Mwami Atale
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 279
- 1,103
Dah leo tu nimetoka kutuma aftatu na miatano😂😂😂😂😂🤣😁😁😁Inatakiwa tuwe tunawapa hata milioni 5 na sio afu tatu 😂😁
Kweli nastahili kuachwa ..... Halafu huwa nnatabia asiposema Asante naenda huduma kwa wateja narudisha muamala🤭🤭...shwaaaah