Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Mkuu maelezo yako yote haya yameelezewa kwenye paragraph iliyowekewa nyota*** Sasa unatakiwa ujiulize kwanini niliweka nyota( is it a coincidence???),

Sasa hata ungekuwa wewe yaani umeunda gari lenye full functionality tena ni smart lenye very powerful built-in chip of AI.

Sasa licha ya kuwa linaweza kujiongoza lenyewe lakini ukaona hataa! Ngoja ngoja niliwekee msaidizi(dereva)

Sasa kwa logic yako mkuu unataka aliyeunda gari aachane na masuala ya gari kujiendesha yenyewe, pia hata kuendeshwa na dereva pia hutaki unataka aliyeliunda aje aanze kulisukuma/kulikokota kwa nguvu zake huku engine ikiwa off. Inakuja huku a maana yakuliumba Sasa.

Sasa huu mfano bado ni irrelevant/ na incompetent kwasababu viumbe hasa binadamu wameundwa bora zaidi... fikira gari lingekua linajitafutia fuel/power lenyewe na services linajipiga lenyewe. Sasa viumbe hai ndio tupo hivyo.

Karibu mkuu.
Biblia inataja Binadamu kuwa ni Mungu unachukuliaje hilo swala?
 
Sina uhakika wa jambo hili kugusiwa katika Biblia ila kwa mtizamo wangu binafsi naona hii hoja haiko sawa. Kwamaana ya kwamba MUNGU hawezi ku-share utukufu wake na kiumbe mwingine yeyote. Ufalme nguvu na utukufu hivi ni vyake Yeye hata milele.
Binadamu kuwa ni Mungu

Ila binadamu ana uungu ndani yake au anaweza ku-access Nguvu ya MUNGU kama atazingatia vigezo na masharti hii ni kiroho zaidi, Kwani tumeumbwa kwa mfano Wake.

Kama vile grid ya umeme kuna weza kukawa na nyumba nyingi zimeshafanyiwa miundombinu ya umeme (wiring) Kwahiyo zinauwezo wa kuwa/Kupitisha umeme lakini kuunganishwa ndio bado Kwahiyo inatakiwa connection kati ya grid ya taifa na zile nyumba na Katika mchakato wa uunganishaji kuna makubaliano vigezo na masharti.

Mkuu au ulikua unamaanisha Yesu.?
Biblia inataja Binadamu kuwa ni Mungu unachukuliaje hilo swala?
Karibu...
 
Biblia inataja Binadamu kuwa ni Mungu unachukuliaje hilo swala?
Biblia haijasema binadamu ni Mungu

Biblia imesema binadamu ni mfano wa Mungu

Pia utatakiwa ufahamu neno Mungu au MUNGU lina maana tofauti na neno mungu.
 
we bwana baada ya kuja wewe umefanya uzi wa mwana uonekane wa hovyo kiufupi umechafua khali ya hewa
Ndiyo kawaida yake na nilisema hilo mwanzoni kabla hata hajaja na ndicho kilichotokea
 
Sina uhakika wa jambo hili kugusiwa katika Biblia ila kwa mtizamo wangu binafsi naona hii hoja haiko sawa. Kwamaana ya kwamba MUNGU hawezi ku-share utukufu wake na kiumbe mwingine yeyote. Ufalme nguvu na utukufu hivi ni vyake Yeye hata milele.


Ila binadamu ana uungu ndani yake au anaweza ku-access Nguvu ya MUNGU kama atazingatia vigezo na masharti hii ni kiroho zaidi, Kwani tumeumbwa kwa mfano Wake.

Kama vile grid ya umeme kuna weza kukawa na nyumba nyingi zimeshafanyiwa miundombinu ya umeme (wiring) Kwahiyo zinauwezo wa kuwa/Kupitisha umeme lakini kuunganishwa ndio bado Kwahiyo inatakiwa connection kati ya grid ya taifa na zile nyumba na Katika mchakato wa uunganishaji kuna makubaliano vigezo na masharti.

Mkuu au ulikua unamaanisha Yesu.?

