Jifunze kilimo cha nyanya

Jifunze kilimo cha nyanya

Karibu sana

Huko uliko farmers mix can and urea basi mpaka kuvuna hata npk hawatumii. Inawabeba Meru soil sababu ni volcanic soil iko rich in potassium. Any soil testing utakayofanya meru utakua potassium iko above normal. mbeya imbalance ya nutrients lazima upate tatizo.so mkulima anaeweka winner huko na atakae weka booster pekee au mixing ya can + urea huwezi ona tofauti haswa kwanye deep rooted crop kama tomato. For cucumber utaobserve on leaves and few fruits.

Panda juu kidogo ya hapo utakua migandini talk to those farmers too.
 
Nashukuru mkuu

Story behind this field. Wakulima wengi hawafanyi soil testing. Field ilikua na nyanya na part nyingine bilinganya,mazao yakiwa shambani fusarium wilt detected yakaanza kunyauka mmoja mmoja kubwa kiasi inanyausha bilinganya. So nikaamua kupambana na nyanya drenching ya ridomil gold gm1 kwa ltr 1 ya maji. Now mnyauko uko but kwa wiki tatu unaweza toa mmea mmoja tu na soon mavuno yataanza means bila kutumia fungicides ilikua complete loss,conclusion fungicides help with a problem of wilting haswa ikiwa ya fungus au ya bacteria. Unatumia dawa tofauto mancozeb,copper and sulphur zinasaidia sana
3a881ca4eed6417740aa26f277632ff6.jpg
5328168451bd83ef8c979d2129f17795.jpg
53696efc5052749bccec62204dae969e.jpg
 
Story behind this field. Wakulima wengi hawafanyi soil testing. Field ilikua na nyanya na part nyingine bilinganya,mazao yakiwa shambani fusarium wilt detected yakaanza kunyauka mmoja mmoja kubwa kiasi inanyausha bilinganya. So nikaamua kupambana na nyanya drenching ya ridomil gold gm1 kwa ltr 1 ya maji. Now mnyauko uko but kwa wiki tatu unaweza toa mmea mmoja tu na soon mavuno yataanza means bila kutumia fungicides ilikua complete loss,conclusion fungicides help with a problem of wilting haswa ikiwa ya fungus au ya bacteria. Unatumia dawa tofauto mancozeb,copper and sulphur zinasaidia sana
3a881ca4eed6417740aa26f277632ff6.jpg
5328168451bd83ef8c979d2129f17795.jpg
53696efc5052749bccec62204dae969e.jpg
hongereni wakuu mjadala ulikuwa mzuri tumepata manondo Sio ya nchi hii
 
Mkuu msimu huu unalima nyanya..?na ni mwezi wa ngapi kilimo cha nyanya kinaanza maeneo hayo..!natamani nije huko..!naomba uni pm namba yako kama hutojali..!
Ndio nalima mkuu, msimu utaanza mwezi wa tatu
Kipindi hiki ni cha maandalizi ya kukodi shamba na kuliandaa, katikati ya mwezi wa pili tunatarajia kumwaga mbegu ili tar za mwanzo za mwezi wa tatu tupande nyanya

Poa nitakutumia namba yangu
 
Dah nimepata shule kubwa sana kwenye huu uzi.Kuna wenzetu wanaelewa vema hili zao asanteni sana.Ila ninatatizo nyanya yangu inatoa maua sasa ila kuna baadhi yake inapukutisha maua.Je tatizo hilo linasababishwa na nini na je solution yake ni nini?Natanguliza shukurani
 
Dah nimepata shule kubwa sana kwenye huu uzi.Kuna wenzetu wanaelewa vema hili zao asanteni sana.Ila ninatatizo nyanya yangu inatoa maua sasa ila kuna baadhi yake inapukutisha maua.Je tatizo hilo linasababishwa na nini na je solution yake ni nini?Natanguliza shukurani

Karibu sana.
Kupukutika maua sababu huwa kati ya hizi
1. Maji hayatoshelezi au yanamwagiliwa bila mpangilio maalum hivyo mmea kupata stress
2.hujaweka mbolea yenye calcium kama can hivyo mmea unakosa calcium
3.kupulizwa kwa dawa kali wakati maji hayako ya kutosha.

Kiujumla kuanguka maua ni stress kwenye mmea na unafanya hivyo ili kupunguza matumizi ya chakula hivyo kuendelea kuishi,hii iko hata kwa miti huwa kunakipindi inapukutisha majani na maua yote.

Suluhisho
1.tazama unyeshaji wako,mmea ukiwa kwenye hatua ya kubeba au kutoa maua unahitaji maji ya kutosheleza.
2.kama hujatumia mbolea yenye calcium kama CAN basi weka sasa hivi itakupa calcium tatizo litaisha.
3.puliza dawa baada ya kunyesha mmea,ili kuepuka mmea kuzidiwa na dawa.

Ahsante sana
 
T
Karibu sana.
Kupukutika maua sababu huwa kati ya hizi
1. Maji hayatoshelezi au yanamwagiliwa bila mpangilio maalum hivyo mmea kupata stress
2.hujaweka mbolea yenye calcium kama can hivyo mmea unakosa calcium
3.kupulizwa kwa dawa kali wakati maji hayako ya kutosha.

