griffin griffith
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 549
- 442
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Hamna kitu hiyo ,nimetumia sana,sijui wanachanganya sukari na maji?Yes inafaa inazo micro nutrients nyingi tu
Kama hujatumia unasoma tu lebel hapo utisifia,ila hamna kitu
Wuxal macromix ndo funga kazi hapo