakuna. Ila kwa country code ndo 2natumia hyo namba. Labda wenye uelewa na hyo ki2 waje na majibu ya kutosha ili unapotoa majibu yawe ya uhakika
 
Hyo ni country code ya tz ndo mana ktk namba zimu 2natumia hzo hapo. Huwa znaka mwanzo kbsa. Nadhan hyo inaeleweka
 
Hyo ni country code ya tz ndo mana ktk namba zimu 2natumia hzo hapo. Huwa znaka mwanzo kbsa. Nadhan hyo inaeleweka

Nshamjibu seller wangu kwamba hiyo ndo Country Code yangu na kwamba anaweza kuiandika hivyo au 00255
 
nashukuru wote kwa majibu mliyonipatia. nimeenda crdb leo na nimefanikiwa kupata hiyo code. mhusika wa customer care aliniangalizia kwenye kompyuta na kunipatia..
 
nashukuru wote kwa majibu mliyonipatia. nimeenda crdb leo na nimefanikiwa kupata hiyo code. mhusika wa customer care aliniangalizia kwenye kompyuta na kunipatia..

Umelipia kama bank statement au?
 
Mpaka sasa nimefikisha 4 positive feedback lkn nimeagiza kama 10times japo sio sellers wote wana rate
attachment.php

Feedback.png
 
Hyo wanaku2mia kwa njia gani? Ni free shipping?

wataship kwa S.L.P nililotumia njia iliyowekwa Ni Royal Mail International mara nyingi hii mzigo unifikia after 9days iwapo seller akiship out siku inayofuata baada ya payment
shipping fee ipo imewekwa ni just 8.75$
Modem yenyewe 38.7$
 
wataship kwa S.L.P nililotumia njia iliyowekwa Ni Royal Mail International mara nyingi hii mzigo unifikia after 9days iwapo seller akiship out siku inayofuata baada ya payment
shipping fee ipo imewekwa ni just 8.75$
Modem yenyewe 38.7$

Kwa mfano mimi cna S.L.P, naweza kuweka anuani ipi ili niweze kupata mzgo wangu?
 
Kwa mfano mimi cna S.L.P, naweza kuweka anuani ipi ili niweze kupata mzgo wangu?

kwa Tanzania bila S.L.P ni vigumu mzigo ukufikie labda uwambie waship kwa DHL ambayo unaweza kuta bei iko juu kibishi
Nakushauri kafungue SLP kuna uzi umu unaongelea na wanasema ni bei rahisi mm mwenyewe sina SLP ila natumia SLP ya chuo na sidhani kama unaweza ibiwa kitu chako sababu seller anao uwezo waku-track huo mzigo hivo kama zimechezwa njama atawashtukia tu nawatakuwa responsible hata wao wanaogopa kufanya haya mambo.

All in all fungua SLP nahisi inabidi ule uzi wakufungua SLP ufufuliwe sijui tuuupataje maana search box naona inazingua
 
kwa Tanzania bila S.L.P ni vigumu mzigo ukufikie labda uwambie waship kwa DHL ambayo unaweza kuta bei iko juu kibishi
Nakushauri kafungue SLP kuna uzi umu unaongelea na wanasema ni bei rahisi mm mwenyewe sina SLP ila natumia SLP ya chuo na sidhani kama unaweza ibiwa kitu chako sababu seller anao uwezo waku-track huo mzigo hivo kama zimechezwa njama atawashtukia tu nawatakuwa responsible hata wao wanaogopa kufanya haya mambo.

All in all fungua SLP nahisi inabidi ule uzi wakufungua SLP ufufuliwe sijui tuuupataje maana search box naona inazingua

Shukran sana.
 
Ili kuipata unatakiwa vgezo gani? Na gharama za kuipata hyo card ni zipi?

Kadi ya kupigia kura au Driving Licence. Gharama ni U$20.00 kwa akaunti ya dolla inadumu miaka miwili kabla ya ku expire. Inafanya kazi kama kadi nyingine yoyote lakini hawana gharama nyingine kama monthly charges isipokuwa ukitoa kwenye ATM yao tu au ATM ya bank nyingine ambayo ina support VISA au MASTERCARD.
 
Kadi ya kupigia kura au Driving Licence. Gharama ni U$20.00 kwa akaunti ya dolla inadumu miaka miwili kabla ya ku expire. Inafanya kazi kama kadi nyingine yoyote lakini hawana gharama nyingine kama monthly charges isipokuwa ukitoa kwenye ATM yao tu au ATM ya bank nyingine ambayo ina support VISA au MASTERCARD.

Kwahyo tyr unakuwa na akaunt kwao. Na una uwezo wa kutoa na kuweka hela kama kawaida?
 
Back
Top Bottom