Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

UTANGULIZI SEHEMU B;MAANA YA NAFSI. Leo tunaendelea na somo baada ya upepo kutulia na wote kuishia mitini. Nafsi ni mtu halisi na ana vitu vyote vya mtu wa nje. Mtu wa nje (mwili) ni kama kivuli cha mtu wa ndani (nafsi). Vitu vikuu vinavyofanya nafsi ifanye kazi vizuri ni, Akili ambayo inabeba milango yote ya fahamu, utambuzi, fikra, maarifa; Hisia ambayo inabeba furaha, upendo, huzuni na chuki. Nafsi inaweza kuingia katika mwili wowote hata wa mnyama bila shida. Ukiona mchawi anajigeuza paka au nyoka tambua ni nafsi yake ameivalisha kwenye mwili huo. Mtoto anaweza kurithi vitu vilivyopo kwenye nafsi ya mama yake na baba yake ila roho anarithi kwa baba tu. Kazi ya roho ni kuitia nguvu nafsi ili ifanye kazi yake halisi iliyoumbiwa. Roho haiwezi kufanya kazi na nafsi iliyovurugwa maana nafsi iliwekwa iende automatic katika kazi yake. Kipawa 'nyota' cha mtu kimewekwa ndani ya nafsi na siyo rahisi akijue mpaka afuate hatua muhimu. Huwezi kuiba kipawa cha mtu maana hata shetani mwenyewe hakijui, bali ni nafsi tu ya mtu inavurugwa na kuipotezea mwelekeo na kutumikishwa kwa faida ya mtu mwingine. Nafsi inaweza kufungwa kwenye mti, inaweza kuwekwa ndani ya chupa, inaweza kufungwa chini ya bahari inaweza kufungwa ofisini au kwenye nyumba za ibada na sehemu yoyote ile kulingana na matakwa ya mfungaji na kuitumikisha kadri apendavyo. Njia rahisi sana ya kujua nafsi yako imefungiwa wapi ni kwa kupitia ndoto. Angalia unaota sana upo maeneo gani na unafanya nini. Ili unase na kuendesha nafsi ya mtu/watu kadri upendavyo inategemea sana na nguvu (roho) inayoipa nafsi hiyo nguvu. Lazima uwe na roho yenye nguvu zaidi. Na kuna vitu ambavyo nimeviorodhesha hapo juu ambavyo hutumika kukamata na kuendesha nafsi na tutavijadili mbeleni. Sasa embu jiulize kidogo itakuaje endapo unataka kufungua biashara yoyote au kuingia katika uongozi au siasa au huduma za kiroho na hauwezi kuvuta nafsi za watu!, ukweli ni kuwa hauwezi kupata watu wowote maana kunawenzako wanatumia sala au dua au uchawi kuvuta watu (nafsi). Fikiria kwenye kuoa uwe msichana au mvulana na unapendwa na wengi, kila mtu atakuvuta kwa njia yake na mwisho mwenye nguvu atashinda. Watu wengi wanachanganyikiwa kwa nafsi zao kuvutwa na watu na mwisho wanabaki katikati na kushindwa kujua waelekee wapi. Ni kama kuchukua sumaku mbili na kuweka chuma katikati na kuivuta huku na huku, chuma itacheza tu hapo katikati hadi ipate sumaku yenye nguvu zaidi. Mwisho, Nafsi haitakiwi kurudi nyuma bali inatakiwa kwenda mbele tu, ikirudi nyuma mtu atakuwa nyuma ya muda na siku zote mtu anatakiwa awe mbele ya muda ili atayarishe mazingira ya mbeleni. Na hapa ndipo wazungu wanapotushinda tu kwa kuwa mbele ya muda. Ukikomboa nafsi yako, umekomboa maisha yako na utaishi kwa uhuru wote na kwa mafanikio ya uhakika.
Karibu Kwa muendelezo.
 
Biblia iko all over the place, inajibcontradict, ilisema Joshua alilisimamisha jua ili Waisraeli wapate advantage ya mwanga, kwa maana ya kwamba jua lilikuwa linaizunguka dunia.

Tunajua hayo ni makosa.

Biblia imeandika kwamba dunia haizunguki, kuna aya nyingi sana zipo kuhusu hili. Lakini leo tunajua dunia inazunguka jua na inazunguka kwenye mhimiki wake.

Psalm 104:5 ESV
He set the earth on its foundations, so that it should never be moved.

