Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Kuchafua au kutochafua hali ya hewa si hoja.

Inawezekana mlikuwa mmekaa karibu na choo mnavuta hewa chafu bila kujua tu, mimi nimekuja kuwaambia tu kwamba hapa kuna hewa chafu.

Sasa, mimi kuwaambia hii hewa chafu, mnaniita nachafua hali ya hewa.

Kitu cha muhimu ni, ukweli uko wapi?
ukweli upo kwenye fikra za wahusika na uthibitisho upo ndani ya vichwa vyao kuthibitisha na kuelezea ni vitu viwili tofaut ni kama maelezo na matendo huwa haviendani pia na ili viendani inakupasa uingie plactical na hata ukiingia huwez kuja na maelezo kama ulivyoshuhudia kwa lugha nyepes kila mmoja huzan na kuelewa vile anavyoshuhudi
 
ukweli upo kwenye fikra za wahusika na uthibitisho upo ndani ya vichwa vyao kuthibitisha na kuelezea ni vitu viwili tofaut ni kama maelezo na matendo huwa haviendani pia na ili viendani inakupasa uingie plactical na hata ukiingia huwez kuja na maelezo kama ulivyoshuhudia kwa lugha nyepes kila mmoja huzan na kuelewa vile anavyoshuhudi

Unasema ukweli upo kwenye fikra/vichwa vya wahusika.

Kama ukweli ni kwamba Mungu hayupo, lakini kwenye vichwa vya watu wanaamini Mungu yupo, hapo bado ukweli upo kwenye vichwa vya hao watu?
 
ukweli upo kwenye fikra za wahusika na uthibitisho upo ndani ya vichwa vyao kuthibitisha na kuelezea ni vitu viwili tofaut ni kama maelezo na matendo huwa haviendani pia na ili viendani inakupasa uingie plactical na hata ukiingia huwez kuja na maelezo kama ulivyoshuhudia kwa lugha nyepes kila mmoja huzan na kuelewa vile anavyoshuhudi
I see!
 
Unasema ukweli upo kwenye fikra/vichwa vya wahusika.

Kama ukweli ni kwamba Mungu hayupo, lakini kwenye vichwa vya watu wanaamini Mungu yupo, hapo bado ukweli upo kwenye vichwa vya hao watu?
ni ukweli ambao wamejitengezea wao ni sawa na kusema mkewangu mzurh kuliko wana wake woote dunian, hivyo inaweza kuwa ni kweli au si kweli kwasababu kila mmoja ana vigezo na upeo na macho yake kwahy suala la mungu kuwepo au kuto wepo ni akili binafs ya muhusika kutokana na vigezo vyake tatizo linakuja kutaka kila mmoja aone mkeo kweli ni mzur kuliko hao wana wake wote ikiwa ww kama mtu ulie sema ulijiwekea vigezo vyako ndio mana wanasema ukienda ugenini usitake wenyeji wafuate sheria tabia zako ila wewe unapaswa uigize sheria tabia zao huku ndan yako kuna sheria tabia zako ambazo zita applay kwenye mazingira yako ndio mana treni haliwez pita rami
 
ni ukweli ambao wamejitengezea wao ni sawa na kusema mkewangu mzurh kuliko wana wake woote dunian, hivyo inaweza kuwa ni kweli au si kweli kwasababu kila mmoja ana vigezo na upeo na macho yake kwahy suala la mungu kuwepo au kuto wepo ni akili binafs ya muhusika kutokana na vigezo vyake tatizo linakuja kutaka kila mmoja aone mkeo kweli ni mzur kuliko hao wana wake wote ikiwa ww kama mtu ulie sema ulijiwekea vigezo vyako ndio mana wanasema ukienda ugenini usitake wenyeji wafuate sheria tabia zako ila wewe unapaswa uigize sheria tabia zao huku ndan yako kuna sheria tabia zako ambazo zita applay kwenye mazingira yako ndio mana treni haliwez pita rami
Hapo kuna suala la subjectivity na objectivity.

Ukiamini uongo ni ukweli, huo uongo utabadilika kuwa ukweli kwa sababu wewe unaamini uongo ni ukweli?
 
Hapo kuna suala la subjectivity na objectivity.

Ukiamini uongo ni ukweli, huo uongo utabadilika kuwa ukweli kwa sababu wewe unaamini uongo ni ukweli?
wanasema ukiona unaomba uthibitisho alafu ukakosa tumia mbinu namba 2 acha vijithibitishe vyenyewe nazani majibu ya uthibitisho yapo kwenye muda na huwa nashindwaga kuelewa watu wanavyoshindwa kukuelewa kile ambacho unataka kukielewa na ukakosa majibu sahihi mi nazani waelezaji hawakuelew kama humuelewani ndipo kinachotoke kitu ubishan usio na suluhu,, ningekuwa mimi ndio nipo upande wa huyo mungu ningekujibu vizur sana kama yupo au hayupo tatizo nipo kwenye upande wa yupo, hayupo
 
wanasema ukiona unaomba uthibitisho alafu ukakosa tumia mbinu namba 2 acha vijithibitishe vyenyewe nazani majibu ya uthibitisho yapo kwenye muda na huwa nashindwaga kuelewa watu wanavyoshindwa kukuelewa kile ambacho unataka kukielewa na ukakosa majibu sahihi mi nazani waelezaji hawakuelew kama humuelewani ndipo kinachotoke kitu ubishan usio na suluhu,, ningekuwa mimi ndio nipo upande wa huyo mungu ningekujibu vizur sana kama yupo au hayupo tatizo nipo kwenye upande wa yupo, hayupo
Sijaelewa, uko upande gani?
 
