Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,368
Mkuu kwenye kuji"register na ebay kuna sehemu unaambiwa uandike postal code,
Hii ni kitu gani kwa maana ukiandika p.o box inakataa
Asante
ingia TCRA website utazikuta
lkn ya DAR nimeikariri ni 11000