Yumbayumba
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 1,239
- 827
Unalima mkoa ganiNo namaanisha, nyanya na vitunguu amesema ni vzr vikalimwa kwenye mwezi wa 6 na 7, je kwa kipindi hiki, ni mazao gani mengine mbali na hayo tunaweza kulima na yakawa na demand ya soko ??