Joshua 10:13 ESV
And the sun stood still, and the moon stopped, until the nation took vengeance on their enemies. Is this not written in the Book of Jashar? The sun stopped in the midst of heaven and did not hurry to set for about a whole day.

Psalm 93:1 ESV / 54 helpful votes
The Lord reigns; he is robed in majesty; the Lord is robed; he has put on strength as his belt. Yes, the world is established; it shall never be moved.

1 Chronicles 16:30 ESV / 40 helpful votes
Tremble before him, all the earth; yes, the world is established; it shall never be moved.

Psalm 96:10 ESV
Say among the nations, “The Lord reigns! Yes, the world is established; it shall never be moved; he will judge the peoples with equity.”
Biblia iko sawa, sisi lugha zetu na mitazamo ndo inajichanganya
hata leo sisi wenyewe bado tunasema jua linatoka mashariki na kuzama magharibi, that means tunaona jua lina move from east to west .
 
Huwezi kutoa majibu yaliyonyooka, kwa sababu huyo Mungu hayupo.

Wewe kutojua majibu ya maswali mengine pia ni ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Kimantiki iko hivi.

1. Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, anatutakia mema yote na hatutakii mabaya yoyote. Hiyo ndiyo nature yake kimantiki. Mungu huyo kututakia mabaya ni contradiction.

2. Kuna ujinga mwingi sana ambao ni mbaya. Nilikuwa naangalia documentary moja ya kuhusu "The Black Death". Watu walivyokufa sana kqa Bubonic Plague Ulaya na Asia, huku wakishindwa kujua chanzo cha ugonjwa na jinsi ya kuutibu. Tumeshindwa kugundua madawa ya antibiotics kisayansi kwa miaka yote mpaka hapa 1928, that is not even a 100 years ago. Watu walikuwa wanakufa kwa vitu vidogo tu kama vidonda, kwa kukosa antibiotics. Huo ni ujinga mkubwa sana ulious watu wengi sana.

3. Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote, angekuwepo,asingetubania kutupa dawa miaka yote hiyo. Watu wamemuomba sana. Hizo sifa zakw zinatuonesha Mungu wa hivyo si mchoyo.

4. Logical conclusion. Mungu wa hivyo hayupo. In fact ukijisikia umepungukiwa na inahitaji kuomba kitu tu, huo ni ushahidi kwamba Mungu hayupo. Kwa sababu, angekuwepo, angekupa unachohitaji kabla hujamuomba.
huwezi kulazimisha Mungu awe jinsi wewe unavyotaka, huyo atakuwa siyo Mungu mjuzi wa yote ,atakuwa mwanao amabaye ume mshape unavyotaka
Iko hivi, Mabaya yote contradictions unazoziona zilisababishwa na sisi binadamu kutotii maagizo ya Mungu,ambapo utii wetu ulienda zaidi kwa yule muongo aliyedanganya bustanini
Mungu asingekuwa na upendo angemkatilia mbali shetani na binadamu wale wa kwanza. kwa kuwaacha kuishi ni upendo pia- angwaua ingekuwa ni ukatili na siyo upendo
akaruhusu shetani awepo na binadamu mkosefu awepo
Sasa vitu vibaya vyote ni kwa sababu ya kutokutii kwetu pia, kama wee mkuu wangu ulivyo mtundu ,unakataa hata uwepo wa Mungu

Kum 7:15 SUV​

Na BWANA atakuondolea ugonjwa wote; wala hatatia juu yako maradhi yo yote mabaya uyajuayo ya Misri, lakini atayaweka juu ya wote wakuchukiao.

Vitu vibaya ni matokeo ya kutotii na matokeo ya uwepo wa shetani
labda ungependa shetani aangamizwe ili asilete shida. kumbuka naye ni kiumbe wa Mungu, na Mungu ni upendo
hivyo ametoa nafasi/muda vya kujisahihisha
na haya mambo mabaya ni ushahidi kuwa shetani amekuwa jeuri
definitely kuna siku ya hukumu inakuja ,itaweka mambo yote sawa. tusubirie hukumu ya Mungu
 
Biblia iko sawa, sisi lugha zetu na mitazamo ndo inajichanganya
hata leo sisi wenyewe bado tunasema jua linatoka mashariki na kuzama magharibi, that means tunaona jua lina move from east to west .
Kuwezekana sisi kujichanganya katika kusoma neno la Mungu ni ushahidi kwamba huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Otherwise, kama kuna kitu kimoja angetupa uwezo wa kukijua bila kujichanganya, ni neno lake.