wanasema ukiona unaomba uthibitisho alafu ukakosa tumia mbinu namba 2 acha vijithibitishe vyenyewe nazani majibu ya uthibitisho yapo kwenye muda na huwa nashindwaga kuelewa watu wanavyoshindwa kukuelewa kile ambacho unataka kukielewa na ukakosa majibu sahihi mi nazani waelezaji hawakuelew kama humuelewani ndipo kinachotoke kitu ubishan usio na suluhu,, ningekuwa mimi ndio nipo upande wa huyo mungu ningekujibu vizur sana kama yupo au hayupo tatizo nipo kwenye upande wa yupo, hayupo
Mungu hawezi kujibu, kwa sababu hayupo.

Mungu ambaye hayupo atajibu vipi?

Ndiyo maana watu wanahangaika sana kumjibia.

Ukiona watu wanahangaika kumjibia Mungu, ujue huyo Mungu hayupo.

Vinginevyo angejibu mwenyewe kama ulivyosema.
 
Niliwahi kutana na watu kama wewe ni kazi sana kuwaaminisha kuhusu uwepo wa ulimwengu wa kiroho ...kuna muda utafika lakini utaamini
Mkuu,

Mimi sipendi kuongelea habari za kuamini.

Kuamini ni haki ya kibinadamu ya kila mtu, unaruhusiwa kuamini chochote, uongo, ukweli, hiyo ni haki yako.

Na mimi hata nisipoam8ni kama wewe, nitatetea haki yako ya kuamini unavyotaka.

Lakini, tukija kwenye facts, huna haki ya kuwa na facts zako tu, inabidi tuhakiki facts.

Sasa kwa nini unaongelea habari za kuamini badala ya kuongelea facts?

Define roho ni nini.Weka ushahidi wa fact kwamba roho ipo.

Kwa nini unakwepa hata ku define tu roho ni nini na kuthibitisha ipo?
 
Salamu Mkuu Kiranga siku utakayo jaaliwa neema ya kuujua utukufu wa MUNGU hata kidogo tu, ndio utakua hujui, na ndipo utaukumbuka msemo wa wahenga kwamba "ujanja mwingi mbele kiza"

Kuna vitu kuvielezea physically haimake sense (yaani hakuna maelezo yanayoweza kuuelezea(100%) utukufu wa MUNGU, at highest degree of maximum satisfaction.))

Mfano: Mtu anaweza akakwambia ameongea na Mungu, sasa kwa hali ya kwawaida unamchekiiiii! arafu unajisemea hivi huyu anatuchukuliaje.

Ila kupitia imani ukaexperience mwenyewe kwa usaidizi wa Roho matakatifu ndio unaaweza ukajua hali halisi...unaposema wakusibitishie mambo ya kiroho kwa kutumia kanuni za kimwili unakua unakosea na unachanganya mambo mawili tofauti kabisa( quiet different).

Jambo jema ni kwamba MUNGU anatumainika licha ya kuwa YEYE NDIO MKUU, UFALME UTUKUFU NA NGUVU NI ZAKE MILELE NA MILELE (TO INFINITY) lakini ni mwingi wa rehema. Ukimwita Anaitika Ukimuomba anajibu na ukigonga hodi anafungua.

***Ona hekima ya MWENYEZI MUNGU mambo yote yako ndani ya uwezo wake lakini kwa kuwa yeye ni MUNGU wa haki hataki/haoni kama ni busara kukulazimisha wewe umfuate yeye wala hataki kukushawishi wala kukutisha kwa namna yoyote ile umpende yeye... anachotaka wewe mwenyewe kwa uhuru wako kutoka Moyoni mwako uamue kumfuata (yaani kwa hiari yako)

Sasa mkuu MUNGU ALIKUEPO YUPO NA ATAKUEPO YEYE NDIO MWANZO NA MWISHO

There was no beginning without GOD.
He is the Source Creator and Sustainer of everything.

He did not begin when beginning began, He began the beginning... He did not start when start got started, He started start.


Kama unataka kumjua MUNGU ni rahisi tu mtafute kwa nia ya dhati kabisa(na sio kwakujaribu).
Mungu hawezi kujibu, kwa sababu hayupo.

Mungu ambaye hayupo atajibu vipi?

Ndiyo maana watu wanahangaika sana kumjibia.

Ukiona watu wanahangaika kumjibia Mungu, ujue huyo Mungu hayupo.

Vinginevyo angejibu mwenyewe kama ulivyosema.
 
