Yumbayumba
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 1,239
- 827
Tena katumia mbegu za kukamua, kitendo cha kutumia mbegu za kawaida tu ni tatizo maana mavuno yake uwa madogoWeka nyasi ikusaidie kutunza unyevu though kazi unayo sababu umekimbia gharama za mbegu ilhali gharama za kuhudumia shamba ni zile zile
Sasa yeye katumia za kukamua.
Watu kama hawa baadae watasema kilimo kibaya, navyoona atatumia nguvu kubwa lkn mapato yatakuwa madogo