Karibu...
Mkuu umejibu Vyema kuwa Huna Uhakika..

Je Hii Unaijua Mkuu!..

Zaburi 82:6

"Mimi nimesema, Nyinyi ni miungu,
Na wana wa Aliye juu, nyote pia.

I have said, Ye are god; and all of you are children of the most High."

Na unakumbuka Pia Andiko hili Yesu aliwahi kulirudia walipomwambia kwanini anajiita mwana wa aliyejuu..

Yohana 10:30-35

[30]Mimi na Baba tu umoja.

[31]Basi Wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.

[32]Yesu akawajibu, Kazi njema nyingi nimewaonyesha, zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe?

[33]Wayahudi wakamjibu, Kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.

[34]Yesu akawajibu, Je! Haikuandikwa katika torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu?

[35]Ikiwa aliwaita miungu wale waliofata na kutii neno la Mungu; (na maandiko hayawezi kutanguka);

 
Mkuu maelezo yako yote haya yameelezewa kwenye paragraph iliyowekewa nyota*** Sasa unatakiwa ujiulize kwanini niliweka nyota( is it a coincidence???),

Sasa hata ungekuwa wewe yaani umeunda gari lenye full functionality tena ni smart lenye very powerful built-in chip of AI.

Sasa licha ya kuwa linaweza kujiongoza lenyewe lakini ukaona hataa! Ngoja ngoja niliwekee msaidizi(dereva)

Sasa kwa logic yako mkuu unataka aliyeunda gari aachane na masuala ya gari kujiendesha yenyewe, pia hata kuendeshwa na dereva pia hutaki unataka aliyeliunda aje aanze kulisukuma/kulikokota kwa nguvu zake huku engine ikiwa off. Inakuja huku a maana yakuliumba Sasa.

Sasa huu mfano bado ni irrelevant/ na incompetent kwasababu viumbe hasa binadamu wameundwa bora zaidi... fikira gari lingekua linajitafutia fuel/power lenyewe na services linajipiga lenyewe. Sasa viumbe hai ndio tupo hivyo.

Karibu mkuu.
Mungu wa haki anaumbaje watu bila ya idhini ya hao watu kuumbwa?

Yani Mungu wa haki anajipaje yeye haki ya kuumba watu kabla hao watu hawajamruhusu huyo Mungu kuwaumba?

Kumuumba mtu bila idhini yake kuumbwa si haki.
 
Hakuna mbio ndugu, mimi nipo hapa ila kutokana na majukumu yangu siingii jf kila siku kama wewe. Hatufanani
Hapa kiongozi sijajua nikupe pole au hongera!

Hivi mtu mwenye majukumu mazito kiasi kwamba hawezi kuingia jf kila siku kama mimi ninavyoweza kuingia kila siku anastahili pole au hongera? Dream Queen saidia hapa.
 
Biblia haijasema binadamu ni Mungu

Biblia imesema binadamu ni mfano wa Mungu

Pia utatakiwa ufahamu neno Mungu au MUNGU lina maana tofauti na neno mungu.
Mkuu soma Post #48
Na kingine nikukumbushe kuwa Katika Lugha ya Kihebrania,kiatamaic ,Kigiriki ama kiyunani (Lugha ambazo biblia imeandikwa)..
Na Kiarabu (Lugha ambayo.Quran imeandikwa)..

"Kwa sababu nilifanikiwa kuzisoma zote"

Hakuna Herufi kubwa na Ndogo herufi zote ni sawa
 
Hapa kiongozi sijajua nikupe pole au hongera!

Hivi mtu mwenye majukumu mazito kiasi kwamba hawezi kuingia jf kila siku kama mimi ninavyoweza kuingia kila siku anastahili pole au hongera?
Unachoona wewe kinafaa
 
Mkuu soma Post #48
Na kingine nikukumbushe kuwa Katika Lugha ya Kihebrania,kiatamaic ,Kigiriki ama kiyunani (Lugha ambazo biblia imeandikwa)..
Na Kiarabu (Lugha ambayo.Quran imeandikwa)..

