Jifunze kilimo cha nyanya

Jifunze kilimo cha nyanya

Naomba kuuliza mbegu ya kisasa yenye unafuu wa bei tofauti na Assila,
Wengi mnaangalia utofauti wa bei wa assila na mbegu zengine za kisasa

Hamuangalii tofauti ya uzaaji, ubora na uimara wa matunda ya assila na mbegu zengine, hamuangalii ipi inafanya vzr sokoni, bei hamuangalii bei maana assila na hizo mbegu zengine haziuzwi bei moja
Assila inapendwa hadi wauza nyanya magengeni, zinakaa muda mrefu bila kuharibika na zina umbo kubwa inasababisha kupata boksi nyingi wakati wa kuchuma
 
Mkuu hizi mbegu Sio zile nyanya yenye ngozi laini ambazo wafanyabiashara wanaziogopa? Hiyo Jarrah punje ngapi itatosha eka 3?

Jarrah eka moja ni punje elf 8 sababu zinapandwa mstari mmoja tu kwa umbali wa 1.5 mstari ( tuta) hadi mstari (tuta).
Ngozi yake ni ngumu sana na inahifadhika kwa mwezi mzima chini bila kuweka kwenye friji ( iwe sehemu cool and warm with room temperature). Mche mmoja ni kg 10 hivyo eka moja huwa ni kuanzia crate elf 1 kama itapata matunzo yote stahili

Upate to crate mia tano tosha sana
 
Nimemaliza kusoma 2015 since then niko kazini tena kwenye project nafanya research,demos,trainings ya wataalam wa kilimo na wakulima pia nalima binafsi so ninachokueleza kama huniamini tafuta mtaalam unayemuamini akuelekeze then tazama key points zetu.

Mbolea kutokufanya kazi au dawa sio haswa mbolea yenyewe kuna mengi kama maji unayotumia,udongo,aina na hata time of applications.

Kikubwa ni kuubalance mmea kuhakikisha unatupa mavuno bora
e4ccbc45ee4fbb5bae5a58ab1e001f2f.jpg


8c06f8eb15e3ce8af20f4b26665a0b73.jpg
d857cbacdda7dfb1336150582830eb08.jpg
Mkuu naona mambo ni moto,,nlipotea kdg ila naleta maswal yngu soon
 
Story behind this field. Wakulima wengi hawafanyi soil testing. Field ilikua na nyanya na part nyingine bilinganya,mazao yakiwa shambani fusarium wilt detected yakaanza kunyauka mmoja mmoja kubwa kiasi inanyausha bilinganya. So nikaamua kupambana na nyanya drenching ya ridomil gold gm1 kwa ltr 1 ya maji. Now mnyauko uko but kwa wiki tatu unaweza toa mmea mmoja tu na soon mavuno yataanza means bila kutumia fungicides ilikua complete loss,conclusion fungicides help with a problem of wilting haswa ikiwa ya fungus au ya bacteria. Unatumia dawa tofauto mancozeb,copper and sulphur zinasaidia sana
3a881ca4eed6417740aa26f277632ff6.jpg
5328168451bd83ef8c979d2129f17795.jpg
53696efc5052749bccec62204dae969e.jpg
Duh!! Mkuu mm nimechanganya nyanya na pilipili hoho kwenye field moja,, Inaweza leta shida yoyote??
 
Duh!! Mkuu mm nimechanganya nyanya na pilipili hoho kwenye field moja,, Inaweza leta shida yoyote??

Zao la famili moja means wadudu lazima wawe wengi itakulazimu kupiga sana dawa. Kukiwa na ugonjwa yote yanashambuliwa sababu ni same family. Ila kama kila kitu kitaenda sawa moja wapo litakupa hela nzuri
 
Mbegu ya kisasa yeyote ina gharama ya uzalishaji haswa suala la utafiti hivyo usitegemee kuona tofauti kubwa sana. Mfano

Jarrah tsh 50 kwa punje moja
Kipato tsh elf 3 kwa punje 200
Victory tsh elf 3 kwa punje 200
Monteazul tsh 220 kwa punje moja etc etc etc
Mkuu ni wapi zinapatikana hzo kwa punje nijaribishe ht mbegu 500
 
Jarrah eka moja ni punje elf 8 sababu zinapandwa mstari mmoja tu kwa umbali wa 1.5 mstari ( tuta) hadi mstari (tuta).
Ngozi yake ni ngumu sana na inahifadhika kwa mwezi mzima chini bila kuweka kwenye friji ( iwe sehemu cool and warm with room temperature). Mche mmoja ni kg 10 hivyo eka moja huwa ni kuanzia crate elf 1 kama itapata matunzo yote stahili

Upate to crate mia tano tosha sana
Zinapandwa kwa "Mstari mmoja tu" ki vp mkuu??
 
