Jifunze kilimo cha nyanya

Jifunze kilimo cha nyanya

Mkuu polesana, Hiyo ni Bacteria Leaf spot, kuisimamisha isienee zaidi check Active Ingredient inaitwa Mono- Di Potassium Phosate ( Agrifos 400- Jina LA kibiashara), tumia Cppper na Booster ( Omex au PotPhos) kuipa nguvu mimea ambayo haijashambuliwa. Huenda kuna unyevu mwingi eneo lako La shamba

QUOTE="kijani11, post: 25281359, member: 201241"]View attachment 673651 View attachment 673651 View attachment 673652

Msaada wadau nyanya inashambuliwa nimekuwa nilipiga ridomil gold na Ninja tangia nimezitoa kataluni lakini naona hali imekuwa mbaya ghafla week hii. Kuna nnachoweza fanya kuokoa?

cc: eddy mhando , kilimomaarifa.tajiri , Upepo wa Pesa na wadau wengine
[/QUOTE]
Nilipata hizo dawa mkuu na nilishapuliza sasa nafuatilia maendeleo ya mazao. Asante sana kwa ushauri

Cc. the horticulturist
 
Nilipata hizo dawa mkuu na nilishapuliza sasa nafuatilia maendeleo ya mazao. Asante sana kwa ushauri

Cc. the horticulturist

Pamoja sana kiongozi[/QUOTE]
Mkuu hivi hii itakuwa ni nn?
98ddeda87b42e2f29e23eb144e296d89.jpg
 
Pamoja sana kiongozi
Mkuu hivi hii itakuwa ni nn?
98ddeda87b42e2f29e23eb144e296d89.jpg
[/QUOTE]

Naona imechomwa either na jua,mbolea au dawa. Kuna ambacho kilizidi wiki mbili au moja iliyopita. Suluhisho huwa ni maji sababu naona majani machanga mapya yako okay

Ila mzee dah hiyo nyanya umeifukia hatari,haitakiwi kuvuka majani mawili ya kwanza sababu shina la juu laini sana mara nyingi hukumbwa na ugonjwa wa fungus wa kuozesha shina
 
Jana 15.1.2018 Dada wa kazi kaenda Gengeni huku kwetu Dsm, kanunua nyanya moja kwa sh200 nyanya tano kwa buku, means Jan hii soko la nyanya si mchezo
 
Mkuu hivi hii itakuwa ni nn?
98ddeda87b42e2f29e23eb144e296d89.jpg

Naona imechomwa either na jua,mbolea au dawa. Kuna ambacho kilizidi wiki mbili au moja iliyopita. Suluhisho huwa ni maji sababu naona majani machanga mapya yako okay

Ila mzee dah hiyo nyanya umeifukia hatari,haitakiwi kuvuka majani mawili ya kwanza sababu shina la juu laini sana mara nyingi hukumbwa na ugonjwa wa fungus wa kuozesha shina[/QUOTE]
kweli aisee,,itakua mbolea

kuhusu kufukia kwel kuna miche nlibugu,,c unajua uzoefu ilikua 0 ila ndo nishajifunza hivyo tena,,

Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
 
Naona imechomwa either na jua,mbolea au dawa. Kuna ambacho kilizidi wiki mbili au moja iliyopita. Suluhisho huwa ni maji sababu naona majani machanga mapya yako okay

Ila mzee dah hiyo nyanya umeifukia hatari,haitakiwi kuvuka majani mawili ya kwanza sababu shina la juu laini sana mara nyingi hukumbwa na ugonjwa wa fungus wa kuozesha shina
kweli aisee,,itakua mbolea

kuhusu kufukia kwel kuna miche nlibugu,,c unajua uzoefu ilikua 0 ila ndo nishajifunza hivyo tena,,

Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app[/QUOTE]
Halafu nlitaka kuuliza tena,,hivi sasa mamiche yamekuwa marefu sana,,nkirudishia udongo kdg kuyasapoti kuna shida yoyote?

Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
 
kweli aisee,,itakua mbolea

kuhusu kufukia kwel kuna miche nlibugu,,c unajua uzoefu ilikua 0 ila ndo nishajifunza hivyo tena,,

Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
Halafu nlitaka kuuliza tena,,hivi sasa mamiche yamekuwa marefu sana,,nkirudishia udongo kdg kuyasapoti kuna shida yoyote?

Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app[/QUOTE]

Tazama shina kama limekomaa na lina vipele vipele unaweza sababu hivyo vipele vyote vinakua mizizi


Ila kwanini usupport kwa udongo,kwani haufungii kwenye kamba au miti?
 
Halafu nlitaka kuuliza tena,,hivi sasa mamiche yamekuwa marefu sana,,nkirudishia udongo kdg kuyasapoti kuna shida yoyote?

Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app

Tazama shina kama limekomaa na lina vipele vipele unaweza sababu hivyo vipele vyote vinakua mizizi


Ila kwanini usupport kwa udongo,kwani haufungii kwenye kamba au miti?[/QUOTE]
sifungi kamba mkuu,,miti ntakuja kuweka zikishaanza kupata watoto
 
Mosi naona haukupandia mbolea yaani hukuweka DAP sababu hutupa phosphate ya kukuza mizizi na ammonium ya kutupa nitrate itupe rangi ya majani na shina lenye afya. Pia baada ya siku tatu huwa tunaishtua na CAN ili iendelee kulipa shina afya zaidi.

Pili baada ya kupanda hukupiga dawa za ukungu,huwa tunachanganya ridomil gold gm 20 kwa lita 20 za maji kisha unanyesha kwenye shina la mmea,hii husaidia kuzuia fungus kushambulia shina la mmea wako

Tatu ulipandikiza zaidi ukavuka kiwango ambacho kilikua kwenye kitalu,hivyo udongo ukagusa shina la kijani changa la mmea hii hulea tatizo la soft rot,haina dawa huwa tunaikinga kwa kupanda usawa ule ule uliokua kitaluni na pia kwa kupiga ridomil gold. Tafuta miche mingine ya kujazia sababu tiba hapo hakuna.
Ahsante
Mkuu hizo mbolea za zamani sana,na ni hatarishi kwa afya ya mmea na udongi

Yaramila winner kwa mboga mboga na matunda ni poa sana

Ndani ya mda mfupi matokeo atayaona
 
Huo mchanganyiko unapoteza mbolea nyingi sana dap ina nitrate,can ina nitrate na kwenye npk kuna nitrate. Madhara ya nitrate ikizidi ni mmea unakua haraka sana but unazalia juu sana na matunda hafifu. Pia dap inapaswa iwekwe kabla ya kupanda ukichelewa ni siku unapanda sababu phosphate ni madini yanayotolewa taratibu na yanasafiri taratibu pia yanahitaji mapema sana ili ikuze mizizi,ukiweka dap mapema hata mimea mingi kufa itapungua sababu inahitaji chakula pale inapohamishwa.

Kuepuka huo mchanganyiko bora utumie otesha inamadini yote hayo maana ina npk
Kwa mboga na matunda yaramila winna IPO poa
 
Back
Top Bottom