Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Habari mkuu,

Naomba unikoti ulipoendeleza maana uzi wako umevamiwa na watu wasioeshimu mijadala husika.
T
Nenda kwenye comment ya 340 utakuta hapo mwendelezo kidogo,kabla sijazuiliwa kuendeleza tena kutokana na kubanwa na shughuli za kushughilikia kufungua nafsi za baadhi ya watu humu ili wanielewe kwa mazito yatakayoshushwa hapa.
TunaSubiri Mkuu, ungeendelea nao tu, hata ule uzi wa SIRAHA 5 za Kiroho ulipata upinzani ila ulienda hewani na umetujenga watu wengi sana...🙏🏽
 
Mkuu walker water tunasubiria somo. Muda wa kusubiria usiwe mwingi mpaka ile hamu ya kusoma inakwisha.
 
Hapaan.

Kusema Mungu yupo, kama hayupo, kunaweza kuleta madhara mengi katika jamii.

Tumeona jinsi imani za Mungu kuwepo zilivyodhoofisha maendeleo ya kisayansi.

Galileo aligundua dunia inazunguka jua, jua halizunguki dunia. Ukweli huu ulikuwa kinyume na imani za kidini zilizosema kwamba jua linazunguka dunia.

Imani za kidini za kuamini Mungu kaiumba dunia na kaiweka katikati ya ulimwengu zilimpinga Galileo na kusababisha maendeleo ya kisayansi kuzorota.

Watu wanakataa dawa na kuamini watapona kwa kuonbewa jwa Mungu, huu ni ujinga.

Watu hawafanyi kazi, wanaamini wakimuomba Mungu atawasaidia, huu ni ujinga wenye madhara makubwa.

Watu wanaishi kwa hofu ya Mungu ambaye hayupo, huu ni ujinga.

Watu wanaibiwa hela kwa kuambiwa wamtokee Mungu anbaye hayupo, huo ni ujinga.

Kuamini Mungu yupo, kama hayupo, kunaweza juwa na madhara makubwa sana.
Siku ukipata changamoto ya maisha ndo utaamini kuwa mungu yupo.
 
Siku ukipata changamoto ya maisha ndo utaamini kuwa mungu yupo.
Hapana,

Changamoto yoyote ya maisha inaonesha Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.

Mungu huyo angekuwepo, maisha yasingekuwa na changamoto yoyote.
 
Hapana,

Changamoto yoyote ya maisha inaonesha Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.

Mungu huyo angekuwepo, maisha yasingekuwa na changamoto yoyote.
Amini unachoamini ila mungu yupo tena anaishi.
 
Mkuu wewe una akili? Thibitisha uwepo wa akili yako. Au haipo?
Kama nina akili au sina, vyovyote vile, jibu lolote nitakalotoa halithibitishi Mungu yupo.

Hivyo, swali lako, katika muktadha wa kutafuta ukweli kama Mungu yupo au hayupo, halina maana.

Swali lako halina maana.

Kwa sababu nikisema nina akili, jibu hilo halithibitishi Mungu yupo.

Hata ukiniuliza kwani akili niliyo nayo nishawahi kuiona? Bado ni non sequitur. Kwa sababu sijapinga uwepo wa Mungu kwa sababu Mungu haonekani.

Hujaelewa hata hoja yangu ni ipi.

Nikisema sina akili, jibu hilo pia halithibitishi Mungu yupo.

Swali lako ni logical fallacy ya non sequitur.

Swali lako ni la kijinga. Halitusogezi mbele kwenye kujua ukweli. Halina maana yoyote jatika kutafuta ukweli kama Mungu yupo au hayupo.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Back
Top Bottom