Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
- Thread starter
- #341
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Wa hivi hawaishiwagi, mnaishiwa nyie hapo sasa na roho mbaya zenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Wa hivi hawaishiwagi, mnaishiwa nyie hapo sasa na roho mbaya zenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji28][emoji28][emoji28]Kunywa soda nakuja kulipa
Tokea may ianze huu ndo uzi mzuri kwangu
Happy New Month to you[emoji1635]
Well said mkuuNi kweli kabisa mimi siku Hz nashikashika vihela huwezi amini demu wangu ananipa ushirikiano balaa sababu huduma za msingi anapata,tunapata,anauhakika wa kula,kipindi cha menstrual anakua safe,etc wala sijiumi Umi.
Unataka kunipa hela? 😂😂😂Jamani! Jamani! Nakuomba PM basi dada mzuri [emoji4]
Utachagua wewe.Picha ipi tena
Njoo basi, mengine siri yetu [emoji4]Unataka kunipa hela? [emoji23][emoji23][emoji23]
Naona leo umenigeuka mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]Unatuma vilaki mbili mbili vyako halafu huyo demu wako anakuja nazo kwa mjuba for getting toasted.
Utakuja ujiue for bullshit mwanaume rijali unajisifia kuhonga pesa ili upendwe [emoji23]
Tulia wewe mpare!!Unatuma vilaki mbili mbili vyako halafu huyo demu wako anakuja nazo kwa mjuba for getting toasted.
Utakuja ujiue for bullshit mwanaume rijali unajisifia kuhonga pesa ili upendwe 😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Tulia wewe mpare!!
Haya mambo yamekuzidi umri[emoji23][emoji23][emoji23]
I love my money 😁Tulia wewe mpare!!
Haya mambo yamekuzidi umri😂😂😂
Sijakugeuka mkuu ila kwa hili hapana.Naona leo umenigeuka mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Jf kila mtu anahonga kuanzia laki. 😂 😂. Hii nchi lazima ni force kuihamia mwaka huu na sijui iko wapi, lakini kama ni hapa hdpa bongo nakataa aisee.Mm kutokana na approch yangu kwa mademu ya upole na full time care hujikuta wanashindwa kuniomba hela .Basi hulazimika kutumia hii sana .yaan huwa najiweka karibu na mwanamke wangu nijue issues zake kisha nakisia huyu ana shida na laki 3 .naamka tu namtumia laki 3.5 namwambia "bby najua mi sio tajiri ila naomba uipunguzie ulipokwama,love u "
And we love you😂😂😂I love my money 😁
Kwanini when it comes to money huwa unaona hakuna mapenzi ya dhati?Sijakugeuka mkuu ila kwa hili hapana.
We buying pussies not love bruh!
Kindly refer to the heading above..
Na hii sio mwanamke wako tu, hata yule ambaye unamtaka. Kwa mfano; [emoji116]
Money transfer successful! TSH 200,000.00 was sent to NMB Bank account no 41510040XXX (MILLICENT MZURI) ref:XXX4298373. Thanks for using Exim Mobile, call 0800 780 111 for any assistance needed.
Au,
AirtelMoney
Umetuma Tsh270,000.00 kwenda kwa MILLICENT MZURI. Salio lako jipya ni Tsh2,100,000.00. Muamala No: CI240503.1856.N57337
Hiyo miamala yote uwe umemtumia hata bila kuombwa. Kwa mfano huo muamala wa kwanza unakuwa umeutuma jana usiku wa saa saba wakati amelala, akiamka asubuhi anakutana na notification tu. Aisee, mapenzi utayasimulia katika muktadha wa tofauti sana.
Pengine huo muamala wa pili uwe umemtumia leo week end baada ya binti kukwambia anaenda kwenye birthday ya rafiki yake. Halafu muamala unafuatiwa na SMS hii, "baby pls manage that little token from me. Love always" [emoji4] .
Hawa wanawake tunawalaumu bure tu. Tatizo ni kwamba hatuwapi PESA. Kwao pesa ndio kila kitu; nguvu za kiume, uaminifu, utulivu, upole, utu wema, usikivu, unyenyekevu n.k (mengine ongezea mwenyewe).
Sasa wewe hela hutumi, binti anajikaza anakuomba unaanza stori, sijui "ooh baby nipo mbali msibani huku tandahimba ndanindani nina cash tu na mawakala wako mbali" [emoji23], wakati siku hizi kuna sim banking, mobile money transfer n.k
Hata kama huna sim banking, mwanaume unakosaje akiba kidogo kwenye simu kwa ajili ya dharura?!!! Kwanza siku hizi kutembea na cash ni ushamba.
Wanaume tutafuteni pesa. Dunia haina huruma kwa masikini wote lakini hasa sisi WANAUME.
N:B
'MILLICENT MZURI' NI JINA LA KUSADIKIKA TU.
Kwanini when it comes to money huwa unaona hakuna mapenzi ya dhati?
Kuwapenda tunawapenda sana ila na pesa tunataka 😂😂😂
Broo, acha kujikaza. Umeshauriwa uache mara moja, siku ukijua unapohonga kuna mwamba anakojolea bilaHizi ni hela ndogondogo sana ambazo nazitoa bila maumivu yoyote mkuu [emoji2]
Yule anayekopa ili ahonge ndio atateseka.
Bibi Faiza katika ubora wako, nimekuelewa Sana mkuuTanzania iwekeze kwenye elimu tu na ibadilishe mfumo wa elimu kabisa. Ndipo itaanza kuona maendeleo baada ya miaka 15 mpaka 20 ya mabadiliko ya aina ya elimu yetu.
Kama hatutobadili mfumo wa limu nje ndani, maendeleo ya kweli tusahau, tutabaki kuwa ombaomba tu.
Kwa o,mbaomba namaanisha tegemezi, mfumo wetu wa elimu siyo wa mtu binafsi kujitegemea, ni wa kila mtu kutegemea afanyiwe.