Kiujumla kuanguka maua ni stress kwenye mmea na unafanya hivyo ili kupunguza matumizi ya chakula hivyo kuendelea kuishi,hii iko hata kwa miti huwa kunakipindi inapukutisha majani na maua yote.

Suluhisho
1.tazama unyeshaji wako,mmea ukiwa kwenye hatua ya kubeba au kutoa maua unahitaji maji ya kutosheleza.
2.kama hujatumia mbolea yenye calcium kama CAN basi weka sasa hivi itakupa calcium tatizo litaisha.
3.puliza dawa baada ya kunyesha mmea,ili kuepuka mmea kuzidiwa na dawa.

Ahsante sana

The horticulturist sababu ulizozisema inawezekana ni sahihi kabisa maana upukutishaji nimeanza kuuona baada ya kupiga dawa kali za fungus na wadudu.

Suala la maji sijui yanahitajika kiasi gani nimefanya mulching na nikiangalia ardhi ya eneo linalopukutisha naona kama unyevu bado upo.

Mbolea ya CAN ni kweli sijawahi kuitumia zaidi ya kupandia ya kuku na kupiga mbolea za kwenye majani.

Mimea ina mwezi mmoja na nusu tangu ilipotoka kitaluni kuingia shambani hatua ya utoaji maua na matunda inaendelea , je ninaweza kuweka mbolea hiyo ya CAN shamba lote katika hatua hii?

Natanguliza shukurani mkuu.
 
T


The horticulturist sababu ulizozisema inawezekana ni sahihi kabisa maana upukutishaji nimeanza kuuona baada ya kupiga dawa kali za fungus na wadudu.

Suala la maji sijui yanahitajika kiasi gani nimefanya mulching na nikiangalia ardhi ya eneo linalopukutisha naona kama unyevu bado upo.

Mbolea ya CAN ni kweli sijawahi kuitumia zaidi ya kupandia ya kuku na kupiga mbolea za kwenye majani.

Mimea ina mwezi mmoja na nusu tangu ilipotoka kitaluni kuingia shambani hatua ya utoaji maua na matunda inaendelea , je ninaweza kuweka mbolea hiyo ya CAN shamba lote katika hatua hii?

Natanguliza shukurani mkuu.

Kama unyevu huko tatizo ni ukosefu wa calcium,weka can tatizo litaisha tafuta yara liva nitrabor ni itakupa majibu haraka sana
 
Naomba kuuliza mbegu ya kisasa yenye unafuu wa bei tofauti na Assila,

Mbegu ya kisasa yeyote ina gharama ya uzalishaji haswa suala la utafiti hivyo usitegemee kuona tofauti kubwa sana. Mfano

Jarrah tsh 50 kwa punje moja
Kipato tsh elf 3 kwa punje 200
Victory tsh elf 3 kwa punje 200
Monteazul tsh 220 kwa punje moja etc etc etc
 
Mbegu ya kisasa yeyote ina gharama ya uzalishaji haswa suala la utafiti hivyo usitegemee kuona tofauti kubwa sana. Mfano

Jarrah tsh 50 kwa punje moja
Kipato tsh elf 3 kwa punje 200
Victory tsh elf 3 kwa punje 200
Monteazul tsh 220 kwa punje moja etc etc etc

Mkuu hizi mbegu Sio zile nyanya yenye ngozi laini ambazo wafanyabiashara wanaziogopa? Hiyo Jarrah punje ngapi itatosha eka 3?
 
Karibu sana.
Kupukutika maua sababu huwa kati ya hizi
1. Maji hayatoshelezi au yanamwagiliwa bila mpangilio maalum hivyo mmea kupata stress
2.hujaweka mbolea yenye calcium kama can hivyo mmea unakosa calcium
3.kupulizwa kwa dawa kali wakati maji hayako ya kutosha.

Kiujumla kuanguka maua ni stress kwenye mmea na unafanya hivyo ili kupunguza matumizi ya chakula hivyo kuendelea kuishi,hii iko hata kwa miti huwa kunakipindi inapukutisha majani na maua yote.

Suluhisho
1.tazama unyeshaji wako,mmea ukiwa kwenye hatua ya kubeba au kutoa maua unahitaji maji ya kutosheleza.
2.kama hujatumia mbolea yenye calcium kama CAN basi weka sasa hivi itakupa calcium tatizo litaisha.
3.puliza dawa baada ya kunyesha mmea,ili kuepuka mmea kuzidiwa na dawa.

Ahsante sana
Safi sn mkuu umempa sababu za kitaalamu sn kwann maua yanapukutika

Ila inavyoonekana kwa maelezo yake maua yamepukutika kwasababu ya dawa alizopiga na upigaji wake wa dawa, nyanya ikishotoa maua inatakiwa itunzwe kama yai maana hayo maua ndio matunda yenyewe sasa ukipiga dawa kali maua yanapukutika na ikiwa na maua ogopa kutembea hovyo shambani kutingisha miche bila sababu za msingi

Kama unapiga dawa kuwe na ulazima sn wa kupiga dawa, piga dawa kwa uangalifu sn na usizidishe kipimo
 
Back
Top Bottom