In fact asingetumia hata kitabu, kwa sababu kitabu kinaweza kuwa na matatizo ya tafsiri. Angeweka mfumo wa kila mtu kumjua bila utata wowote kwa kupitia kitu kama DNA.

Kuwepo kwa maandiko kunaonesha Mungu hayupo na hayo maandiko ni ya watu tu, ndiyo maana yana contradictions.

Mungu angekuwepo, tusingehitaji maandiko kumuelezea.

Ukiona Mungu kaandikwa kwenye kitabu ujue unasoma hadithi ya kutungwa na watu hapo.
 
huwezi kulazimisha Mungu awe jinsi wewe unavyotaka, huyo atakuwa siyo Mungu mjuzi wa yote ,atakuwa mwanao amabaye ume mshape unavyotaka
Iko hivi, Mabaya yote contradictions unazoziona zilisababishwa na sisi binadamu kutotii maagizo ya Mungu,ambapo utii wetu ulienda zaidi kwa yule muongo aliyedanganya bustanini
Mungu asingekuwa na upendo angemkatilia mbali shetani na binadamu wale wa kwanza. kwa kuwaacha kuishi ni upendo pia- angwaua ingekuwa ni ukatili na siyo upendo
akaruhusu shetani awepo na binadamu mkosefu awepo
Sasa vitu vibaya vyote ni kwa sababu ya kutokutii kwetu pia, kama wee mkuu wangu ulivyo mtundu ,unakataa hata uwepo wa Mungu

Kum 7:15 SUV​

Na BWANA atakuondolea ugonjwa wote; wala hatatia juu yako maradhi yo yote mabaya uyajuayo ya Misri, lakini atayaweka juu ya wote wakuchukiao.

Vitu vibaya ni matokeo ya kutotii na matokeo ya uwepo wa shetani
labda ungependa shetani aangamizwe ili asilete shida. kumbuka naye ni kiumbe wa Mungu, na Mungu ni upendo
hivyo ametoa nafasi/muda vya kujisahihisha
na haya mambo mabaya ni ushahidi kuwa shetani amekuwa jeuri
definitely kuna siku ya hukumu inakuja ,itaweka mambo yote sawa. tusubirie hukumu ya Mungu
Sijalazimisha Mungu awe mimi ninavyotaka, naonesha logical inconsistency katika dhana ya juwepo Mungu.

Hapa mnasema Mungu ni duara, lakini mbona hapa mnatupa Mungu wa pembetatu?

Nyie wenyewe mnaosema Mungu yupo mnamueleza Mungu mwenye contradiction, mimi nazionesha tu hizo contradictions.

Unasema mabaya yote yameletwa na sisi kutomtii Mungu.

Huelewi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao watu wanaweza kutomtii na kufanya mabaya ni contradiction tayari?

Unalaumu uwepo wa Shetani, aliyeumba dunia ambayo inaweza kuwa na Shetani ni nani?
 
Sijalazimisha Mungu awe mimi ninavyotaka, naonesha logical inconsistency katika dhana ya juwepo Mungu.

Hapa mnasema Mungu ni duara, lakini mbona hapa mnatupa Mungu wa pembetatu?

Nyie wenyewe mnaosema Mungu yupo mnamueleza Mungu mwenye contradiction, mimi nazionesha tu hizo contradictions.

Unasema mabaya yote yameletwa na sisi kutomtii Mungu.

Huelewi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao watu wanaweza kutomtii na kufanya mabaya ni contradiction tayari?

Unalaumu uwepo wa Shetani, aliyeumba dunia ambayo inaweza kuwa na Shetani ni nani?
shetani naye ni kiumbe anapaswa kuwepo kwa sababu aliumbwa
 
shetani naye ni kiumbe anapaswa kuwepo kwa sababu aliumbwa
Kwanza kabisa Shetani hayupo, huyo yupo kwenye hadithi tu.

Lakini, tukiamua kwenda na hadithi hiyo, kwamba Shetani yupo. Kama Shetani ni mbaya hivyo, ina maana Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao una Shetani lakini Shetani si mbaya na ubaya hauwezekani kuwepo kwa kiumbe chochote?

Mungu alishindwa kuumba ulimwengu huo?

