Mwami Atale
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 279
- 1,103
Dah leo tu nimetoka kutuma aftatu na miatanoππππππ€£πππInatakiwa tuwe tunawapa hata milioni 5 na sio afu tatu ππ
Uchoyo umekukolea sanaπ€£π€£Kuna kitu mleya mada sio bure;
1. Anafukuzia mdada wa jf, impression matters.
2. Ameopoa mtoto wa jf, its early stages so impression still matters.
3. Anataka aungwe mkono na jeshi kubwa la wadada.
Huyu ana jambo lake. Uchumi wa mama sio wa kutoa hata mia.
Nimemsoma mleta mada, anacheza 1-3 hapo.π€£Uchoyo umekukolea sanaπ€£π€£
We huogopi?
Acha uchoyo chali anguπ€£π€£Nimemsoma mleta mada, anacheza 1-3 hapo.π€£
Sasa wewe kutoa hela unaona ugumu gani!!Na nyie kwenye Ela ya day one muwe mnaogopa, tena mwingine day one anakwambia siwez kuja mpaka nipate ela ya kusuka laki moja
Hapana siyo hela za masimangoHela za masimango mkuu?π€£π€£π
Niko poa kabisaHapana siyo hela za masimango
Kwema lakini mkuu
Sasa wewe kutoa hela unaona ugumu gani!!
Na miamala ni ya kusadikika pia?MILLICENT MZURI' NI JINA LA KUSADIKIKA
π dah hadi makalioUtakapo kuta huo Mwamala ameutransfer kwa Bwana Wake kama ulivyo usianze kule nyuzi za masikitiko humu.
Ukiskia mwanume kamuua mwanamke au kumdhuru ni baada ya kufanya ujinga kama huu akiamini Mwanamke atampenda.
Hiyo miamala watumie malaya tu watakulamba hadi makalio.
Dhambi πππWewe jidanganye tu wenzako walitoa kila kitu Hadi wakasomesha na kujenga nyumba ukweni waliishia kuchapiwa.π€£π€£
View attachment 2980829
Tafuta pesa bro [emoji23][emoji23][emoji23]Na miamala ni ya kusadikika pia?
[emoji28][emoji28]Nimemsoma mleta mada, anacheza 1-3 hapo.[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]Dah leo tu nimetoka kutuma aftatu na miatano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli nastahili kuachwa ..... Halafu huwa nnatabia asiposema Asante naenda huduma kwa wateja narudisha muamala[emoji2960][emoji2960]...shwaaaah
Nasisitiza, tafuta pesa [emoji23][emoji23][emoji23]Wewe jidanganye tu wenzako walitoa kila kitu Hadi wakasomesha na kujenga nyumba ukweni waliishia kuchapiwa.[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2980829
Hujajibu swali languTafuta pesa bro [emoji23][emoji23][emoji23]