"Kwa sababu nilifanikiwa kuzisoma zote"

Hakuna Herufi kubwa na Ndogo herufi zote ni sawa
Mkuu tafuta kufahamu tofauti ya neno Mungu na mungu

Ni vitu viwili tofauti
 
Mkuu tafuta kufahamu tofauti ya neno Mungu na mungu

Ni vitu viwili tofauti
Mkuu Nimekuelewesha vizuri kabisa kwamba Vyote hivyo ninavijua ulivyolishwa na watu waliokufundisha hivyo (Wazungu)..

Nimesoma Theology najua Lugha ya Kihebrania ambayo Biblia Imeandikwa..

Kuhusu Biblia Yeah nahisi naweza kuwa mmoja wa wanaoijua vizuri sana na kuhusu Dini ya Kikkristo yes pia l..

Narudia tena kwa Herufi kubwa..

..KATIKA LUGHA ILIYOAMDIKIWA BIBLIA NA QURAN HAKUNA UTENGANISHA WA KIHERUFI BAINA YA HERUFI KUBWA NA NDOGO..

Herufi hizo zimekuja baada ya kutafsiri Biblia kwenye Lugha ya Kingereza na Kilatini ila kwa lugha za Asili Biblia haina Tofauti wa Herufi kubwa wala ndogo..

Hakuna Tofauti wa MUNGU, mungu,Mungu,mUNgu au vyovyote vile kwa lugha ya Kihebrania..

zaidi Wanatheolojia waliazimia kuweka utofauti wa Maneno ambayo hapo kale hayakuwepo
 
Mkuu Nimekuelewesha vizuri kabisa kwamba Vyote hivyo ninavijua ulivyolishwa na watu waliokufundisha hivyo (Wazungu)..

Nimesoma Theology najua Lugha ya Kihebrania ambayo Biblia Imeandikwa..

Kuhusu Biblia Yeah nahisi naweza kuwa mmoja wa wanaoijua vizuri sana na kuhusu Dini ya Kikkristo yes pia l..

Narudia tena kwa Herufi kubwa..

..KATIKA LUGHA ILIYOAMDIKIWA BIBLIA NA QURAN HAKUNA UTENGANISHA WA KIHERUFI BAINA YA HERUFI KUBWA NA NDOGO..

Herufi hizo zimekuja baada ya kutafsiri Biblia kwenye Lugha ya Kingereza na Kilatini ila kwa lugha za Asili Biblia haina Tofauti wa Herufi kubwa wala ndogo..

Hakuna Tofauti wa MUNGU, mungu,Mungu,mUNgu au vyovyote vile kwa lugha ya Kihebrania..

zaidi Wanatheolojia waliazimia kuweka utofauti wa Maneno ambayo hapo kale hayakuwepo
Mkuu acha ubishi

Kusoma teolojia haikupi kibali kwamba unajua kila kitu

Neno Mungu au MUNGU linawakilisha Mungu mkuu muweza wa yote asiye na mwanzo wala mwisho

Neno mungu linawakilisha sisi binadamu (miungu)

Mambo ya kwamba ulisoma theology yaache kwanza pembeni
 
Mkuu soma Post #48
Na kingine nikukumbushe kuwa Katika Lugha ya Kihebrania,kiatamaic ,Kigiriki ama kiyunani (Lugha ambazo biblia imeandikwa)..
Na Kiarabu (Lugha ambayo.Quran imeandikwa)..

"Kwa sababu nilifanikiwa kuzisoma zote"

Hakuna Herufi kubwa na Ndogo herufi zote ni sawa
Inawezekana hajafuatilia sana Biblia kwa sababu ya majukumu.
 
Mkuu acha ubishi

Kusoma teolojia haikupi kibali kwamba unajua kila kitu

Neno Mungu au MUNGU linawakilisha Mungu mkuu muweza wa yote asiye na mwanzo wala mwisho

Neno mungu linawakilisha sisi binadamu (miungu)

Mambo ya kwamba ulisoma theology yaache kwanza pembeni
Unajua maana ya Theology?

Unaiwekaje pembeni Theology ili hali unajadili mambo ya dini?
 
Back
Top Bottom