Kati ya Mungu anayeumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kufanyika na viumbe wanaojikuta tu wapo katika ulimwengu ambao mabaya yanaweza kufanyika, na hivyo wanafanya mabaya, nani kafanya baya kubwa zaidi?
 
Bloo embu tuambie yale maji ya kwenye nazi uliyaweka wewe...
Kwanza kabisa, hoja yako ni logical fallacy inaitwa "logical non sequitur".

Hata kama mimi sijui yale maji ndani ya nazi yameingiaje, hilo halimaanishi Mungu ndiye kayaweka.

Ili ikubalike kwamba Mungu ndiye kayaweka, kwanza thibitisha Mungu yupo, halafu thibitisha Mungu ndiye kayaweka.

Halafu swali lako linaonesha hujajua sayansi ndogo tu ya baiolojia ya mimea inayofungua macho kuhusu maji yanaingiaje kwenye nazi.

Hili ni somo dogo la osmosis, ambalo nafikiri hukulijua.

Ona hapa wamekuwekea video ya elimu nyepesi kwa watoto.


View: https://www.youtube.com/watch?v=x2vmb_98hYw

Soma mazungumzo zaidi kuhusu hii process hapa, kama unajua Kiingereza.

 
Pale zamani unachungulia ,utadhani umefungia dem geto ivi hauchezi mbali
 
Huelewi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao watu wanaweza kutomtii na kufanya mabaya ni contradiction tayari?
Kutii au kutotii - Huu ni utashi huru ( Free will ) hili halihitaji mjadala sana. Na anayeikataa na asiyeipenda freewill ni vile tu anatafuta kichaka cha kufanya maovu pasi na kubeba jukumu katika dhamira yake. Uzuri kuna msamaha haina haja ya kujivua majukumu tena.

Mabaya - Mabaya ni kutokukamilika kwa wema, na huo wema unakuja bila kukamilika kwa nini? Unakuja kwa installments ili kuruhusu muda uwepo. Muda kuwepo ndiyo inaweka uwezekano wa kila kitu kuwepo, na maisha kiujumla.

Mfano mafuriko ya Rufiji ni kutokukamilika kwa mradi wa bwawa la JKNHPP(sijui ndo hivyo). Lakini hatupaswi kusema mradi mzima haufai. No. Mradi ni kitu chema, ila mifumo ya kudhibiti maji na mazingira ndio haijakamilika. Sitasema kuwa huo ni ubaya kuwezekana kuwa na maji mengi ya hadi kufurika. Bali hayo maji ni mema maana tunayahitaji kwa ajili ya kupata umeme, ni vile tu hatujakamilisha mambo ndio maana 'ubaya' umeonekana.

Mwisho wa siku, yote ni memaa 😊✅✅.
 
Kutii au kutotii - Huu ni utashi huru ( Free will ) hili halihitaji mjadala sana. Na anayeikataa na asiyeipenda freewill ni vile tu anatafuta kichaka cha kufanya maovu pasi na kubeba jukumu katika dhamira yake. Uzuri kuna msamaha haina haja ya kujivua majukumu tena.

Mabaya - Mabaya ni kutokukamilika kwa wema, na huo wema unakuja bila kukamilika kwa nini? Unakuja kwa installments ili kuruhusu muda uwepo. Muda kuwepo ndiyo inaweka uwezekano wa kila kitu kuwepo, na maisha kiujumla.

Mfano mafuriko ya Rufiji ni kutokukamilika kwa mradi wa bwawa la JKNHPP(sijui ndo hivyo). Lakini hatupaswi kusema mradi mzima haufai. No. Mradi ni kitu chema, ila mifumo ya kudhibiti maji na mazingira ndio haijakamilika. Sitasema kuwa huo ni ubaya kuwezekana kuwa na maji mengi ya hadi kufurika. Bali hayo maji ni mema maana tunayahitaji kwa ajili ya kupata umeme, ni vile tu hatujakamilisha mambo ndio maana 'ubaya' umeonekana.

Mwisho wa siku, yote ni memaa 😊✅✅.
Mungu alishindwa kuumba ulimwengu huu kuwa ambao mabaya hayawezekani kuwapo?
 
Mungu alishindwa kuumba ulimwengu huu kuwa ambao mabaya hayawezekani kuwapo?