Zao la famili moja means wadudu lazima wawe wengi itakulazimu kupiga sana dawa. Kukiwa na ugonjwa yote yanashambuliwa sababu ni same family. Ila kama kila kitu kitaenda sawa moja wapo litakupa hela nzuri
Ok, pia hizi hoho sijawah kuzpiga dawa yoyote toka nizipande mana sijawah ona dalili yyte mbaya japo na natarajia kuzihamishia shamban j3 na kuna chache ambazo nishaziamishi

Je kuna dawa yyte ntatakiwa nipige? mbolea ya kupandia nliweka samad kiganja ki1 na dap gram 10.

Pia hii miche naona km sio ya kijani sana yan ukijani wake unaelekea kwenye unjano flani hivi, ni tatizo au ndo zilivyo?

c3e1a59a79798dcb077dcb9263932924.jpg
76dfd4a4b80e88c2fbfd4bc469b6d631.jpg

82939e7bd732c1b3aa367b6971f147bd.jpg
Mbegu ni Califonia wonder
 
Ok, pia hizi hoho sijawah kuzpiga dawa yoyote toka nizipande mana sijawah ona dalili yyte mbaya japo na natarajia kuzihamishia shamban j3 na kuna chache ambazo nishaziamishi

Je kuna dawa yyte ntatakiwa nipige? mbolea ya kupandia nliweka samad kiganja ki1 na dap gram 10.

Pia hii miche naona km sio ya kijani sana yan ukijani wake unaelekea kwenye unjano flani hivi, ni tatizo au ndo zilivyo?
c3e1a59a79798dcb077dcb9263932924.jpg
76dfd4a4b80e88c2fbfd4bc469b6d631.jpg

82939e7bd732c1b3aa367b6971f147bd.jpg

Mbegu ni Califonia wonder

Shambani zitakaa sawa ukijani utarudi,kwenye kitalu mmea hauwezi kukua kwa kadri unavyohitajika. Fanya drenching ya ridomil gold gm1 kwa ltr 1 ya maji itakusaidia kukinga na fungus
 
Na zile nyanya leo zina siku ya 20 toka zipandwe na toka ziingia shamban nimeweka can mara 1, nmepiga booster mara 1 na pia nimepga abanil ambayo nlichanganya na linkmill mara 1

Naomba unijuze kuhusu mbolea km ntahitaji kuweka tena na pia km kuna dawa yoyote nitahitaji kupiga tena

d1ab604045e9706a78f9d5a5bb3a200d.jpg
Ahsante
 
IMG_1049.jpg

Ikikua inafungwa inakua hivi hivyo njia inabaki kwa ajili ya huduma,ukiweka mistari miwili hii njia inapotea unapata matatizo ya mzungukk mdogo wa hewa hivyo magonjwa mengi
 
Aah sawa,,sema huu ulimaj wa mferej ndo siujui mkuu,, mi najua wa kupga shmo moja moja

Sio mbaya hata huo wq shimo moja moja siunanyoosha mstari??
Kama unanyosha hivyo umbali wa mstar mmoja wa mashimo na mwingine ni sm150 na umbali wa shimo na shimo ni sm50
 
Wakulima salama? Mimi ni mkulima mtarajiwa wa nyanya, naomba ushauri wenu na uzoefu, nahitaji kulima nyanya kwny greenhouse, natarajia kuotesha kwny kitalu week mbili zijazo, sasa naomba msaada wa aina nzuri ya mbegu kwa ajili ya kilimo kwny greenhouse, lakini je nikiotesha nyanya kwny kitalu hadi kuvuna kwa mwezi huo wa pili je siwezi kukutana na mavuno ya msimu wa mvua? Hali na bei ya soko itakuwaje? Naomba uzoefu wenu wadau ! Ahsante sana !!

Sent from my HTC Desire 828 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom