Jifunze kilimo cha nyanya

Jifunze kilimo cha nyanya

Unavuna zikiwa nyekundu? Ukishavuna unapata soko mapema au unaweza kukaanazo kwa siku kama nne hivi ukisubiri soko? Pia unaziifadhi vipi zisiharibike mapema endapo soko halijapatikana bado.
Ndio zinavunwa zikiiva zikiwa nyekundu

Kuhusu soko uwa tunauzia shamba, mnunuzi anakuja shambani na gari lake anapakia anaondoka kama unavyoona kwenye picha tena uwa unachagua wa kumuuzia
 
Ndio zinavunwa zikiiva zikiwa nyekundu

Kuhusu soko uwa tunauzia shamba, mnunuzi anakuja shambani na gari lake anapakia anaondoka kama unavyoona kwenye picha tena uwa unachagua wa kumuuzia
Brother naomba kujua kilimo chako unafanyia maeneo gani ya nchi na jee .nyanya lazima ulime kwa umwagiliaji au hata kwa kutumia masika??
 
Brother naomba kujua kilimo chako unafanyia maeneo gani ya nchi na jee .nyanya lazima ulime kwa umwagiliaji au hata kwa kutumia masika??
Mbona nimesema hapo nalimia kijiji cha mbigili wilaya kilosa mkoani morogoro. Mbigili ipo dumila, ni kilimo cha masika mwezi wa tatu tunavuna mwezi wa sita pia uwa tunalima tena mwezi wa sita na wa saba cha kumwagilia ila tunalima bondeni jirani na mto ambapo uwa kunalimwa mpunga wakati wa masika, kwahiyo tukitoa mpunga tunapanda nyanya ya pili.
 
Mbona nimesema hapo nalimia kijiji cha mbigili wilaya kilosa mkoani morogoro. Mbigili ipo dumila, ni kilimo cha masika mwezi wa tatu tunavuna mwezi wa sita pia uwa tunalima tena mwezi wa sita na wa saba cha kumwagilia ila tunalima bondeni jirani na mto ambapo uwa kunalimwa mpunga wakati wa masika, kwahiyo tukitoa mpunga tunapanda nyanya ya pili
Nikitaka kununua shamba maeneo hayo ya dumila heka moja inaweza kuwa bei gani brother?
 
Duh bei yake noma nika jua kwa kuwa nikijijin ntapata kwa 200k
Mashamba hayo uwa yanakodishwa kulimwa mpunga kwa 50-100 alafu anakuja kukodisha tena kulima nyanya kwa 80-100
Yani kwa mwaka anakodisha mara mbili hawezi kuuza kwa bei hiyo

Na bado ukilima mpunga utampa 50 na ukivuna unampa gunia moja kwa kila heka

Hata laki 4 huwezi kupata shamba la kununua
 
Mashamba hayo uwa yanakodishwa kulimwa mpunga kwa 50-100 alafu anakuja kukodisha tena kulima nyanya kwa 80-100
Yani kwa mwaka anakodisha mara mbili hawezi kuuza kwa bei hiyo

Na bado ukilima mpunga utampa 50 na ukivuna unampa gunia moja kwa kila heka

Hata laki 4 huwezi kupata shamba la kununua
Uko inaonyeha kuna uhakika wa mvua mnalima mfululizo au watu wana pump za umwagiliaji?
 
Uko inaonyeha kuna uhakika wa mvua mnalima mfululizo au watu wana pump za umwagiliaji?
Inategemea unalima wakati gani, kuna miezi ya masika hatuitaji kumwagilia kabisa na kuna kipindi tunamwagilia ila tunalima jirani na mto kwahiyo pump si muhimu sn

Pia nyanya si kama mboga mboga useme umwagie kila siku, unamwagia kulingana na hali ya shamba ilivyo na hali ya nyanya ilivyo mfano wakati wa kupanda, nyanya ikiwa ndogo na wakati wa kuweka mbolea au shamba likiingia ukame sn
 
Inategemea unalima wakati gani, kuna miezi ya masika hatuitaji kumwagilia kabisa na kuna kipindi tunamwagilia ila tunalima jirani na mto kwahiyo pump si muhimu sn

Pia nyanya si kama mboga mboga useme umwagie kila siku, unamwagia kulingana na hali ya shamba ilivyo na hali ya nyanya ilivyo mfano wakati wa kupanda, nyanya ikiwa ndogo na wakati wa kuweka mbolea au shamba likiingia ukame sn
Ooh okay, so likiwa kame sana mnamwagilia Kwa mifereji ua kwa ndoo kwenye shina..
 
Naomba niwakumbushe kitu. Kutokana na mwaswali ya bwana Toddy hapo juu. Tafadharini mazao ya mboga si kama mazao ya nafaka kama mpunga,mahindi nk. Mboga ukiamua kuilima soko liwepo mkononi kwanza kama huna soko na hujui utauza wapi usilime mboga sababu teyari umeandaa hasara.
 
IMG_2210.jpg
IMG_2058.jpg

Hii nyanya mchumo wa kwanza ni wiki iliyopita,hapa mavuno yanaendelea mpaka mwezi wa nane sababu hii ni nyanya ndefu na iko ndani ya Green house. Sababu soko kwanza lilianza kisha kikaja kilimo basi kg1 nauza kwa elfu 1 inamaana ukiconvert kwa crate means ni elf 50 mpaka 60 kwa crate (elf 20 kwa ndoo kubwa). Kushindwa kuandaa soko unajipelekea kushindwa kuzalisha faida nzuri. Kua kichaa zunguka sokoni tafuta wateja,cheki vibandani tafuta wateja mwisho wake ni mzuri no sweet without sweat.

Pia ukianza sokoni hata majibu ya eneo gani unilime,mbegu gani na uvune lini utakua nayo mkononi. Shime kua watofauti anzia sokoni kama unalima mazao ya mbegu, nimekua nikiipiga hiyo kelele mwaka wa nne sasa na wanaofuata hivyo wanakutana na ugumu mwanzoni but wakipata njia faida wanaiona.
Kua wa tofauti kilimo kikulipe.
 
Ina maana kwa michumo yote wawezapata 10m kiongozi kwa ekali moja?
 
View attachment 690987View attachment 690988

Hii nyanya mchumo wa kwanza ni wiki iliyopita,hapa mavuno yanaendelea mpaka mwezi wa nane sababu hii ni nyanya ndefu na iko ndani ya Green house. Sababu soko kwanza lilianza kisha kikaja kilimo basi kg1 nauza kwa elfu 1 inamaana ukiconvert kwa crate means ni elf 50 mpaka 60 kwa crate (elf 20 kwa ndoo kubwa). Kushindwa kuandaa soko unajipelekea kushindwa kuzalisha faida nzuri. Kua kichaa zunguka sokoni tafuta wateja,cheki vibandani tafuta wateja mwisho wake ni mzuri no sweet without sweat.

Pia ukianza sokoni hata majibu ya eneo gani unilime,mbegu gani na uvune lini utakua nayo mkononi. Shime kua watofauti anzia sokoni kama unalima mazao ya mbegu,nimekua nikiipiga hiyo kelele mwaka wa nne sasa na wanaofuata hivyo wanakutana na ugumu mwanzoni but wakipata njia faida wanaiona.
Kua wa tofauti kilimo kikulipe
Kweli kabisa mkuu, sisi uwa tunalima tukijua kabisa tunauza wapi

Hii mbegu ni eden f1 au?
 
Ina maana kwa michumo yote wawezapata 10m kiongozi kwa ekali moja?

Ukiweza zalisha crate 300 na kila crate ukapata bei ya elf 40 teyari una milioni 12 but yote yawezekana

.Ukivuna kipindi cha bei nzuri mfano kanda ya kaskazini nyanya ya kuvuna from Disemba mpaka May inayopesa nzuri,hoho vuna from May mpaka Sept inapesa nzuri

. Ukivuna pazuri means utakutana na bei nzuri

.Utumie mbegu yenye uzao mzuri hususani chotara,mbegu za kawaida mostly ni crate 70 kwa ekari moja

.Tunza vyema mmea wako
 
Back
Top Bottom