Huo ulimwengu huenda tayari upo lakini kutokana na kuwa kamili na hauna badiliko lolote linaloendelea basi hauna muda na hilo ni sawa na kutokuwepo.

Kwa hiyo huyo kiumbe atakayepatikana huko atakuwa anakiishi 'kifo' yaani haoni badiliko lolote maana kila kitu kimeshaumbwa katika ule ukamilifu wa mwisho wake, hakuna mabadiliko, hakuna muda. Kikwetu sisi tunasema ni hamna ni kifoni.

In one word 'MAXIMUM ENTROPY' with respect to that universe which we citizens of this universe call it the DEAD UNIVERSE.

Tofauti na hivyo ndiyo unapata universe kama yetu hii ambamo kuna mabadiliko kila siku kuelekea a BETTER STATE OF AFFAIRS. Hilo moja kwa moja linamaanisha state iliyopita ni relativelly A BAD STATE OF AFFAIRS. Ndiyo tunayoperceive 'mabaya' yaani kutokukamilika kwa uzuri. Na hicho ni kitu chema ni maana maisha yanaendelea hivyo
 
Huo ulimwengu huenda tayari upo lakini kutokana na kuwa kamili na hauna badiliko lolote linaloendelea basi hauna muda na hilo ni sawa na kutokuwepo.

Kwa hiyo huyo kiumbe atakayepatikana huko atakuwa anakiishi 'kifo' yaani haoni badiliko lolote maana kila kitu kimeshaumbwa katika ule ukamilifu wa mwisho wake, hakuna mabadiliko, hakuna muda. Kikwetu sisi tunasema ni hamna ni kifoni.

In one word 'MAXIMUM ENTROPY' with respect to that universe which we citizens of this universe call it the DEAD UNIVERSE.

Tofauti na hivyo ndiyo unapata universe kama yetu hii ambamo kuna mabadiliko kila siku kuelekea a BETTER STATE OF AFFAIRS. Hilo moja kwa moja linamaanisha state iliyopita ni relativelly A BAD STATE OF AFFAIRS. Ndiyo tunayoperceive 'mabaya' yaani kutokukamilika kwa uzuri. Na hicho ni kitu chema ni maana maisha yanaendelea hivyo
Mimi nakuuliza kwa nini Mungu hakuuumba ulimwengu huu usiweze kuwa na mabaya, wewe unanijibu ulimwengu huo huenda upo?

Umeelewa hata swali ni nini?
 
Mimi nakuuliza kwa nini Mungu hakuuumba ulimwengu huu usiweze kuwa na mabaya, wewe unanijibu ulimwengu huo huenda upo?

Umeelewa hata swali ni nini?
Jibu ni anaweza kuumba na huenda upo tayari. Na ninajua upo maana katika neno sahili ni KUTOKUWEPO. Si hauna muda bro maana wenyewe hauna na wala hauhitaji mabadiliko wala maboresho yanayopelekea muda. Na kisichokuwepo, si ndo tayari hakipo hatuhitaji hata uthibitisho hapo mimi na wewe (you are an expert in this subject)

Basi bro bahati mbaya ukiutaka ulimwengu huo hapa kwa sasa haiwezekani. Tuliopo sasa hivi upo kwenye huu wenye kuwa na mabaya, kuwa na mabadiliko kuelekea ubora naam ulimwengu wenye MUDA.

Mwisho wa maisha haya ndo tutachagua;

1. Kuendelea na ulimwengu utakaokuwa unazidi kuwa bora siku hadi siku. Kama huu tulionao. Ambao kwa kuwianisha, relatively measures utaendelea kuwa na 'mabaya'. UZIMA WA MILELE.

2. Kuishi (Kinadharia, ila kiukweli ni kutokuishi) katika ulimwengu huo uliokamilika hadi pa mwisho, usiohitaji badiliko lolote. Ulimwengu wa kifo. MAUTI.
 
Na naanza kuelewa kwa nini mwamba anashindwa kung'amua kuwa hizo hali za ukuaji kuzidi kuwa bora yaani kutoka mabaya (relatively) kuelekea hali nzuri zaidi.

Ni kwa sababu haujui kama kuna kusudi chanya katika hayo mabadiliko ya ulimwengu.

Yaani unataka udizainiwe ulimwengu ambao, ujana sio bora kuliko utoto lakini hayo mabadiliko yawepo kutoka utoto kwenda ukubwa ila yatokee aimlessly, purposelessly tu.?

kama hakuna uzuri wa ujana na ubaya wa utoto basi si itawezekana hata kijana kubadilika kuwa mtoto pia. Na je wakifika equilibrium. Si ndo Chaos hizo!

Acha ulimwengu uanze na hali fulani, zenye ubaya na uzuri ila uendelee kuboreshwa na kujiboresha kuzidi kuyaondoa mabaya na kuyashika yaliyo mema zaidi. Uhai na maisha viendelee. Uzima oyee 💪

Changamoto ipo kwenye kuikataa KUSUDI hapo nnajua hatutakaa tuelewane kabisa. Maana hakuna kitu kinaweza kuwa chema pasi na kusudi.
 
Jibu ni anaweza kuumba na huenda upo tayari. Na ninajua upo maana katika neno sahili ni KUTOKUWEPO. Si hauna muda bro maana wenyewe hauna na wala hauhitaji mabadiliko wala maboresho yanayopelekea muda. Na kisichokuwepo, si ndo tayari hakipo hatuhitaji hata uthibitisho hapo mimi na wewe (you are an expert in this subject)

Basi bro bahati mbaya ukiutaka ulimwengu huo hapa kwa sasa haiwezekani. Tuliopo sasa hivi upo kwenye huu wenye kuwa na mabaya, kuwa na mabadiliko kuelekea ubora naam ulimwengu wenye MUDA.

Mwisho wa maisha haya ndo tutachagua;

1. Kuendelea na ulimwengu utakaokuwa unazidi kuwa bora siku hadi siku. Kama huu tulionao. Ambao kwa kuwianisha, relatively measures utaendelea kuwa na 'mabaya'. UZIMA WA MILELE.

2. Kuishi (Kinadharia, ila kiukweli ni kutokuishi) katika ulimwengu huo uliokamilika hadi pa mwisho, usiohitaji badiliko lolote. Ulimwengu wa kifo. MAUTI.
Mimi nakuuliza kwa nini Mungu hakuuumba ulimwengu huu usiweze kuwa na mabaya, wewe unanijibu ulimwengu huo huenda upo? Unajibu anaweza kuumba? Unajibu huenda upo tayari?

Umeelewa hata swali ni nini?

Unaniambia nikiutaka ulimwengu huo, huelewi kwamba maswali yangu hayahusiani na ulimwengu ninaoutaka mimi, yanahusiana na logical consistency katika dhana ya kuwepo Mungu?

Unaelewa hoja hii?

Yani hapa Mungu kasema anafanya chekundu, halafu hapa tunaona anafanya cha bluu.

Mimi nikiuliza mbona hapa Mungu kasema atafanya chekundu, lakini kafanya cha bluu, weee huelewi juwa swali hili halitokani na mimi kutaka cha bluu, linatokana na maelezo ya Mungu kujichanganya?

Unaelewa hata logical consistency ni nini?
 
Mimi nakuuliza kwa nini Mungu hakuuumba ulimwengu huu usiweze kuwa na mabaya, wewe unanijibu ulimwengu huo huenda upo? Unajibu anaweza kuumba? Unajibu huenda upo tayari?

Umeelewa hata swali ni nini?
Ndiyo swali limeeleweka na jibu limetolewa


Unaniambia nikiutaka ulimwengu huo, huelewi kwamba maswali yangu hayahusiani na ulimwengu ninaoutaka mimi, yanahusiana na logical consistency katika dhana ya kuwepo Mungu?

Unaelewa hoja hii?
Jibu lilizingatia makundi mawili ya watu na machaguo yaoo yaani lilikuwa 'comprehensive' kwao hao.


Mimi nikiuliza mbona hapa Mungu kasema atafanya chekundu, lakini kafanya cha bluu, weee huelewi juwa swali hili halitokani na mimi kutaka cha bluu, linatokana na maelezo ya Mungu kujichanganya?

Unaelewa hata logical consistency ni nini?
Asking of logical consistency to The God the Perfector of Logos Himself?!!

Okay: Mungu alisema yeye ni mwenye kuzijua rangi zote nzuri, na anaweza kuchanganya rangi vizuri mnoo. Af kisha akaumba ulimwengu uliopauka🙄!.. unauliza kwa nn??, (But here is the catch) --unaozidi kujipambanua kwa rangi zinazon'garishwa kila siku mazingira yanazidi kuwa bora. Wenye kuruhusu mabadiliko ya makusudi yanayotokeza muda.

