so kuna linkmill na linkomill??Kuna linkomil yenyewe ndio tofauti na hizo hapo mbili kiuatilifu au tunasema kiuadudu tofauti ila zinapambana na ugonjwa mmoja hivyo kama umetumia rido hun haja ya kuhamia kwenye linkmil hamia kwenye linkomil
Naona akina kilimomaarifa na horticulturist wamekujibu tayari, pole sana fwata ushauri wao umalize hiyo shida mkuu!!View attachment 673651 View attachment 673651 View attachment 673652
Msaada wadau nyanya inashambuliwa nimekuwa nilipiga ridomil gold na Ninja tangia nimezitoa kataluni lakini naona hali imekuwa mbaya ghafla week hii. Kuna nnachoweza fanya kuokoa?
cc: eddy mhando , kilimomaarifa.tajiri , Upepo wa Pesa na wadau wengine
so kuna linkmill na linkomill??
[/QUOTE]Mkuu polesana, Hiyo ni Bacteria Leaf spot, kuisimamisha isienee zaidi check Active Ingredient inaitwa Mono- Di Potassium Phosate ( Agrifos 400- Jina LA kibiashara), tumia Cppper na Booster ( Omex au PotPhos) kuipa nguvu mimea ambayo haijashambuliwa. Huenda kuna unyevu mwingi eneo lako La shamba
QUOTE="kijani11, post: 25281359, member: 201241"]View attachment 673651 View attachment 673651 View attachment 673652
Msaada wadau nyanya inashambuliwa nimekuwa nilipiga ridomil gold na Ninja tangia nimezitoa kataluni lakini naona hali imekuwa mbaya ghafla week hii. Kuna nnachoweza fanya kuokoa?
cc: eddy mhando , kilimomaarifa.tajiri , Upepo wa Pesa na wadau wengine
Nilipata hizo dawa mkuu na nilishapuliza sasa nafuatilia maendeleo ya mazao. Asante sana kwa ushauri
Cc. the horticulturist
Mkuu hivi hii itakuwa ni nn?Pamoja sana kiongozi
Mkuu hivi hii itakuwa ni nn?
kweli aisee,,itakua mboleaNaona imechomwa either na jua,mbolea au dawa. Kuna ambacho kilizidi wiki mbili au moja iliyopita. Suluhisho huwa ni maji sababu naona majani machanga mapya yako okay
Ila mzee dah hiyo nyanya umeifukia hatari,haitakiwi kuvuka majani mawili ya kwanza sababu shina la juu laini sana mara nyingi hukumbwa na ugonjwa wa fungus wa kuozesha shina
Ndio hivyo mkuu boksi la nyanya 45000Jana 15.1.2018 Dada wa kazi kaenda Gengeni huku kwetu Dsm, kanunua nyanya moja kwa sh200 nyanya tano kwa buku, means Jan hii soko la nyanya si mchezo
Halafu nlitaka kuuliza tena,,hivi sasa mamiche yamekuwa marefu sana,,nkirudishia udongo kdg kuyasapoti kuna shida yoyote?kweli aisee,,itakua mbolea
kuhusu kufukia kwel kuna miche nlibugu,,c unajua uzoefu ilikua 0 ila ndo nishajifunza hivyo tena,,
Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
Halafu nlitaka kuuliza tena,,hivi sasa mamiche yamekuwa marefu sana,,nkirudishia udongo kdg kuyasapoti kuna shida yoyote?
Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
Kwanini usitumie belt mkuuMkuu kuna dawa ulisema ulitumia kwa ajil ya kantangaze inaitwa Trysel km nlisoma vzur,,inapatikana wp na ni sh ngap? mana nimezunguka kkoo maduka yote hakuna
Mkuu hizo mbolea za zamani sana,na ni hatarishi kwa afya ya mmea na udongiMosi naona haukupandia mbolea yaani hukuweka DAP sababu hutupa phosphate ya kukuza mizizi na ammonium ya kutupa nitrate itupe rangi ya majani na shina lenye afya. Pia baada ya siku tatu huwa tunaishtua na CAN ili iendelee kulipa shina afya zaidi.
Pili baada ya kupanda hukupiga dawa za ukungu,huwa tunachanganya ridomil gold gm 20 kwa lita 20 za maji kisha unanyesha kwenye shina la mmea,hii husaidia kuzuia fungus kushambulia shina la mmea wako
Tatu ulipandikiza zaidi ukavuka kiwango ambacho kilikua kwenye kitalu,hivyo udongo ukagusa shina la kijani changa la mmea hii hulea tatizo la soft rot,haina dawa huwa tunaikinga kwa kupanda usawa ule ule uliokua kitaluni na pia kwa kupiga ridomil gold. Tafuta miche mingine ya kujazia sababu tiba hapo hakuna.
Ahsante
Kwa mboga na matunda yaramila winna IPO poaHuo mchanganyiko unapoteza mbolea nyingi sana dap ina nitrate,can ina nitrate na kwenye npk kuna nitrate. Madhara ya nitrate ikizidi ni mmea unakua haraka sana but unazalia juu sana na matunda hafifu. Pia dap inapaswa iwekwe kabla ya kupanda ukichelewa ni siku unapanda sababu phosphate ni madini yanayotolewa taratibu na yanasafiri taratibu pia yanahitaji mapema sana ili ikuze mizizi,ukiweka dap mapema hata mimea mingi kufa itapungua sababu inahitaji chakula pale inapohamishwa.
Kuepuka huo mchanganyiko bora utumie otesha inamadini yote hayo maana ina npk
Atafute confidor kwa kudrenchDrench dawa ya ukungu itakusaidia sababu ndio suluhisho kwako ushauri wangu drench ridomil gild gm 20 kwa litre 20 za maji
Milraz IPO poa kwa uzofu wangu ila Kali zaidi ni infinitoPiga dawa ya ukungu yenye kiuatilifu cha kukinga na kutibu kama yenye ivory 72,ebony72,ridomil gild,linkomil,milraz,othelo top,score,ortiva etc