the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
Mkuu hv drench na ridomil ni dawa 2 tofauti au ni daw 1?
Halafu naomba nisaidie namna ya kuweka dap kwenye kupanda nyanya? na kias gan cha kuweka
Drench ni kitendo sio dawa,kudrench ni kuweka dawa kwenye shina la mmea badala ya kuipulizia kwa juu.
Dap weka gm10 kwa shina sawa na vifuniko viwili vya chupa ya maji safi vilivyoflat