Wanadamu wanahusika kuzichanganya pia, na kuna wakati wanatumia kijani mpauko na nyeusi wanaendeleza kutengeneza kijani ya jeshi. Hii inawajengea FURAHA ya maisha wakiwa waumbaji wenza wa ulimwengu husika.

Lakini akatokea Kiranga akauliza:, kwa nini hakuumba ulimwengu ambao rangi zote zimeshang'ara na ni nzuri tayari tayari?

Sie tukamuuliza, sasa bro utajuaje hata kama zimeng'ara bila kuhusika moja kwa moja kuzing'arisha, au basi hata (passivelly) kuzishuhudia ziking'ara in real time (as time lapses)

Anasema, no usinihusishe mimi, wewe angalia tu logical consistency hapo.

Haya, tengeneza nadharia itakayoweka uwepo usiohusisha wakala mwerevu (any intelligent agent) kuushuhudia. Mbona unadai visivyoyakinika? Unaelewa nini ukisikia swali kwamba "Tunajuaje kama mwezi upo pale, kama hakuna hata mmoja anayeutazama?"?

Na kingine: hata kwa nadharia, jaribu kutengeneza ulimwengu wenye mabadiliko yasiyo na muelekeo wowote kuelekea ubora fulani yanayoweza kuendelea milele.

Au basi usio na mabadiliko kabisa maana hilo litatokea mapema sana (katika hiyo modeli ya ulimwengu wa nadharia yako) ikiwa hakuna uelekeo maalumu katika mpambano huwa tunapata mlinganyo (reaction/universe equilibrium with zero net movement).
 
Ndiyo swali limeeleweka na jibu limetolewa



Jibu lilizingatia makundi mawili ya watu na machaguo yaoo yaani lilikuwa 'comprehensive' kwao hao.



Asking of logical consistency to The God the Perfector of Logos Himself?!!

Okay: Mungu alisema yeye ni mwenye kuzijua rangi zote nzuri, na anaweza kuchanganya rangi vizuri mnoo. Af kisha akaumba ulimwengu uliopauka🙄!.. unauliza kwa nn??, (But here is the catch) --unaozidi kujipambanua kwa rangi zinazon'garishwa kila siku mazingira yanazidi kuwa bora. Wenye kuruhusu mabadiliko ya makusudi yanayotokeza muda.

Wanadamu wanahusika kuzichanganya pia, na kuna wakati wanatumia kijani mpauko na nyeusi wanaendeleza kutengeneza kijani ya jeshi. Hii inawajengea FURAHA ya maisha wakiwa waumbaji wenza wa ulimwengu husika.

Lakini akatokea Kiranga akauliza:, kwa nini hakuumba ulimwengu ambao rangi zote zimeshang'ara na ni nzuri tayari tayari?

Sie tukamuuliza, sasa bro utajuaje hata kama zimeng'ara bila kuhusika moja kwa moja kuzing'arisha, au basi hata (passivelly) kuzishuhudia ziking'ara in real time (as time lapses)

Anasema, no usinihusishe mimi, wewe angalia tu logical consistency hapo.

Haya, tengeneza nadharia itakayoweka uwepo usiohusisha wakala mwerevu (any intelligent agent) kuushuhudia. Mbona unadai visivyoyakinika? Unaelewa nini ukisikia swali kwamba "Tunajuaje kama mwezi upo pale, kama hakuna hata mmoja anayeutazama?"?

Na kingine: hata kwa nadharia, jaribu kutengeneza ulimwengu wenye mabadiliko yasiyo na muelekeo wowote kuelekea ubora fulani yanayoweza kuendelea milele.

Au basi usio na mabadiliko kabisa maana hilo litatokea mapema sana (katika hiyo modeli ya ulimwengu wa nadharia yako) ikiwa hakuna uelekeo maalumu katika mpambano huwa tunapata mlinganyo (reaction/universe equilibrium with zero net movement).
epicurean_paradox.jpg
 
Watoto wachanga ndiyo wana haki sana kuliko ng'ombe na mbuzi unaokula kila siku?

Ni Mungu kaleta hao watoto wachanga au ni wewe mwenyewe na nyege zako zisizo na hesabu?
Kumbe hatujaumbwa na Mungu ni nyege za wazazi wetu??? Hapa umepuyanga umeshindwa kuitetea hoja yako.
 
Back
Top Bottom