Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

Kama anakupa tamu yake unajilia hadi unatosheka huyo anastahili kupewa hela

Wengine hatupendi kupewa Kwa kupimiwa, eti hataki upige zaidi mbili utasema dozi ya chloroquine 🙌😜
 
If you want your woman to feel like a real woman kuna baadhi ya mambo lazima umfanyie aisee, sio ufundi tu kitandani, ni zaidi ya hapo.

Hata mimi mwanaume nikimpa mwanamke wangu hela tena bila yeye kuniomba huwa nau-feel kabisa uanaume wangu.
Uanaume wako haufili mpaka ufanyae kitu fulani? una upungufu wa nini mkuu angalia usije ingia kwenye michezo mibaya, u were born a man and u will always live as a man and situation doesn't define you
 
Tafuta hela mkuu [emoji23]
 
Uanaume wako haufili mpaka ufanyae kitu fulani? una upungufu wa nini mkuu angalia usije ingia kwenye michezo mibaya, u were born a man and u will always live as a man and situation doesn't define you
Ok [emoji23][emoji23][emoji23]
 
We endelea kumhudumia sisi Wazee wa kitonga mtelezo tunamla bure kabisa na tunapewa vya uvunguni😂😂
 
Hisia bila pesa [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mbona kama una ugeni na wakina dada, unaweza kumjua mwanamke halisi kwa kujifsnya huna kitu uone anakupenda ama lahasha, wapo wanawake wana uvumilivu sana kwa wanaume wasio na hela na waaminifu sasa kujifanyisha huna hela utagundua hisia zake kamili.

Wewe kumuhudumia mwanamke kwa pesa na yeye kuanza kuonyesha anakupenda huoni hapo umetumia external force (pesa) kutengeza mazingira ya upendo, kuna leo unazo pesa nyingi lakini kuna kesho huna kabisa je ataendelea kukupenda kama zamani swali la msingi kabisa kujiuliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…