Salamu Mkuu Kiranga siku utakayo jaaliwa neema ya kuujua utukufu wa MUNGU hata kidogo tu, ndio utakua hujui, na ndipo utaukumbuka msemo wa wahenga kwamba "ujanja mwingi mbele kiza"

Kuna vitu kuvielezea physically haimake sense (yaani hakuna maelezo yanayoweza kuuelezea(100%) utukufu wa MUNGU, at highest degree of maximum satisfaction.))

Mfano: Mtu anaweza akakwambia ameongea na Mungu, sasa kwa hali ya kwawaida unamchekiiiii! arafu unajisemea hivi huyu anatuchukuliaje.

Ila kupitia imani ukaexperience mwenyewe kwa usaidizi wa Roho matakatifu ndio unaaweza ukajua hali halisi...unaposema wakusibitishie mambo ya kiroho kwa kutumia kanuni za kimwili unakua unakosea na unachanganya mambo mawili tofauti kabisa( quiet different).

Jambo jema ni kwamba MUNGU anatumainika licha ya kuwa YEYE NDIO MKUU, UFALME UTUKUFU NA NGUVU NI ZAKE MILELE NA MILELE (TO INFINITY) lakini ni mwingi wa rehema. Ukimwita Anaitika Ukimuomba anajibu na ukigonga hodi anafungua.

***Ona hekima ya MWENYEZI MUNGU mambo yote yako ndani ya uwezo wake lakini kwa kuwa yeye ni MUNGU wa haki hataki/haoni kama ni busara kukulazimisha wewe umfuate yeye wala hataki kukushawishi wala kukutisha kwa namna yoyote ile umpende yeye... anachotaka wewe mwenyewe kwa uhuru wako kutoka Moyoni mwako uamue kumfuata (yaani kwa hiari yako)

Sasa mkuu MUNGU ALIKUEPO YUPO NA ATAKUEPO YEYE NDIO MWANZO NA MWISHO

There was no beginning without GOD.
He is the Source Creator and Sustainer of everything.

He did not begin when beginning began, He began the beginning... He did not start when start got started, He started start.


Kama unataka kumjua MUNGU ni rahisi tu mtafute kwa nia ya dhati kabisa(na sio kwakujaribu).
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, angekuwepo, kusingekuwa na mtu yeyote ambaye hajui uwepo wake.

Na usingehitaji kuongelea siku nitakayo jaaliwa kujua neema na utukufu wa Mungu.

Mungu huyo angejaalia viumbe wake wote wamjue, wamjue vizuri na wasihitaji mjadala wowote kuhusu uwepo wake.

Kufanya kingine tofauti nanhivyo, ni ku contradict nature ya Mungu ya upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote.

Wewe kuongelea siku ambayo nitakuja kupata neema ya kumjua Mungu ni uthibitisho kwamba huyo Mungu hayupo.

Umeelewa hilo?
 
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, angekuwepo, kusingekuwa na mtu yeyote ambaye hajui uwepo wake.

Na usingehitaji kuongelea siku nitakayo jaaliwa kujua neema na utukufu wa Mungu.

Mungu huyo angejaalia viumbe wake wote wamjue, wamjue vizuri na wasihitaji mjadala wowote kuhusu uwepo wake.

Kufanya kingine tofauti nanhivyo, ni ku contradict nature ya Mungu ya upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote.

Wewe kuongelea siku ambayo nitakuja kupata neema ya kumjua Mungu ni uthibitisho kwamba huyo Mungu hayupo.

Umeelewa hilo?
Mkuu maelezo yako yote haya yameelezewa kwenye paragraph iliyowekewa nyota*** Sasa unatakiwa ujiulize kwanini niliweka nyota( is it a coincidence???),
***Ona hekima ya MWENYEZI MUNGU mambo yote yako ndani ya uwezo wake lakini kwa kuwa yeye ni MUNGU wa haki hataki/haoni kama ni busara kukulazimisha wewe umfuate yeye wala hataki kukushawishi wala kukutisha kwa namna yoyote ile umpende yeye... anachotaka wewe mwenyewe kwa uhuru wako kutoka Moyoni mwako uamue kumfuata (yaani kwa hiari yako)
Sasa hata ungekuwa wewe yaani umeunda gari lenye full functionality tena ni smart lenye very powerful built-in chip of AI.

Sasa licha ya kuwa linaweza kujiongoza lenyewe lakini ukaona hataa! Ngoja ngoja niliwekee msaidizi(dereva)

Sasa kwa logic yako mkuu unataka aliyeunda gari aachane na masuala ya gari kujiendesha yenyewe, pia hata kuendeshwa na dereva pia hutaki unataka aliyeliunda aje aanze kulisukuma/kulikokota kwa nguvu zake huku engine ikiwa off. Inakuja huku a maana yakuliumba Sasa.

Sasa huu mfano bado ni irrelevant/ na incompetent kwasababu viumbe hasa binadamu wameundwa bora zaidi... fikira gari lingekua linajitafutia fuel/power lenyewe na services linajipiga lenyewe. Sasa viumbe hai ndio tupo hivyo.

Karibu mkuu.
 
Back
Top Bottom